babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
We bado unazunguruka tu humu!Nimefunga mjadala huu, sasa tulieni. ๐๐
Kwanza umepata chakula,we toa Kwanza gegedo watu wapime,sio masharti km mwekezaji anachukua mgodi wa Barick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We bado unazunguruka tu humu!Nimefunga mjadala huu, sasa tulieni. ๐๐
Huyu si ndie yule dada wa vimoto zinaunguza (Monicaa)lakini kaja na jina jipya tu?.Hahahaa. Itafikia hatua hata wale waliorusha makombora ya kuhitaji ndoa wakiona uzi wa Zanzibar2014 wanatetemeka. ๐คฃ๐คฃ
Nakukubali kweli๐Tusilazimishane kuelewa, kichwa changu ni kichwa mpira ๐
Nilikaa kimpya sikujibu nilikuwa nawacha nisome maoni yenu kwanza halafu nikupeni update sasa. Na sasa nafunga huu mjadala na pia natumai mnaotaka mke sasa kama bado mmo sasa tulieni. Na mnao thani humu nimetowa pesa mimi sijampa hata shilingi nahisi ilikuwa ni kuchezeana akili.
Huyu mwamba tunamuengelea hapa nahisi hana shida lakini kaamuwa kunipima mimi kwa pesa. Au anataka nambari yangu kwa lazima baada ya kumkatalia,sasa katumia njia ya mimi kumkopesha.
Halafu alivyo kwenye level yake fulani mwenyewe kakaa kimpya anasikiliza tu, watu huku wakidata!!
Sasa nakupeni funzo sipimwi mimi kwa pesa na pimwa kwa integrity, mwanaume mwengine asirudie tena. Sithani mimi kama alikuwa anataka pesa nahisi alikuwa na papara tu la kunizalimisha mimi kutowa nambari yangu kwa lazima basipo mimi kuwa tayari.
Sisi huku hatupimani kwa pesa bali kwa mtu kuwa mkweli na muaminifu kwa sababu maisha ya huku ni 50:50 kuwa mnasaidiana majukumu. Na kama mtu hufanyi kazi serikali wanakupa pesa za kuishi.
Nasema hana shida kabisa nahisi hivi kwa sababu pesa alosema nimkopeshe ni ndogo mnoo. Ambayo mimi huku nanunulia kahawa au chai ya asubuhi tu na kama angekuwa na shida kweli angeomba zaidi.
Halafu kafanya hivi baada ya siku 2/3 kumjua hapa jukwaani ndio kabisa nahisi alikuwa ananipima mimi pesa au labda kunizalimisha kwa kila namna kutaka kuipata nambari yangu na kushindwa kuvumilia.
Nimetowa hii mada nje makusudi kuwafunza baadhi ya wanaume humu waache hii thana potofu kwamba kila mwanamke wanataka pesa zao, ambayo sio kweli na nahisi wazowee tu kwa sababu sasa wanawake tunajitegemea na hatutegemei waume.
Vile vile kama baadhi ya wanaume humu pia muna papara niwacheni kuwa mimi sitaki papara wala kelele nilisema tangu mwanzoni mimi ni mtu ninaependa amani/utulivu na furaha wakati wote.
Amefanya utumbo huu baada ya kutaka urafiki na mimi baada ya kumkatalia ndoa baada ya kudai kwamba ana vigezo vyote na kutaka nambari yangu.
Nimemkatalia ndoa hata kumpa nambari yangu kwa sababu hakutaka kusema mambo yake hapa na kila ninachomuuliza hapa jukwaani hataki kujibu lazima nimpatie nambari yangu na tuongee kwa WhatsApp.
Nilikwazika mnooo kwa kutotaka kufunguka na kuwa muwazi sasa. Wakati mimi nimesema kila ninachoulizwa hapa jukwaani kuwa niko muwazi.
Narudia tena nahisi hana shida kabisa na hapa sasa nakujuzeni kuwa, anabiashara yake na huwa anakuja huku London kila mara na hukaa huku nusu mwaka.
Kayasema haya yote baada kujuwa kwamba siwezi kuendelea na yeye asiponijibu maswala yangu hapa jukwaani, mbali ya kutomkopesha pesa aliyotaka.
Na baada ya yote yanayoendelea hapa jukwaani wala habari hana na bado anaendelea kunikera hapa jukwaani kwa kutaka sasa kunitia kwenye biashara yake huku London, kama vile mimi nilisema niko hapa kutafuta urafiki au kazi/biashara ya kufanya.
Simuelewi na nawaombeni sasa baadhi ya wanaume humu kama muna vigezo vyangu vyote, kwanza muwe watulivu, pili muwe wawazi (acheni ukorofi), tufahamiane na mimi nambari yangu nitatowa nikiwa tayari.
