Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Pole shosti🤣🤣🤣🤣🤣
Zuzu endelea kukenua hovyo ili kuthibitisha uzuzu wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zuzu endelea kukenua hovyo ili kuthibitisha uzuzu wako.
huo wizi wa ki hivyo uko tabata tabata huko yaani ukikodi boda dereva anakupeleka alafu akifika njiani anaenda kusimama sehemu waliko boda wengine (kumbe wote ni wamoja ni kituo hewa)wanakukaba wote kila kitu kinachukukiwa na wao wote wanatambaa na boda zao.Bajaji na tax bubu za usiku ni za kuchukua tahadhari pia...unaeza kuta wote watatu wanajuana na wanazuga kama wamekutana kituoni kama abiria....
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Yalisha kukuta?Yaani wanapaki pembeni na barabara au karibu na kituo cha daladala wakipata abiria mnaelewana vizuri tuu na anakupeleka lakini akifika sehemu iliopo bar anasimama anatoa simu yake kujifanya anampigia mtu halafu anairudisha mfukoni kisha anakuambia "naomba simu yako nimcheki jamaa"hapo anataja jina la mhudumu mojawapo wa hiyo bar.
Ukimpa simu anapiga halafu anashuka kwenye boda yake anazima kabisa na ufunguo anachomoa halafu anaenda na simu yako mle ndani bar yeye anakuacha na boda yake sasa hapo ukijichanganya umfuate mle ndani yeye kumbe ameshakusoma unaingiaje yeye anatoka fasta anaenda washa pikipiki yake anapotea na simu yako wewe unabaki unaulizia lile jina alilotamka.
Nimeoana niwaambie maana jamaa yangu juzi tuu leo siku ya 3 simu yake imeondoka kwa style hiyo .
Ukipanda pikipiki jitahidi upande kwa unayemjua au kama yuko kijiweni kwake hakikisha kavaa reflector ile yenye namba ya kijiwe hata ikitokea tatizo inakuwa rahisi kulitatua.
Jumapili ikiwe njema kwenu.
Marafiki zangu wengi yamewakuta hivyo nina uzoefu wa haya matukio.Yalisha kukuta?
Sio wote wenye mawazo/roho kama yakoWhy umpe mtu simu yako dah hapo ndipo tunatofautiana,labda wapore ila kumpa mtu simu hapana kwa kweli
Umeishiwa? Naona unarudia yale yale! Vp zuzu pumzi mbona imakata mapema hivyo? Punguani mmoja.Pole shosti🤣🤣🤣🤣🤣
Umeishiwa? Naona unarudia yale yale! Vp zuzu pumzi mbona imakata mapema hivyo? Punguani mmoja.
Ningezembea ndo kitu ambacho kingefuata mkuu
Stay blessed!Unamtukana bure Numbisa wakati wewe ndiye BIG FOOL. The sentence is correct! Sorry for you dire ignorance!
CORRECT LOGIC
^Kati ya vitu sipendi ni [MTU MWINGINE] kuazima simu yangu^
Learn to fill empty linguistic gaps by yourself.
Jamaa alichukulia "huyu mwana hana shida" kumbe ndo anatapeliwaAsee ingekuwa ni mimi mbona jamaa angekuta nimejenga kibanda bembeni ya hiyo bodaboda na nimehamia! Yani hiyo tuktuk ingekuwa imepaki kibarazani kwangu *****.
Mwanaeeh mwambie mwambie wapo wakina Mwanahawa Mwanahamisi Mwanahija Mwanaheri Mwanamtama na wengine kibao.
Namwonea huruma sa hivi ana ki swaswaduMwanaeeh mwambie mwambie wapo wakina Mwanahawa Mwanahamisi Mwanahija Mwanaheri Mwanamtama na wengine kibao.
Zuzu hamnazo.Shosti pole🤣🤣🤣🤣🤣
Zuzu hamnazo.
Kakituko ka JFShosti pole🤣🤣🤣🤣🤣
Kakituko ka JF
Hii dozi itakufanya usishobokee tena kua unajibu watu utumbo humu.