Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ni kosa kupiga picha auMsiwe na wivu... mafanikio hayaji bila kuya angaikia...
Nanyie kaanzisheni madhabau kama ni rahisi...
Ukizoom hizo picha una muona mwamposa, ni kama mpiga picha alikuwa ana deal na yeye tu
Ni Kijiji cha Mwashiwawala Mbalizi MbeyaNi wapi. Unaficha nn na ilhali uzinduzi ulifanyika na watu nyomi
Sijui labda atasaliaga humohumo hoteliniChaajabu ni kuwa, Hana kanisa Rasmi ana kodisha maeneo tu na kuhama hama Leo vatikan Sinza kesho yupo Tanganyika peakers .. sasa una jiuliza kama. ana uwezo wa kujenga hotel Yake binafsi..
Ndio wanatafuta Kama eka kumi hivi zilizokaa sehemu nzuri ,na rahisi kufika watu,ata zikiwa zinauzwa bilioni 5,nenda pale kanisani kwake uwape maelezoChaajabu ni kuwa, Hana kanisa Rasmi ana kodisha maeneo tu na kuhama hama Leo vatikan Sinza kesho yupo Tanganyika peakers .. sasa una jiuliza kama. ana uwezo wa kujenga hotel Yake binafsi..
Kichwa cha habari kinasema Hotel, picha zinaonesha punda
Mkuu Mwamposa anachofanya ktk kanisa inaitwa huduma. Yeye ni muumini ambaye yupo chini ya askofu Maboya. Kwaiyo huduma ni popote pale penye uhitaji haiitaji jengo.Chaajabu ni kuwa, Hana kanisa Rasmi ana kodisha maeneo tu na kuhama hama Leo vatikan Sinza kesho yupo Tanganyika peakers .. sasa una jiuliza kama. ana uwezo wa kujenga hotel Yake binafsi..
Wenyewe wanaishi kwenye nyumba zenye bati za kutuhela za wajinga
Ms***e nini wewe nazusha nini wakati nilikuwepo kwenye uzinduzi huu mwamposa mwenyewe alikuwepo halafu msiwe mnabisha kwenye vitu ambavyo hamvijui bwege weweHuna akili
Acha kuzusha uongo
Hiyo chai kapika bibi yako pumbavuChai
Naam uko sahihi naona kuna vilaza wana mashakaNina video yake ila nashindwa kuipandisha hapa ni hotel kubwa hasa mgeni rasmi alieizindua ni tulia ackson