Baadhi ya mandhari ya hotel ya Bwana Mwamposa

Baadhi ya mandhari ya hotel ya Bwana Mwamposa

Msiwe na wivu... mafanikio hayaji bila kuya angaikia...

Nanyie kaanzisheni madhabau kama ni rahisi...

Ukizoom hizo picha una muona mwamposa, ni kama mpiga picha alikuwa ana deal na yeye tu
Kwahiyo ni kosa kupiga picha au
 
Cha ajabu ni kuwa, Hana kanisa Rasmi ana kodisha maeneo tu na kuhama hama Leo vatikan Sinza kesho yupo Tanganyika peakers .. sasa una jiuliza kama ana uwezo wa kujenga hotel Yake binafsi

Mbona hakuweza kuzikusanya amjengee Mungu Madhabahu ya Kudumu? akifa leo Ana acha kanisa gani la kuendelea kumtukuz bwana au ndio basi na huduma ina kufa?
 
Chaajabu ni kuwa, Hana kanisa Rasmi ana kodisha maeneo tu na kuhama hama Leo vatikan Sinza kesho yupo Tanganyika peakers .. sasa una jiuliza kama. ana uwezo wa kujenga hotel Yake binafsi..
Ndio wanatafuta Kama eka kumi hivi zilizokaa sehemu nzuri ,na rahisi kufika watu,ata zikiwa zinauzwa bilioni 5,nenda pale kanisani kwake uwape maelezo
 
Chaajabu ni kuwa, Hana kanisa Rasmi ana kodisha maeneo tu na kuhama hama Leo vatikan Sinza kesho yupo Tanganyika peakers .. sasa una jiuliza kama. ana uwezo wa kujenga hotel Yake binafsi..
Mkuu Mwamposa anachofanya ktk kanisa inaitwa huduma. Yeye ni muumini ambaye yupo chini ya askofu Maboya. Kwaiyo huduma ni popote pale penye uhitaji haiitaji jengo.
 
Huna akili

Acha kuzusha uongo
Ms***e nini wewe nazusha nini wakati nilikuwepo kwenye uzinduzi huu mwamposa mwenyewe alikuwepo halafu msiwe mnabisha kwenye vitu ambavyo hamvijui bwege wewe
 
Nina video yake ila nashindwa kuipandisha hapa ni hotel kubwa hasa mgeni rasmi alieizindua ni tulia ackson
 
Back
Top Bottom