Baadhi ya kina kaka/baba acheni kelele na ukorofi

Baadhi ya kina kaka/baba acheni kelele na ukorofi

😀 😀 😀nimecheka sana wanasema ukitaka kumuumiza msichana kisaikolojia acha kumpa attention...!! anyway sijaona kosa la jamaa vile tu wadada wanaonaga wanaume wote wa mtandaoni matapeli ila hao hao bado wanatafuta wanaume mtandaoni
Hapo ndio utajua wanawake hatueleweki.,ukiingia love connect 80% ya wanaotafuta wachumba ni wanawake,wanawake hao hao ndio tunalalamika wanaume wa mitandao ni matapeli,sasa sijui ina maanisha nini?I think most of the time when it comes to love affairs ladies tunakuwa so desparate and attention seeker.....tukikosa hivyo vitu matokeo ndio kama tunavyoshuhudia hapa
 
Hapo ndio utajua wanawake hatueleweki.,ukiingia love connect 80% ya wanaotafuta wachumba ni wanawake,wanawake hao hao ndio tunalalamika wanaume wa mitandao ni matapeli,sasa sijui ina maanisha nini?I think most of the time when it comes to love affairs ladies tunakuwa so desparate and attention seeker.....tukikosa hivyo vitu matokeo ndio kama tunavyoshuhudia hapa
yaah ukweli 100%...
 
Tuhuma gani tena?
Jamani mwenzenu nimenasa kwenye penzi la mama wa kambo....hili tako lake kwa kweli ata jf sioni tamu tena. Wacha tushare utamu na dingi
Dada analalamika hapa,
Umepita hadi kwa dingi tena?aisee unatafuta rahana wewe
 
Dada analalamika hapa,
Umepita hadi kwa dingi tena?aisee unatafuta rahana wewe
Wadada mbona wanalalamika sana siku hizi? Au hawapewi dozi kamilifu na vibwana vyao?

Ah dingi kaleta mke mrembo mwenye tako sasa sii kutiana majaribuni alafu mrembo umri 35.
 
Isaya 4:1
Wakati huo wanawake saba watamvamia mwanamume mmoja na kumwambia, “Chakula na mavazi tutajitafutia wenyewe, lakini wewe utuondolee aibu yetu, uturuhusu tuitwe kwa jina lako.”
 
Pole sana! Naamini mhusika atakuwa ameupata huu ujumbe
Ujumbe ameupata na wala habari hana.
Na wala sitostajabu kuwa sasa pia anawashangaa baadhi ya wehu wanaopajuka humu baada ya ujumbe huu. 🙏🙏
 
Back
Top Bottom