Baadhi ya Mawaziri Serikali ya Awamu ya Sita wamekuwa na Utajiri wa ghafla usio kifani

Baadhi ya Mawaziri Serikali ya Awamu ya Sita wamekuwa na Utajiri wa ghafla usio kifani

Kuna baadhi ya Mawaziri wa Awamu ya Sita wamekuwa na utajiri mkubwa na wa ghafla usioendana na kipato chao.

Hii inathibitishwa na maelezo ya Wabunge wenzao ambao hali zao ni ngumu kifedha kwa sasa. Mawaziri hao wamekuwa na tabia ya kugawa fedha ili Bajeti zao ziungwe mkono kwa mujibu wa maelezo ya mtoa taarifa kutoka Bungeni.

Kwa kuanza futailieni utajiri wa mawaziri wa sekta hizi;

1. Maji
2. Kilimo
3. Uchukuzi zamani Ujenzi
4. Mambo ya Nje zamani Nishati
5. Fedha
6. Mipango hasa baada ya Mkataba wa DP
7. Ardhi na danganya toto zake za PR
8. TAMISEMI, huyu yeye anakusanya bila aibu

Kama tungekuwa na vyombo imara vya uchunguzi wahusika hao wanatakiwa kuwa gerezani. Wanakula, wanaiba bila kunawa mikono.
Kila mtu anakula ndani ya kamba yake. Hii ilisharuhusiwa
 
Kagombee na wewe ubunge uone kama ni rahisi. Acha wale mpk wavimbiwe. Siasa barani Afrika ni chanzo cha utajiri.

Mwanamke wa kwanza kwa utajiri barani Afrika ni binti wa rais wa zamani wa Sierra Leone.
Bado zipo sane nation's mkuu in Africa,Namibia is one of them.Kwa nini sisi tuwe one of the worst?See how Namibia is fairing in the following clip,very impressive.I wish Namibia was Tanzania
 

Attachments

  • VID-20240610-WA0000.mp4
    5.7 MB
Kila mtu ana mawazo ya kujijenga
Mtu anapokuwa kwenye nafasi fulani,kuanzia viongozi,watendaji na wafanyakazi kwenye taasisi za serikalini

Ova
 
Huyo
Ardhi unamsingizia tu, ila hao wengine ni kweli kabisa.

Wanakula kwa urefu wa kamba zao
wa ardhi hata JD hajui anapiyanga tu. waziri kazi yake ni kugawa hati? alipaswa awe waziri kipindi cha chizi huyu
 
Bado zipo sane nation's mkuu in Africa,Namibia is one of them.Kwa nini sisi tuwe one of the worst?See how Namibia is fairing in the following clip,very impressive.I wish Namibia was Tanzania
Daah! Nimena mkuu, asante kwa elimu hii. Yaani security guard wa Namibia analipwa vizuri kuliko profesa wa chuo kikuu ktk nchi nyingine Afrika?

Sisi itatuchukuwa mpk mwisho wa dunia kufika hatua hii.
 
Kuna baadhi ya Mawaziri wa Awamu ya Sita wamekuwa na utajiri mkubwa na wa ghafla usioendana na kipato chao.

Hii inathibitishwa na maelezo ya Wabunge wenzao ambao hali zao ni ngumu kifedha kwa sasa. Mawaziri hao wamekuwa na tabia ya kugawa fedha ili Bajeti zao ziungwe mkono kwa mujibu wa maelezo ya mtoa taarifa kutoka Bungeni.

Kwa kuanza futailieni utajiri wa mawaziri wa sekta hizi;

1. Maji
2. Kilimo
3. Uchukuzi zamani Ujenzi
4. Mambo ya Nje zamani Nishati
5. Fedha
6. Mipango hasa baada ya Mkataba wa DP
7. Ardhi na danganya toto zake za PR
8. TAMISEMI, huyu yeye anakusanya bila aibu

Kama tungekuwa na vyombo imara vya uchunguzi wahusika hao wanatakiwa kuwa gerezani. Wanakula, wanaiba bila kunawa mikono.
Acha Majungu Brother...Pambana na familia yako
 
Mama yao aliwaruhusu kula kwa urefu wa kamba zao lakini wasiingiliane tuu kwa hiyo na wenyewe wanakula kimasikhara tuu
 
Daah! Nimena mkuu, asante kwa elimu hii. Yaani security guard wa Namibia analipwa vizuri kuliko profesa wa chuo kikuu ktk nchi nyingine Afrika?

Sisi itatuchukuwa mpk mwisho wa dunia kufika hatua hii.
Tukiamua inawezekana,ila kwa hawa manyang'au tulio nao,it is impossible.
 
Wakibanwa atakapokuja Rais Mtanganyika halisi na Mzalendo wataanza kuuana kificha ushahidi halafu watamsinguzia kuwa anapoteza watu.

Ni aibu kubwa sana kwa Mkuu wa nchi kuacha milango na madirisha wazi ili wezi waingie halafu watu wakihoji wanaonekana wana Chuki wakati na mali za umma.

Nadhani hata Katiba ya CCM hairuhusu haya . Kwa hiyo kama CCM itakiuka mpaka katiba yake basi ni wazi kuwa Chama kimetekwa na majambazi na wahuni. Mafisadi yatasababisha uchaguzi utakua katika mazingira mabaya sana mana watatumia Rushwa kununua watu.

Hata mataifa yenye Vurugu na vita vya wenyewe kwa wenyewe Chanzo ni Watawala wezi kuajiri magenge ya kihuni na Kigaidi kuteka watu ,kitesa wapinzania wao na hata kuua kama ilivyotokea kwa Mawazo wa Chadema kule Geita.

Hakuna Tajiri wa halali nje ya siasa au ndani ya saisa anaseng'ang'ania uongozi .
Hawa watawala waliofungwa kama za manati wanakula zaidi mana kamba zao zinavutika na hakuna wa kuwauliza zaidi ya kuwasifia kuwa wanatumia Fursa.

Hua nakiuliza Kwa nini Pawe na Naibu waziri mkuu.?
Je,ni lini watanzania wamemlalamikia Waziri mkuu kuwa ana kashfa za kiutendaji?
Lakini kwa hali ilivyo ni wazi kuwa hicho cheo kimewekwa kama mkakati wa kurahisisha mauzauza yao.


Ngoja JPM mwingine aingie uone kazi
 
Back
Top Bottom