Baadhi ya kina kaka/baba acheni kelele na ukorofi


Wamekukosea sana na hawakupaswa kufanya hivyo, Lakini namna ya uandishi wako inaibua sana hisia mbaya za tabia yako, umekaa kishari shari sana, talking back, magomvi, mwenye kiburi etc!

Nakutakia kila la heri, na sababu hiyo basi nakushauri fanyia kazi tabia yako na utaona matokeo.
 
Kabisa ndugu yangu hata mimi nimegundua hilo pia, hebu msaidieni jamani
Huyu kwa nyege alizo nazo akimpata mwanamume wa kumpelekea moto kisawa sawa. Mbona angekuja na uzi kuwa anashukuru sasa amepata bwana aliyekuwa akimtafuta kwa muda mrefu
 
Huyu kwa nyege alizo nazo akimpata mwanamume wa kumpelekea moto kisawa sawa. Mbona angekuja na uzi kuwa anashukuru sasa amepata bwana aliyekuwa akimtafuta kwa muda mrefu
Hana siri huyu, na kama una mapungufu atakuanika
 
What is going on here?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…