Baadhi ya mama ntilie wanatulisha uchafu

Baadhi ya mama ntilie wanatulisha uchafu

Usafi hauna gharama yoyote kuosha kijiko na kitunza vyombo kwa usafi havihusiani na bei ya chakula
Unapochanganya ni kitu kimoja tu,wale mamantilie wa msosi wa bei ndogo wao ndo wapikaji,wapakuaji,na waoshaji vyombo so wanakua busy hawawez kuyafanya yote kwa mara moja kwa ustadi ndo mana utakuta mazingira machafu,lakini ukienda kwenye hotel za gharama unakuta wapishi wako jikoni na wanaohusika na usafi ni wengine so kunakua na mgawanyo wa kazi hence mambo yanaenda vizuri mana kila mtu ana eneo lake la kusimamia!
 
Unapochanganya ni kitu kimoja tu,wale mamantilie wa msosi wa bei ndogo wao ndo wapikaji,wapakuaji,na waoshaji vyombo so wanakua busy hawawez kuyafanya yote kwa mara moja kwa ustadi ndo mana utakuta mazingira machafu,lakini ukienda kwenye hotel za gharama unakuta wapishi wako jikoni na wanaohusika na usafi ni wengine so kunakua na mgawanyo wa kazi hence mambo yanaenda vizuri mana kila mtu ana eneo lake la kusimamia!
Hizi mambo zinaendaga na Hali ya umaskini... Mama mwenyew ukimgusa kichwani utamkuta la saba B, ukiangalia mtaji utakuta elf 14, anapikia kuni. Nlikulaga mihogo Kwa WAMAMA flani hivi mbagala hapo loh! Mihogo imechemshwa yule mama anajikuna makwapa alafu anaokota mihogo anaikaanga mbele yangu. Nkajiuliza kachumbali kaikata vipi???. Mm kula hovyo hovyo HAPANA

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Umasikini wako ndio tatizo, ukiwa na hela ya kutosha huwezi kuleta huu upuuzi muda huu hapa jamvini
Wala siyo umasikini tu umeleta hilo tatizo ni mfumo wetu wa maisha ya jingajinga na kujifanya hatuli Wala kunya ndo kunaleta haya yote, ukienda Nchi za watu wanaojielewa na kujua umuhimu wa chakula kwa wafanyakazi mbona hizo mamantilie zingekuwa safi maana Kila sehemu za kazi kunakuwa na sehuemu za chakula bado Kila ofisi inakuwa na vifaa vya kupasha chakula watu wanakuja na chakula kutoka nyumbani ukifika muda wa kula wanapasha wenyewe wanakula Sasa huu mfumo wa kijinga tulionao ni shida tu watu wamekuzwa kivivu sana kijana mwenye nguvu zake hajui hata kujiandalia lunch ya kwenda nayo kazini na anabeba begi kubwa mgongoni kwa kumuiga mzungu, sasa huyo mamantilie kwa kujiona anawateja wengi ambao wanamtegemea yeye badala ya watu kujitegemea kwenye lunch ndo anakuwa na kiburi hicho.
 
Nimemkumbuka yule mama kwenye 3 Idiots alikuwa anasukuma chapati mmewe mgonjwa akakohoa akatumia kisukumio kumkuna kifuani halafu akaendelea kusukumia chapati wakati wageni wanaendelea kula 😂
 
Hii ni sekta moja wapo inayowapati kina mama wengi sana kipato, lakini tatizo limekuwa kwenye kuboresha mazingira yao ya kazi.

Hii imenitokea zaidi ya mara tatu maeneo tofauti tofauti, nimeagiza msosi kabla bado sijala nikasema ngoja nikague kijiko aiseeeh ni aibu, nimeletewa kijiko kinaonekana kimetoka kutumika muda si mrefu bado kina mabaki ya chakula. Kwa maana hiyo hakijasafishwa vizuri

Maeneo ya kulia chakula hasa mezani, nzi kibao unakula chakula mara nzi kadondokea kwenye chakula inatia kinyaa.

Mama ntilie kama mpo humu naomba mbadilike mnatulisha uchafu, jitahidini kuwa wasafi.
Unakula chakula wapi bwana mdogo? Tafuta hela au acha kulalamika piga kimya Yani unakula msosi wa buku unatarajia nini??

Huduma huboreshwa pale pesa inapolipwa zaidi kwa huduma , hata demu ukimpa daunzuri Hadi tigo unajipigia tu Sasa ukiwa day dogo hata mic hanyonyi ng'o
 
Kule kwenye migahawa yenu njiani mabasi yanaposimama kula mnalipa chips/kuku robo 7,000/-, hamjawahi kuangalia jinsi wanavyoandaa au kukatakata hizo kuku, mmmh haki ya nani!.
 
Hii ni sekta moja wapo inayowapati kina mama wengi sana kipato, lakini tatizo limekuwa kwenye kuboresha mazingira yao ya kazi.

Hii imenitokea zaidi ya mara tatu maeneo tofauti tofauti, nimeagiza msosi kabla bado sijala nikasema ngoja nikague kijiko aiseeeh ni aibu, nimeletewa kijiko kinaonekana kimetoka kutumika muda si mrefu bado kina mabaki ya chakula. Kwa maana hiyo hakijasafishwa vizuri

Maeneo ya kulia chakula hasa mezani, nzi kibao unakula chakula mara nzi kadondokea kwenye chakula inatia kinyaa.

Mama ntilie kama mpo humu naomba mbadilike mnatulisha uchafu, jitahidini kuwa wasafi.
Kasheshe.
 
Asilimia 90 za majiko tunayokula huko mtaani iwe ni hoteli kubwa migahawa au kwa mama ntilie hawajali usafi na vyakula vinakaa sana kwenye mafriji.

Chakula safi na salama ni unachopika wewe tu.
 
Hizi mambo zinaendaga na Hali ya umaskini... Mama mwenyew ukimgusa kichwani utamkuta la saba B, ukiangalia mtaji utakuta elf 14, anapikia kuni. Nlikulaga mihogo Kwa WAMAMA flani hivi mbagala hapo loh! Mihogo imechemshwa yule mama anajikuna makwapa alafu anaokota mihogo anaikaanga mbele yangu. Nkajiuliza kachumbali kaikata vipi???. Mm kula hovyo hovyo HAPANA

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Wakishua sio😂😂😂
 
Back
Top Bottom