eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Kwanza tueshimiane sijazaliwa 1994Wewe hujui ukiongeacho,ilimradi tu na wewe uonekane umechangia!
Siwezi kubishana na wewe uliyezaliwa 1994 unanipotezea muda, hao wachezaji uliowataja hawamo hata 30 bora. Wewe unaonekana ni mshabiki wa timu flan ndiomaana umewajaza hao vilaza wasiojulikana katika media,fifa na mashabiki duniani.
Hapo best players ni 1-Messi 2-Diego 3-Zidane 4-pele.
Kwanza tueshimiane sijazaliwa 1994
Pili wewe ni shabiki wa mesi na maradona
Tatu mimi sio mshabiki wa wachezaji kupigiwa kura mimi ni mpenzi wa rekodi zilizomo
So pelle anabaki kua namba 1na vyura wengine wanafuata
Hata kwa kigezo cha magoli Pele goli 1000 maradona ngapi?.Maradona ni hatari zaidi ya Pele.
Messi hana mfano wake.
Barca ya 2009-11 ni timu hatari zaidi kuwahi kuishuhudia.
Lampard na Gerrard hawakuwahi kuwa world class midfielders na ndio maana walifeli.
Thierry Henry anabaki kuwa mchezaji bora zaidi wa kigeni kuwahi kucheza EPL.
Zidane akiwa anacheza hakuwa na mpinzani wa kariba yake hivyo Gaucho alijaribu lakini hakufanikiwa.
Mchezo wa soka ni moja kati ya michezo yenye mvuto na msisimko mkubwa, lakini pia ni mchezo wenye matukio mengi mazuri, mabaya na hata ya kuhuzunisha.
Yafuatayo ni baadhi ya maswali ambayo kwa namna fulani yamekosa majibu ya moja kwa moja.
1. Pele na Maradona ni nani Mchezaji bora wa wakati wote
2. Ronaldo na Messi ni yupi Mchezaji bora kuliko mwenzake?
3. Kati ya Ronaldo, Thiery Henry na Denis Bergkamp yupi ni mchezaji bora zaidi wa kigeni kucheza EPL?
4.Nini chanzo cha ugomvi baina ya Zidane na Marco Materazzi katika fainali ya world cup 2006?
5. Barcelona ya 2009-2011 na Brazil ya 1970 iliyochukua ubingwa wa dunia, ipi ni timu bora zaidi katika historia ya soka?
6.Kombinesheni ya Frank Lampard na Steven Gerrard katika timu ya taifa ya England imewahi kuwa na mafanikio?
7.Nani alikuwa fundi zaidi kati ya Zidane na Gaucho?
Weka na wewe Maswali yako unayohisi hayajawahi kuwa na majibu halisi.
alipatwa na degedege8. Kitu gani kilitokea kwa Ronaldo De Lima kabla ya mechi ya fainali ya kombe la dunia mwaka 1998?
Mchezo wa soka ni moja kati ya michezo yenye mvuto na msisimko mkubwa, lakini pia ni mchezo wenye matukio mengi mazuri, mabaya na hata ya kuhuzunisha.
Yafuatayo ni baadhi ya maswali ambayo kwa namna fulani yamekosa majibu ya moja kwa moja.
1. Pele na Maradona ni nani Mchezaji bora wa wakati wote
2. Ronaldo na Messi ni yupi Mchezaji bora kuliko mwenzake?
3. Kati ya Ronaldo, Thiery Henry na Denis Bergkamp yupi ni mchezaji bora zaidi wa kigeni kucheza EPL?
4.Nini chanzo cha ugomvi baina ya Zidane na Marco Materazzi katika fainali ya world cup 2006?
5. Barcelona ya 2009-2011 na Brazil ya 1970 iliyochukua ubingwa wa dunia, ipi ni timu bora zaidi katika historia ya soka?
6.Kombinesheni ya Frank Lampard na Steven Gerrard katika timu ya taifa ya England imewahi kuwa na mafanikio?
7.Nani alikuwa fundi zaidi kati ya Zidane na Gaucho?
