Baadhi ya maswali yaliokosa majibu Kwenye Soka

Baadhi ya maswali yaliokosa majibu Kwenye Soka

Majibu ni kama ifuatavyo kutokana na maswali yako, hii ni kwa mujibu wangu mimi mdau wa soka:
1. Swali la kwanza naweza kusema Maradona kwa sababu zifuatazo: Pele alicheza soka na kuwika sana miaka ya 50 mpaka 60 mwishoni. Kutokana na mbwembwe zake za kipindi kile alionekana ni mchezaji bora duniani kwa sababu alikuwa anacheza na wapinzani ambao walikuwa more pedestrian than himself na mpira wa kipindi kile ulikuwa hauna utaalam zaidi ya kufuata formation na kila mchezaji alimkaba mtu wake.
2. Swali la pili nafikiri Messi ni zaidi kwa sababu ni mchezaji anayecheza kitimu zaidi kuliko CR7 anayejali zaidi rekodi binafsi na hachezi kitimu.
3. Kwa swali la 3 naweza kusema CR7 kwa sababu alileta changamoto zaidi kwa timu pinzani japo wote uliowataja walikuwa hatari.
4. Ugomvi wa hawa jamaa ulitokana na Materazzi kutukana dada wa Zizzou na kutukana familia yake.
5. Swali la 5 jibu ni Barca kwani Brazili ya 1970 ilikuwa inaishia ukingoni na timu nyingi za kipindi kile zilikuwa hoehae.
6. Ile kombinantion ni ya kijinga kwani jamaa waliwika sana kwenye vilabu vyao ila katika timu ya taifa hawakuweza kutamba na dunia iliwashangaa.
7. Mkuu wacha utani, hata kwa akili yako unaweza kuniambia kuwa Gaucho alikuwa fundi zaidi ya Zizzou? Zizzou ni mrusha mabomu ya uhakika, jamaa ni computer wa karne ijayo. Nawakilisha.

Fact
 
Cjawahi kusikia, mchezaji anafananishwa na gaucho.....utasikia new pele, new mess, new maradona na wa wjingawajinga wengine, gaucho ni nabii wa soka.

Hajafikia level ya Zidane,kempes and Requelme.kwa akina Messi Diego, Puskas, Cruyff, alfredo and Pele ataweza? Tena hilo asahau kabisa
 
hakuna wa kumlinganisha na ronaldinho mpaka sasa, unaweza kumlinganisha kwa baadhi tu, mfano ufungaji wa ronaldinho na mchezaji fulani lakini sio kipaji chake, alikua na kipaji cha pekee huyu super

Zidane akiwa anacheza hakuwa na mpinzani wa kariba yake, hivyo Gaucho alijaribu lakini hakufanikiwa. Je kwa baba zake ataweza? I means MESSI DIEGO AND PELE!!
 
Zidane akiwa anacheza hakuwa na mpinzani wa kariba yake, hivyo Gaucho alijaribu lakini hakufanikiwa. Je kwa baba zake ataweza? I means MESSI DIEGO AND PELE!!

Apo sikubaliani naweye mkuu. Ronaldo de lima, Rui Costa, Totti, Del Piero, Ortega, Aimar, Rivaldo. Walikua wachezaji wakiwango cha juu sana. Sometime you need Luck ili uwe top tu. Na hiyo ndio aliyokuanayo Zidane.

Kama ulikua mdau wa Kabumbu miaka ile kumbuka marangapi mzee upara alishatolewa nishai uwanjani Na Rui Costa, Totti au Pablo Aimar.
 
Apo sikubaliani naweye mkuu. Ronaldo de lima, Rui Costa, Totti, Del Piero, Ortega, Aimar, Rivaldo. Walikua wachezaji wakiwango cha juu sana. Sometime you need Luck ili uwe top tu. Na hiyo ndio aliyokuanayo Zidane.

Kama ulikua mdau wa Kabumbu miaka ile kumbuka marangapi mzee upara alishatolewa nishai uwanjani Na Rui Costa, Totti au Pablo Aimar.

