eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Kwanza tueshimiane sijazaliwa 1994Wewe hujui ukiongeacho,ilimradi tu na wewe uonekane umechangia!
Siwezi kubishana na wewe uliyezaliwa 1994 unanipotezea muda, hao wachezaji uliowataja hawamo hata 30 bora. Wewe unaonekana ni mshabiki wa timu flan ndiomaana umewajaza hao vilaza wasiojulikana katika media,fifa na mashabiki duniani.
Hapo best players ni 1-Messi 2-Diego 3-Zidane 4-pele.
Pili wewe ni shabiki wa mesi na maradona
Tatu mimi sio mshabiki wa wachezaji kupigiwa kura mimi ni mpenzi wa rekodi zilizomo
So pelle anabaki kua namba 1na vyura wengine wanafuata