Weka na wewe Maswali yako unayohisi hayajawahi kuwa na majibu halisi.
alipatwa na degedege
eti magic messi.....lolCristiano ronaldo kumfananisha na "magic messi" huko ni kumtukana messi, messi is ana amazing player existed in this planet. Then zidane na Ronaldinho gaucho huo utakuwa utani aisee, Gaucho ni mtu aliyeujua mpira kuliko player mwingine na cidhani km kuna player atakuja kuonesha ufundi km dinho kwenye kizazi hiki cha akina baloteli+rooney+neymar jr+etc. So stop comparing dinho na huyo kipara zidane.
kwa zidane, ahhahahaha, hujaangalia enzi zake nini,? Toa discipline, ila mbungi alikuwa nayo. Discipline mbovu haikuanzia kwa materazi, hakuwa na uwezo wa kudhibiti hasira, na aliahibu waziwazi maru za hivo lukuki.Yamekosa majibu kwa mujibu wa nani?
1.Pele, ana mafanikio makubwa ki-soka, + ni mfano m'zuri kwa jamii. Hakuna unachoweza kujifunza kutoka kwa teja na mropokaji.
2. Messi, ana-ofa vitu vingi zaidi.
3. Cristiano. Ballon d'or, Champs league, golden boot.
4. Maneno machafu ya Materazzi.
6. Timu ya taifa ya England haijawahi kuwa na mafanikio katika kipindi cha hao jamaa.
7. Zidane. Consistent, discipline, more individual success, team leading qualities.
ndio baba umemaliza vingine ni kulazimishanahakuna wa kumlinganisha na ronaldinho mpaka sasa, unaweza kumlinganisha kwa baadhi tu, mfano ufungaji wa ronaldinho na mchezaji fulani lakini sio kipaji chake, alikua na kipaji cha pekee huyu super
wewe shabiki kitumbua wakati wewe unapokea vigezo vilivyowekwa ufahamu pia hao unaojadiliana nao wana vigezo vyao pia.MTOA MADA NI MWENYE AKILI NYINGI ALIPOSEMA MASWALI YALIYOKOSA MAJIBU,kunapokosekana kukubaliana kwa watu katika jambo fulani ndio kukosa majibu kila mtu na mpenzi yake.Kwa kigezo kipi? Ninyi mashabiki mandazi huwa mnatusumbua mno kwenye hili jukwaa, Huwa sipendi kumsifia flan without evidence! Naomba uje na facts,evidence and statisticts kama we ni kidume haswaaa, na kama itaonyesha amewapita akina Maradona,Messi,Zidane,Redondo,Pele,cr7,Henry naomba mods wani-ban hii leo. ni hilo tu
Hahahaha acha utani mkuu Brazil ya mwaka 70 ya kina Tostao, carlos alberto, rivelino, Jairzinho,pele n.k ndio ulinganishe na hao watoto wa juzi5. Barcelona ya 2009-2011 ndio bora zaidi kama klabu maana ilibeba vikombe vingi kuliko Brazil ya 1970 kama timu ya taifa
Kwamba pele kakuta offside hakuna?? Mbona husemi alikuta red card hamna?? Mbona husemi alikuta hakuna penalty za baada ya extra time?? Mbona husemi alikuta hamna sub ukivunjwa mguu mnabaki 10 pekee ??1-Aseee Maradona kakuta mpira ushakomaa,Enzi za pele hata offside hakuna.
2-Messi na Ronaldo kiukweli messi kafanikiwa sana kuliko Ronaldo kwa ngazi ya vilabu,Messi ni kipaji halisi...
3-Kwa iyo List ni Ronaldo aliyefanikiwa sana Kwa Epl mpaka kuchukua Ballon Dor
4-Inavyosemekanaaa Materaz alimtukana Zidane kuhusu dada ake lakini mwenyew alikanushaa kwenye kitabu chake....
5-Acha kabisa barca ya 2009-2011 imetesa wengi bana,nazani ndo timu ambayo ukiingia kucheza yao unajua ushafungwa...
6-Frank Lampard na Steve G kama mafuta na maji hawawez kukaa pamoja labda kama wangecheza kwa pamoja muda mrefu yan ngazi za filabu,kuhusu mafanikio England hainaga mafanikio tangu 1966
7-Kwa ufundi Gaucho ila zidane ndo mchezaji aliyekamilika zaidi kww wachezaji niliobahatika kuwaona.