Mkuu kwa upande wangu. Zidane, Requelme and Oriel Ortega nilikuwa nawakubali sana,, na hata Pablo Aimar, De lima,Rui costa mportugal huyu, Zambrotta, Juanfranco Zola and Delpiero nilikuwa nawakubali pia. Lakini hao wa mwanzo walikuwa ni fire wakuotea mbali kiongozi wangu.
 
Tupeni na timu gani ya taifa inayoongoza kwakupata vipigo mwishowe wanazingizia kocha na maandalizi mabovu!
 
Mkuu kwa upande wangu. Zidane, Requelme and Oriel Ortega nilikuwa nawakubali sana,, na hata Pablo Aimar, De lima,Rui costa mportugal huyu, Zambrotta, Juanfranco Zola and Delpiero nilikuwa nawakubali pia. Lakini hao wa mwanzo walikuwa ni fire wakuotea mbali kiongozi wangu.

Del Piero alikua zaidi ya Zidane wakati wakiwa pamoja Juventus. Injury ndizo zilizo muua. Nakubali ki skills Zidane Alikua better kuliko wengi niliowataja lakini ki overall performer mkuu ao watu wote walikua Noma.
 
Majibu yangu
1. Pele
2. Messi
3. Thierry henry
4. Ni maneno ya kejeli toka kwa materazzi
5. Brazil
6. Haijawahi
7. Gaucho ni fundi ila zidane ni bora zaidi.


Km kuna mengine leta mkuu
 
Cristiano ronaldo kumfananisha na "magic messi" huko ni kumtukana messi, messi is ana amazing player existed in this planet. Then zidane na Ronaldinho gaucho huo utakuwa utani aisee, Gaucho ni mtu aliyeujua mpira kuliko player mwingine na cidhani km kuna player atakuja kuonesha ufundi km dinho kwenye kizazi hiki cha akina baloteli+rooney+neymar jr+etc. So stop comparing dinho na huyo kipara zidane.
Gaucho alikuwa fundi kweli kweli, ila zizzou alikuwa bora zaidi.
 
5. Barcelona ya 2009-2011 ndio bora zaidi kama klabu maana ilibeba vikombe vingi kuliko Brazil ya 1970 kama timu ya taifa
Ubora wa vikombe au soka lililokuwa linatandazwa!!?
 
Apo sikubaliani naweye mkuu. Ronaldo de lima, Rui Costa, Totti, Del Piero, Ortega, Aimar, Rivaldo. Walikua wachezaji wakiwango cha juu sana. Sometime you need Luck ili uwe top tu. Na hiyo ndio aliyokuanayo Zidane.

Kama ulikua mdau wa Kabumbu miaka ile kumbuka marangapi mzee upara alishatolewa nishai uwanjani Na Rui Costa, Totti au Pablo Aimar.
Hao wote uliowataja hapo juu kwa zidane kuna vitu walikiwa wanazidiwa, zidane alikiwa mtu hatari, kaangalie game moja madrid vs valencia humo pablo aimar anapiga mpira mwingi mnoooooooo, ila touch 3 tu za zidane zinamaliza mchezo.
 
Yamekosa majibu kwa mujibu wa nani?

1.Pele, ana mafanikio makubwa ki-soka, + ni mfano m'zuri kwa jamii. Hakuna unachoweza kujifunza kutoka kwa teja na mropokaji.

2. Messi, ana-ofa vitu vingi zaidi.

3. Cristiano. Ballon d'or, Champs league, golden boot.

4. Maneno machafu ya Materazzi.

6. Timu ya taifa ya England haijawahi kuwa na mafanikio katika kipindi cha hao jamaa.

7. Zidane. Consistent, discipline, more individual success, team leading qualities.
Maneno machafu ya Materazzi?!
Alisemaje labda tuanzie hapo
 
Hao wote uliowataja hapo juu kwa zidane kuna vitu walikiwa wanazidiwa, zidane alikiwa mtu hatari, kaangalie game moja madrid vs valencia humo pablo aimar anapiga mpira mwingi mnoooooooo, ila touch 3 tu za zidane zinamaliza mchezo.
Unamsifia Mtu kwa mechi moja??
Nyie ndio wale mnaomsifia na kumlinganisa Van Djiyk na Paolo Maldini.
 
