Baadhi ya maswali yaliokosa majibu Kwenye Soka

Baadhi ya maswali yaliokosa majibu Kwenye Soka

Wewe hujui ukiongeacho,ilimradi tu na wewe uonekane umechangia!

Siwezi kubishana na wewe uliyezaliwa 1994 unanipotezea muda, hao wachezaji uliowataja hawamo hata 30 bora. Wewe unaonekana ni mshabiki wa timu flan ndiomaana umewajaza hao vilaza wasiojulikana katika media,fifa na mashabiki duniani.

Hapo best players ni 1-Messi 2-Diego 3-Zidane 4-pele.
Kwanza tueshimiane sijazaliwa 1994
Pili wewe ni shabiki wa mesi na maradona
Tatu mimi sio mshabiki wa wachezaji kupigiwa kura mimi ni mpenzi wa rekodi zilizomo
So pelle anabaki kua namba 1na vyura wengine wanafuata
 
Kwanza tueshimiane sijazaliwa 1994
Pili wewe ni shabiki wa mesi na maradona
Tatu mimi sio mshabiki wa wachezaji kupigiwa kura mimi ni mpenzi wa rekodi zilizomo
So pelle anabaki kua namba 1na vyura wengine wanafuata

Poa mkuu! Sasa why unakataa Diego si mchezaji bora wa dunia kumzidi pele? Kwani hizo kura alizopata yeye Diego kutoka kwa mashabiki wanaomkubali duniani, na fifa ikamtangaza kutokana na hizo kura alizopata =asilimia 58 je ni za uongo?
 
Ndio maana nikasema rekodi ndio zinamjua alie bora na tukuweka rekodi za kila mmoja hapa pele anabaki kua namba 1
Shabiki kupiga kura sawa na inawezekana hawajamkuta pelle akiwa katika ubora wake
Mwaka 1970 wakati pele akionyesha kiwango cha juu kabisa katika soka hapa alikua na miaka 30
Wakati akiipatia ubingwa wa dunia brazili kwa mara ya tatu
Sikatai maradona ni bora ila pelle ni zaidi ya ubora katika soka la dunia hii
 
Maradona ni hatari zaidi ya Pele.

Messi hana mfano wake.

Barca ya 2009-11 ni timu hatari zaidi kuwahi kuishuhudia.

Lampard na Gerrard hawakuwahi kuwa world class midfielders na ndio maana walifeli.

Thierry Henry anabaki kuwa mchezaji bora zaidi wa kigeni kuwahi kucheza EPL.

Zidane akiwa anacheza hakuwa na mpinzani wa kariba yake hivyo Gaucho alijaribu lakini hakufanikiwa.
Hata kwa kigezo cha magoli Pele goli 1000 maradona ngapi?.
 
1. Gaucho ndo mchezaji bora wa wakati wote (japo hujampambanisha)
7.Gaucho ni bora zaidi ya Zidane
 
Mchezo wa soka ni moja kati ya michezo yenye mvuto na msisimko mkubwa, lakini pia ni mchezo wenye matukio mengi mazuri, mabaya na hata ya kuhuzunisha.

Yafuatayo ni baadhi ya maswali ambayo kwa namna fulani yamekosa majibu ya moja kwa moja.
1. Pele na Maradona ni nani Mchezaji bora wa wakati wote

2. Ronaldo na Messi ni yupi Mchezaji bora kuliko mwenzake?

3. Kati ya Ronaldo, Thiery Henry na Denis Bergkamp yupi ni mchezaji bora zaidi wa kigeni kucheza EPL?

4.Nini chanzo cha ugomvi baina ya Zidane na Marco Materazzi katika fainali ya world cup 2006?

5. Barcelona ya 2009-2011 na Brazil ya 1970 iliyochukua ubingwa wa dunia, ipi ni timu bora zaidi katika historia ya soka?

6.Kombinesheni ya Frank Lampard na Steven Gerrard katika timu ya taifa ya England imewahi kuwa na mafanikio?

7.Nani alikuwa fundi zaidi kati ya Zidane na Gaucho?

Weka na wewe Maswali yako unayohisi hayajawahi kuwa na majibu halisi.


