Baadhi ya maswali yaliokosa majibu Kwenye Soka


Yamekosa majibu au huna weye majibu?

1. Technical maradona alikua zaidi ya pele.
2. Kumfananisha messi na ronaldo, ni kudhalilisha mchezo wa mpira. Messi ni classy kwa kila idara.
3. Hivi kwanza ronaldo aliingiaje kwenye list ya all time uchezaje bora wa kigeni EPL? anakipi kikubwa alichofanya pale? Unafaham nini Henry, Zola,Pires, Beckamp, Silva, Cantona wamefanya ndani Epl?
4. Hilo kweli ni pekee kati ya hayo lililokosa majibu.
5. Brazil ya 1970 ilikua ni something else. (Plus pia jaribu kutafuta Brazil ya 1982 mkuu.)
6. Hivi weye uliyaona hayo mafanikio kwani?
7. Zidan alikuwa better player than Ronaldinho ilo halina ubishi.
 
Pengine umri haukupi nafasi ya kumjua Zizzou vyema. Zinedine Zidane alikuwa match decider na sio mcheza show. Na ndio maana France yake iliukamata ulimwengu zaidi ya Brazil ya Ronaldinho
https://www.youtube.com/watch?v=bKMZmEeqHQA
 
Wengi ni vijana na awakumuona Pele the don,but Pele ndo wakarne huyo
 
Hapo na kukosoa ni1,Pele,2maradona,3messi
 
Poa mkuu! Sasa why unakataa Diego si mchezaji bora wa dunia kumzidi pele? Kwani hizo kura alizopata yeye Diego kutoka kwa mashabiki wanaomkubali duniani, na fifa ikamtangaza kutokana na hizo kura alizopata =asilimia 58 je ni za uongo?
Ni uongo coz ushindi waligawanywa,na afu wengi ni vitoto havikumuona Pele mnyamal
 
Kaangarie rekodi
1,Pele
2,maradona
3,messi&cr7
 
Pele ndo alichukua,kaangalie takwimu ujue moja ni nani

Pele wengi hawakumuona but ndo number moja duniani


Pele forever


Wengi ni vijana na awakumuona Pele the don,but Pele ndo wakarne huyo


Pele oyyyeeee

Sio wa haki,Pele amemzidi kila kitu uyo andunje

Pele player of the century's


Zidane sio namba tatu umelewa


Hapo na kukosoa ni1,Pele,2maradona,3messi


Ni uongo coz ushindi waligawanywa,na afu wengi ni vitoto havikumuona Pele mnyamal

Unaonekana unampenda maradona acha unazi wa kiboya,na utoe hiyo picha hapo fasta uweke ya Pele
1,Pele
2,maradona
3,messi&cr7


Kaangarie rekodi
1,Pele
2,maradona
3,messi&cr7


Rekodi ndo zinasema



Masikini ya Mungu yani unatangatanga tu kijana, tazama comments ulizopost alafu jitathimini upya...so sina haja tena ya kwendelea,, nakuona bado sana kwenye haya mambo...maana sijaona hoja ya maana hapo except unarudiarudia tu. Mchana mwema!!!!
 

Fact Kabisa. God bless you Mchochezi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…