Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nani ka_job_hundred?Mambo ya humu unaweza ukazi-hundred
😂 😂
Hebu fanya mpango wa elfu 2 hapo nisogee kwa mama ntilie, nijibless mchana huu.Huyu wa Pili kutokeza kuwa wanaume mnaomba hela
Wee,sema kweli!?Hebu fanya mpango wa elfu 2 hapo nisogee kwa mama ntilie, nijibless mchana huu.
Haki ya nani vile, fanya hivyo nikabless stomach yangu kwa mama ntilie.Wee,sema kweli!?
Haina shida,ngoja nimwombe mwanaume mwenzioHaki ya nani vile, fanya hivyo nikabless stomach yangu kwa mama ntilie.
Hiyo tumia wewe, au kama we huna nitakaa na njaa tu.Haina shida,ngoja nimwombe mwanaume mwenzio
Nimekuelewa kuwa nasema na baadhi ya Wehu. Usijali sitopigizana nao kelele kabisa 🙏🙏Ulisoma paka darasa la ngapi madamu?
Tulia na acheni kelele, nimefunga mjadala leo. Lakini kwa kweli baadhi ya wanaume wa Wakitanzania mnapenda kubweka mnoo. 🙏🙏Kila nikisoma nyuzi zako, ubongoni huwa najiwa na picha ya Faiza
![]()
Utaelewa tu😂Hiyo tumia wewe, au kama we huna nitakaa na njaa tu.
😂 😂
Anajirace tu huyu nyege ndo zinamsumbua inatakiwa apigwe pipe za maana atulieDada.... you need psychological help
Daah Bibie aisha assalaaam aleikum, waislam tunafichiana aibu Bibie! Je kulikuwa na haja gani nikuexpose mie humu jukwaani? Si tuliongea tukayamaliza? DaaahNilikaa kimpya sikujibu nilikuwa nawacha nisome maoni yenu kwanza halafu nikupeni update sasa. Na sasa nafunga huu mjadala na pia natumai mnaotaka mke sasa kama bado mmo sasa tulieni. Na mnao thani humu nimetowa pesa mimi sijampa hata shilingi nahisi ilikuwa ni kuchezeana akili.
Huyu mwamba tunamuengelea hapa nahisi hana shida lakini kaamuwa kunipima mimi kwa pesa. Au anataka nambari yangu kwa lazima baada ya kumkatalia,sasa katumia njia ya mimi kumkopesha.
Halafu alivyo kwenye level yake fulani mwenyewe kakaa kimpya anasikiliza tu, watu huku wakidata!!
Sasa nakupeni funzo sipimwi mimi kwa pesa na pimwa kwa integrity, mwanaume mwengine asirudie tena. Sithani mimi kama alikuwa anataka pesa nahisi alikuwa na papara tu la kunizalimisha mimi kutowa nambari yangu kwa lazima basipo mimi kuwa tayari.
Sisi huku hatupimani kwa pesa bali kwa mtu kuwa mkweli na muaminifu kwa sababu maisha ya huku ni 50:50 kuwa mnasaidiana majukumu. Na kama mtu hufanyi kazi serikali wanakupa pesa za kuishi.
Nasema hana shida kabisa nahisi hivi kwa sababu pesa alosema nimkopeshe ni ndogo mnoo. Ambayo mimi huku nanunulia kahawa au chai ya asubuhi tu na kama angekuwa na shida kweli angeomba zaidi.
Halafu kafanya hivi baada ya siku 2/3 kumjua hapa jukwaani ndio kabisa nahisi alikuwa ananipima mimi pesa au labda kunizalimisha kwa kila namna kutaka kuipata nambari yangu na kushindwa kuvumilia.
Nimetowa hii mada nje makusudi kuwafunza baadhi ya wanaume humu waache hii thana potofu kwamba kila mwanamke wanataka pesa zao, ambayo sio kweli na nahisi wazowee tu kwa sababu sasa wanawake tunajitegemea na hatutegemei waume.
Vile vile kama baadhi ya wanaume humu pia muna papara niwacheni kuwa mimi sitaki papara wala kelele nilisema tangu mwanzoni mimi ni mtu ninaependa amani/utulivu na furaha wakati wote.
Amefanya utumbo huu baada ya kutaka urafiki na mimi baada ya kumkatalia ndoa baada ya kudai kwamba ana vigezo vyote na kutaka nambari yangu.
Nimemkatalia ndoa hata kumpa nambari yangu kwa sababu hakutaka kusema mambo yake hapa na kila ninachomuuliza hapa jukwaani hataki kujibu lazima nimpatie nambari yangu na tuongee kwa WhatsApp.
Nilikwazika mnooo kwa kutotaka kufunguka na kuwa muwazi sasa. Wakati mimi nimesema kila ninachoulizwa hapa jukwaani kuwa niko muwazi.
Narudia tena nahisi hana shida kabisa na hapa sasa nakujuzeni kuwa, anabiashara yake na huwa anakuja huku London kila mara na hukaa huku nusu mwaka.
Kayasema haya yote baada kujuwa kwamba siwezi kuendelea na yeye asiponijibu maswala yangu hapa jukwaani, mbali ya kutomkopesha pesa aliyotaka.
Na baada ya yote yanayoendelea hapa jukwaani wala habari hana na bado anaendelea kunikera hapa jukwaani kwa kutaka sasa kunitia kwenye biashara yake huku London, kama vile mimi nilisema niko hapa kutafuta urafiki au kazi/biashara ya kufanya.
Simuelewi na nawaombeni sasa baadhi ya wanaume humu kama muna vigezo vyangu vyote, kwanza muwe watulivu, pili muwe wawazi (acheni ukorofi), tufahamiane na mimi nambari yangu nitatowa nikiwa tayari.
Haraka mnooo 🙏🙏Utaelewa tu😂