Kati ya wachezaji wanao heshimika Brazil ni pamoja na Garrincha, ila ni kwanini dunia ya mpira haimpi heshima hiyo??
 
Mchezo wa soka ni moja kati ya michezo yenye mvuto na msisimko mkubwa, lakini pia ni mchezo wenye matukio mengi mazuri, mabaya na hata ya kuhuzunisha.

Yafuatayo ni baadhi ya maswali ambayo kwa namna fulani yamekosa majibu ya moja kwa moja.
1. Pele na Maradona ni nani Mchezaji bora wa wakati wote

2. Ronaldo na Messi ni yupi Mchezaji bora kuliko mwenzake?

3. Kati ya Ronaldo, Thiery Henry na Denis Bergkamp yupi ni mchezaji bora zaidi wa kigeni kucheza EPL?

4.Nini chanzo cha ugomvi baina ya Zidane na Marco Materazzi katika fainali ya world cup 2006?

5. Barcelona ya 2009-2011 na Brazil ya 1970 iliyochukua ubingwa wa dunia, ipi ni timu bora zaidi katika historia ya soka?

6.Kombinesheni ya Frank Lampard na Steven Gerrard katika timu ya taifa ya England imewahi kuwa na mafanikio?

7.Nani alikuwa fundi zaidi kati ya Zidane na Gaucho?

Weka na wewe Maswali yako unayohisi hayajawahi kuwa na majibu halisi.



  1. Diego maradona
  2. King Messi
  3. Cr7 and Berkamps
  4. Maneno machafu
  5. Barcelona
  6. Nothing
  7. Ustazi zinedine hakuwa na mpinzani labda Requelme kwa mbali though hukumweka

Sina swali my friend Mussolin5! Maana mpaka sasa bado sijaona wa kumfikia Messi wala Diego! Thank you
 
Cristiano ronaldo kumfananisha na "magic messi" huko ni kumtukana messi, messi is ana amazing player existed in this planet. Then zidane na Ronaldinho gaucho huo utakuwa utani aisee, Gaucho ni mtu aliyeujua mpira kuliko player mwingine na cidhani km kuna player atakuja kuonesha ufundi km dinho kwenye kizazi hiki cha akina baloteli+rooney+neymar jr+etc. So stop comparing dinho na huyo kipara zidane.
eti magic messi.....lol
 
kwangu mimi hapo kwa messi na ronaldo namchukua ronaldo....why...takwimu hazidanganyi ronaldo ni lethal mnoo akiwepo uwanjani anaweza kukupoteza saa yoyote kuhusu kipaji sijui asili.... kwa tunaocheza mpira tunajua kama mpira hujui ni hujui tu....and the guy his age pia inanifanya nimheshimu ....massive . respect from 4-1 to 5-5 . ballon d' ors si haba....
 
Yamekosa majibu kwa mujibu wa nani?

1.Pele, ana mafanikio makubwa ki-soka, + ni mfano m'zuri kwa jamii. Hakuna unachoweza kujifunza kutoka kwa teja na mropokaji.

2. Messi, ana-ofa vitu vingi zaidi.

3. Cristiano. Ballon d'or, Champs league, golden boot.

4. Maneno machafu ya Materazzi.

6. Timu ya taifa ya England haijawahi kuwa na mafanikio katika kipindi cha hao jamaa.

7. Zidane. Consistent, discipline, more individual success, team leading qualities.
kwa zidane, ahhahahaha, hujaangalia enzi zake nini,? Toa discipline, ila mbungi alikuwa nayo. Discipline mbovu haikuanzia kwa materazi, hakuwa na uwezo wa kudhibiti hasira, na aliahibu waziwazi maru za hivo lukuki.
 
