Baadhi ya maoni ya Wazanzibar kuhusu ujenzi wa daraja Dar to Zanzibar

Khaa...si ubadilishwe mpango tuachane na daraja, mambo gani kutwishana mitusi hivyo...labda sio kipaumbele kwao...
 
Dini gani inaruhusu matusi hvo., Nahisi wamekosa Elimu hawa.
 
Kuna post thread niliona hapa inapinga ujenzi wa daraja la Dar es salaam Zanziba ati halina umuhimu ni bora badala yake lijengwe Kigoma mpaka DRC ndio muhimu . Kupinga huu mradi ni chuki tu si lolote ni kwanini siku zote mtu asiseme kuna umuhimu wa kujengwa daraja katika ziwa Tanganyika kwa ajili ya kuunganisha Congo na Tanzania.
 
Mbona maada haifanani na kichwa cha habari cha ujenzi wa daraja!!? Wewe ndio unae eneza chuki kwa nguvu!
 
Asili ya wazanzibar wengi ni mikoa ya Kigoma na Tabora, kule walichukuliwa na kupelekwa kufanya kazi kwenye mashamba ya waarabu. Ndiyo maana hadi leo hii ukienda hiyo mikoa baadhi ya sehemu, kama ni mgeni unaweza kusema nililala nikaamkia Zanzibar walivyofanana kiasili
 
kiujumla Wazanzibar wengi wanamaumivu ya ndani na sababu kubwa ni historia yao ya kuwepo kwao.
raia halali wa kisiwa hicho waliuwawa na wao hawakotayari kusema ukweli juu ya hili.
waliobaki wanatokana na makundi mawili makubwa ambayo ni chanzo cha maumivu haya:-
  1. wazanzibr waliotokana na watumwa ambao walikuja kufanya kazi kwenye karafuu au hawakuweza kuuzwa.
  2. waliozaliwa na starehe za waarabu..
 
Sasa Tanganyika na zanzibar wapi penye manufaa kwa mwenzake..? Acheni upumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…