Hapo ndio utajua wanawake hatueleweki.,ukiingia love connect 80% ya wanaotafuta wachumba ni wanawake,wanawake hao hao ndio tunalalamika wanaume wa mitandao ni matapeli,sasa sijui ina maanisha nini?I think most of the time when it comes to love affairs ladies tunakuwa so desparate and attention seeker.....tukikosa hivyo vitu matokeo ndio kama tunavyoshuhudia hapaπ π πnimecheka sana wanasema ukitaka kumuumiza msichana kisaikolojia acha kumpa attention...!! anyway sijaona kosa la jamaa vile tu wadada wanaonaga wanaume wote wa mtandaoni matapeli ila hao hao bado wanatafuta wanaume mtandaoni
yaah ukweli 100%...Hapo ndio utajua wanawake hatueleweki.,ukiingia love connect 80% ya wanaotafuta wachumba ni wanawake,wanawake hao hao ndio tunalalamika wanaume wa mitandao ni matapeli,sasa sijui ina maanisha nini?I think most of the time when it comes to love affairs ladies tunakuwa so desparate and attention seeker.....tukikosa hivyo vitu matokeo ndio kama tunavyoshuhudia hapa
Tuhuma gani tena?Ndugu kuna tuhuma zako huku mzabzab
Dada analalamika hapa,Tuhuma gani tena?
Jamani mwenzenu nimenasa kwenye penzi la mama wa kambo....hili tako lake kwa kweli ata jf sioni tamu tena. Wacha tushare utamu na dingi
Wadada mbona wanalalamika sana siku hizi? Au hawapewi dozi kamilifu na vibwana vyao?Dada analalamika hapa,
Umepita hadi kwa dingi tena?aisee unatafuta rahana wewe
Umeomba kidogo ungeomba aftatu angekupaHebu fanya mpango wa elfu 2 hapo nisogee kwa mama ntilie, nijibless mchana huu.
Ujumbe ameupata na wala habari hana.Pole sana! Naamini mhusika atakuwa ameupata huu ujumbe
Nakwambia au hunjui monicca?.Hivyo hapa ndo unaniuliza au unaniambia? πππ
Use-me (huzi-mii), ila cha-fire utakionaMambo ya humu unaweza ukazi-hundred
π π