Baadhi ya mandhari ya hotel ya Bwana Mwamposa

Biashara ni matangazo, sasa kama inafichwafichwa itawezaje kutoa kwenye soko lenye ushindani?

Hataki kondoo waone namna sadaka zao zinatumika kwenye mambo yasiyo ya kiroho?
 
EvilSpirit
Mkuu ni huyu huyu wa kawe pale au unazungumzika mtu anatumia jina la ubin mwamposa??
Hebu leta document na picha za ushahidi tuthibitishe kama sio chai yenye tangawizi nyingi hii
Ni huyo huyo juz juzi alikua anazindua
EvilSpirit
Mkuu ni huyu huyu wa kawe pale au unazungumzika mtu anatumia jina la ubin mwamposa??
Hebu leta document na picha za ushahidi tuthibitishe kama sio chai yenye tangawizi nyingi hii
 
Hapa ndo huwa watumishi wengi wa Mungu nashindwa kuwaelewa. Kwanini hawajengi makanisa kama RC na KKKT.
 
Pako vizuri ni uwekezaji na ubunifu safi sana
 
Kuna mtu amesema si pa kawaida shehe?
Mbna picha hamna , hotel inafichwa fichwa kama madawa ya kulevya , Ile itakuwa lodge type, Ila Kwa sababu ya umaarufu ndo inapewa airtime
 
Mbna picha hamna , hotel inafichwa fichwa kama madawa ya kulevya , Ile itakuwa lodge type, Ila Kwa sababu ya umaarufu ndo inapewa airtime
Hahaha nani anaifichaficha mkuu
 
Em wakuu mnisaidie mie nikiona hivi nawaza like hii project labda ni letsay ya 2billion so hapa nafkiria hii pesa atarudisha na faida kwa muda mfupi najikuta naona hapana labda faida ataila baada ya letsay 20yrs sasa naona kama haina maana
 
Wanaotoa sadaka wengine, wenye uchungu wengine! Nchi hii watu wachawi wachawi
 
Nimecheka sana hii comment πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…