Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Hii ni sekta moja wapo inayowapati kina mama wengi sana kipato, lakini tatizo limekuwa kwenye kuboresha mazingira yao ya kazi.
Hii imenitokea zaidi ya mara tatu maeneo tofauti tofauti, nimeagiza msosi kabla bado sijala nikasema ngoja nikague kijiko aiseeeh ni aibu, nimeletewa kijiko kinaonekana kimetoka kutumika muda si mrefu bado kina mabaki ya chakula. Kwa maana hiyo hakijasafishwa vizuri
Maeneo ya kulia chakula hasa mezani, nzi kibao unakula chakula mara nzi kadondokea kwenye chakula inatia kinyaa.
Mama ntilie kama mpo humu naomba mbadilike mnatulisha uchafu, jitahidini kuwa wasafi.
Hii imenitokea zaidi ya mara tatu maeneo tofauti tofauti, nimeagiza msosi kabla bado sijala nikasema ngoja nikague kijiko aiseeeh ni aibu, nimeletewa kijiko kinaonekana kimetoka kutumika muda si mrefu bado kina mabaki ya chakula. Kwa maana hiyo hakijasafishwa vizuri
Maeneo ya kulia chakula hasa mezani, nzi kibao unakula chakula mara nzi kadondokea kwenye chakula inatia kinyaa.
Mama ntilie kama mpo humu naomba mbadilike mnatulisha uchafu, jitahidini kuwa wasafi.