Baadhi ya kina kaka/baba acheni kelele na ukorofi

Sijui hata nseme nn anyway ngoja nkapitie vgezo huenda nikawa navyo!
 
Hebu fanya mpango wa elfu 2 hapo nisogee kwa mama ntilie, nijibless mchana huu.
 
Kwani jamani wamemfanyaje huyu dada dada yetu huyu ana shambulizi la akili halafu bado mnamchanganya
 
Kila nikisoma nyuzi zako, ubongoni huwa najiwa na picha ya Faiza

 
Kila nikisoma nyuzi zako, ubongoni huwa najiwa na picha ya Faiza

Tulia na acheni kelele, nimefunga mjadala leo. Lakini kwa kweli baadhi ya wanaume wa Wakitanzania mnapenda kubweka mnoo. πŸ™πŸ™
 
Daah Bibie aisha assalaaam aleikum, waislam tunafichiana aibu Bibie! Je kulikuwa na haja gani nikuexpose mie humu jukwaani? Si tuliongea tukayamaliza? Daaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…