Jifunze kutofautisha kati ya Ronaldo na Cristiano Ronaldo

Ukiandika tu Ronaldo basi unamaanisha DE Lima
 
hakuna wa kumlinganisha na ronaldinho mpaka sasa, unaweza kumlinganisha kwa baadhi tu, mfano ufungaji wa ronaldinho na mchezaji fulani lakini sio kipaji chake, alikua na kipaji cha pekee huyu super
ndio baba umemaliza vingine ni kulazimishana
 
Kwa kigezo kipi? Ninyi mashabiki mandazi huwa mnatusumbua mno kwenye hili jukwaa, Huwa sipendi kumsifia flan without evidence! Naomba uje na facts,evidence and statisticts kama we ni kidume haswaaa, na kama itaonyesha amewapita akina Maradona,Messi,Zidane,Redondo,Pele,cr7,Henry naomba mods wani-ban hii leo. ni hilo tu
wewe shabiki kitumbua wakati wewe unapokea vigezo vilivyowekwa ufahamu pia hao unaojadiliana nao wana vigezo vyao pia.MTOA MADA NI MWENYE AKILI NYINGI ALIPOSEMA MASWALI YALIYOKOSA MAJIBU,kunapokosekana kukubaliana kwa watu katika jambo fulani ndio kukosa majibu kila mtu na mpenzi yake.
 
5. Barcelona ya 2009-2011 ndio bora zaidi kama klabu maana ilibeba vikombe vingi kuliko Brazil ya 1970 kama timu ya taifa
Hahahaha acha utani mkuu Brazil ya mwaka 70 ya kina Tostao, carlos alberto, rivelino, Jairzinho,pele n.k ndio ulinganishe na hao watoto wa juzi

Kwa ufupi goli bora katika historia ya mpira limetokana na timu hiyo ya mwaka 70 kma hujawahi liona basi una haki ya kuwashabikia hao watoto wa juzi

Moja ya goli la ajabu la pasi ya timu nzima bila wazungu kugusa mpira

 
1-Aseee Maradona kakuta mpira ushakomaa,Enzi za pele hata offside hakuna.


2-Messi na Ronaldo kiukweli messi kafanikiwa sana kuliko Ronaldo kwa ngazi ya vilabu,Messi ni kipaji halisi...

3-Kwa iyo List ni Ronaldo aliyefanikiwa sana Kwa Epl mpaka kuchukua Ballon Dor


4-Inavyosemekanaaa Materaz alimtukana Zidane kuhusu dada ake lakini mwenyew alikanushaa kwenye kitabu chake....


5-Acha kabisa barca ya 2009-2011 imetesa wengi bana,nazani ndo timu ambayo ukiingia kucheza yao unajua ushafungwa...


6-Frank Lampard na Steve G kama mafuta na maji hawawez kukaa pamoja labda kama wangecheza kwa pamoja muda mrefu yan ngazi za filabu,kuhusu mafanikio England hainaga mafanikio tangu 1966


7-Kwa ufundi Gaucho ila zidane ndo mchezaji aliyekamilika zaidi kww wachezaji niliobahatika kuwaona.
Kwamba pele kakuta offside hakuna?? Mbona husemi alikuta red card hamna?? Mbona husemi alikuta hakuna penalty za baada ya extra time?? Mbona husemi alikuta hamna sub ukivunjwa mguu mnabaki 10 pekee ??

Tuache ushabiki pele hana mfano wake alistaafu hata kabla hajafikisha miaka 30 ila aliweza kubeba world cup 3 na makombe kibao santos huyo maradona kastaafishwa akiwa ameshazidi miaka 34 ila hajafikia hata robo ya mafanikio ya pele ndio umlinganishe naye

Maradona kawaida sana alipokuwa barca alikua mzigo tu nashanga mnamwagia sifa kibao

Kingine kwamba barca ndio timu bora?? Labda nirudie tena kwa kura za FIFA timu bora zaidi katika historia ni Brazil ya mwaka 1970 ikifuatiwa na Timu bora zaidi ambayo haikuwahi kubeba world cup yaani brazil ya 1982 yenye socrates na zico sasa cjui mnapowapaisha hao watoto wajuzi mnatoa wapi takwimu zenu.....

Hao barca walicheza mpira mzuri ila bado hawajafikia vigezo vya Brazil ya enzi hizo unamlinganishaje beki kisiki carlos alberto na carles puyol au gerald pique?? Unamlinganishaje iniesta na gerson
 
Back
Top Bottom