Chukua hatua kabla hali haijawa mbaya. Au labda inawezekana ni nyege tuAhsante dada ๐๐
Demi huyu bidada ni nyege ndo zinamsumbuaChukua hatua kabla hali haijawa mbaya. Au labda inawezekana ni nyege tu
Huyu kwa nyege alizo nazo akimpata mwanamume wa kumpelekea moto kisawa sawa. Mbona angekuja na uzi kuwa anashukuru sasa amepata bwana aliyekuwa akimtafuta kwa muda mrefuKabisa ndugu yangu hata mimi nimegundua hilo pia, hebu msaidieni jamani
Hana siri huyu, na kama una mapungufu atakuanikaHuyu kwa nyege alizo nazo akimpata mwanamume wa kumpelekea moto kisawa sawa. Mbona angekuja na uzi kuwa anashukuru sasa amepata bwana aliyekuwa akimtafuta kwa muda mrefu
Hana siri kweli huyu na ndio maana inabidi ukiwashe kweli kweli ๐คฃ๐คฃ๐คฃHana siri huyu, na kama una mapungufu atakuanika
Sema nini wapunguze kumsumbua nao huko piyemu kama hawana malengo naye.Itafka sku ata expose had pm, ngj tusubr[emoji23]
Hivyo hapa ndo unaniuliza au unaniambia? ๐๐๐Huyu si ndie yule dada wa vimoto zinaunguza (Monicaa)lakini kaja na jina jipya tu?.
What is going on here?Nilikaa kimpya sikujibu nilikuwa nawacha nisome maoni yenu kwanza halafu nikupeni update sasa. Na sasa nafunga huu mjadala na pia natumai mnaotaka mke sasa kama bado mmo sasa tulieni. Na mnao thani humu nimetowa pesa mimi sijampa hata shilingi nahisi ilikuwa ni kuchezeana akili.
Huyu mwamba tunamuengelea hapa nahisi hana shida lakini kaamuwa kunipima mimi kwa pesa. Au anataka nambari yangu kwa lazima baada ya kumkatalia,sasa katumia njia ya mimi kumkopesha.
Halafu alivyo kwenye level yake fulani mwenyewe kakaa kimpya anasikiliza tu, watu huku wakidata!!
Sasa nakupeni funzo sipimwi mimi kwa pesa na pimwa kwa integrity, mwanaume mwengine asirudie tena. Sithani mimi kama alikuwa anataka pesa nahisi alikuwa na papara tu la kunizalimisha mimi kutowa nambari yangu kwa lazima basipo mimi kuwa tayari.
Sisi huku hatupimani kwa pesa bali kwa mtu kuwa mkweli na muaminifu kwa sababu maisha ya huku ni 50:50 kuwa mnasaidiana majukumu. Na kama mtu hufanyi kazi serikali wanakupa pesa za kuishi.
Nasema hana shida kabisa nahisi hivi kwa sababu pesa alosema nimkopeshe ni ndogo mnoo. Ambayo mimi huku nanunulia kahawa au chai ya asubuhi tu na kama angekuwa na shida kweli angeomba zaidi.
Halafu kafanya hivi baada ya siku 2/3 kumjua hapa jukwaani ndio kabisa nahisi alikuwa ananipima mimi pesa au labda kunizalimisha kwa kila namna kutaka kuipata nambari yangu na kushindwa kuvumilia.
Nimetowa hii mada nje makusudi kuwafunza baadhi ya wanaume humu waache hii thana potofu kwamba kila mwanamke wanataka pesa zao, ambayo sio kweli na nahisi wazowee tu kwa sababu sasa wanawake tunajitegemea na hatutegemei waume.
Vile vile kama baadhi ya wanaume humu pia muna papara niwacheni kuwa mimi sitaki papara wala kelele nilisema tangu mwanzoni mimi ni mtu ninaependa amani/utulivu na furaha wakati wote.
Amefanya utumbo huu baada ya kutaka urafiki na mimi baada ya kumkatalia ndoa baada ya kudai kwamba ana vigezo vyote na kutaka nambari yangu.
Nimemkatalia ndoa hata kumpa nambari yangu kwa sababu hakutaka kusema mambo yake hapa na kila ninachomuuliza hapa jukwaani hataki kujibu lazima nimpatie nambari yangu na tuongee kwa WhatsApp.
Nilikwazika mnooo kwa kutotaka kufunguka na kuwa muwazi sasa. Wakati mimi nimesema kila ninachoulizwa hapa jukwaani kuwa niko muwazi.
Narudia tena nahisi hana shida kabisa na hapa sasa nakujuzeni kuwa, anabiashara yake na huwa anakuja huku London kila mara na hukaa huku nusu mwaka.
Kayasema haya yote baada kujuwa kwamba siwezi kuendelea na yeye asiponijibu maswala yangu hapa jukwaani, mbali ya kutomkopesha pesa aliyotaka.
Na baada ya yote yanayoendelea hapa jukwaani wala habari hana na bado anaendelea kunikera hapa jukwaani kwa kutaka sasa kunitia kwenye biashara yake huku London, kama vile mimi nilisema niko hapa kutafuta urafiki au kazi/biashara ya kufanya.
Simuelewi na nawaombeni sasa baadhi ya wanaume humu kama muna vigezo vyangu vyote, kwanza muwe watulivu, pili muwe wawazi (acheni ukorofi), tufahamiane na mimi nambari yangu nitatowa nikiwa tayari.
We usijali, ahsante saaana. ๐๐Chukua hatua kabla hali haijawa mbaya. Au labda inawezekana ni nyege tu
I would say nothing for them to bark! ๐๐What is going on here?
Najali maana unatia huruma mdogo wangu.We usijali, ahsante saaana. ๐๐
Unajali nini na kwa nini ?? ๐๐Najali maana unatia huruma mdogo wangu.