Maneno machafu ya Materazzi?!
Alisemaje labda tuanzie hapo

20200510_164101.jpg
 
Jamani,hata leo hii uniambie kati ya messi na gaucho nani zaidi nitakwambia gaucho sasa kweli ndio umlinganishe na zidane?
 
Mchezo wa soka ni moja kati ya michezo yenye mvuto na msisimko mkubwa, lakini pia ni mchezo wenye matukio mengi mazuri, mabaya na hata ya kuhuzunisha.

Yafuatayo ni baadhi ya maswali ambayo kwa namna fulani yamekosa majibu ya moja kwa moja.
1. Pele na Maradona ni nani Mchezaji bora wa wakati wote

2. Ronaldo na Messi ni yupi Mchezaji bora kuliko mwenzake?

3. Kati ya Ronaldo, Thiery Henry na Denis Bergkamp yupi ni mchezaji bora zaidi wa kigeni kucheza EPL?

4.Nini chanzo cha ugomvi baina ya Zidane na Marco Materazzi katika fainali ya world cup 2006?

5. Barcelona ya 2009-2011 na Brazil ya 1970 iliyochukua ubingwa wa dunia, ipi ni timu bora zaidi katika historia ya soka?

6.Kombinesheni ya Frank Lampard na Steven Gerrard katika timu ya taifa ya England imewahi kuwa na mafanikio?

7.Nani alikuwa fundi zaidi kati ya Zidane na Gaucho?

Weka na wewe Maswali yako unayohisi hayajawahi kuwa na majibu halisi.


1 Diego armando Maradona weka mbali na uyo mbabu
2 Messi hana mfanoe katika wachezaji wote
3 Cr7
4 maneno machafu
5 Barcelona iliyochukua ubingwa mara nyingi na uchezaji wake wa aina yake usilinganishe na hao brazili waliochukua mara moja.
6 Hapana
7 Zidane mtu wa kazi na show kidogo,,,gaucho mtu wa show mafanikio hewa.


Mussolin5
 
Majibu ni kama ifuatavyo kutokana na maswali yako, hii ni kwa mujibu wangu mimi mdau wa soka:
1. Swali la kwanza naweza kusema Maradona kwa sababu zifuatazo: Pele alicheza soka na kuwika sana miaka ya 50 mpaka 60 mwishoni. Kutokana na mbwembwe zake za kipindi kile alionekana ni mchezaji bora duniani kwa sababu alikuwa anacheza na wapinzani ambao walikuwa more pedestrian than himself na mpira wa kipindi kile ulikuwa hauna utaalam zaidi ya kufuata formation na kila mchezaji alimkaba mtu wake.
2. Swali la pili nafikiri Messi ni zaidi kwa sababu ni mchezaji anayecheza kitimu zaidi kuliko CR7 anayejali zaidi rekodi binafsi na hachezi kitimu.
3. Kwa swali la 3 naweza kusema CR7 kwa sababu alileta changamoto zaidi kwa timu pinzani japo wote uliowataja walikuwa hatari.
4. Ugomvi wa hawa jamaa ulitokana na Materazzi kutukana dada wa Zizzou na kutukana familia yake.
5. Swali la 5 jibu ni Barca kwani Brazili ya 1970 ilikuwa inaishia ukingoni na timu nyingi za kipindi kile zilikuwa hoehae.
6. Ile kombinantion ni ya kijinga kwani jamaa waliwika sana kwenye vilabu vyao ila katika timu ya taifa hawakuweza kutamba na dunia iliwashangaa.
7. Mkuu wacha utani, hata kwa akili yako unaweza kuniambia kuwa Gaucho alikuwa fundi zaidi ya Zizzou? Zizzou ni mrusha mabomu ya uhakika, jamaa ni computer wa karne ijayo. Nawakilisha.

Mwenye kipaji chake katika ichambuzi,,,,,,ubarikiwe sana Mkuu Mkereketwa_Huyu ✔✔✔✔✔✔✔
 
Back
Top Bottom