Baadhi ya Mawaziri Serikali ya Awamu ya Sita wamekuwa na Utajiri wa ghafla usio kifani

Baadhi ya Mawaziri Serikali ya Awamu ya Sita wamekuwa na Utajiri wa ghafla usio kifani

Hii sio habari. Ni sawa na kusema mbwa kabwekea vibaka.

Tangu Azimio la Arusha lilipoondolewa kupisha Azimio la Zanzibar, hakuna awamu ya utawala wa CCM ambayo viongozi wakuu hawakujihusisha na wizi, ufisadi na rushwa bila kuchukuliwa hatua. Kusaka utajiri binafsi ndio lengo kuu la watawala wa CCM. Ni suala la makundi, mitandao na wateule katika mtindo wao wa kula kwa zamu, kutesa kwa zamu na kuimba kupokezana.

Tangu enzi zile, hakuna kiongozi wala kada wa CCM aliye kwenye moral high ground kiasi cha kuweza kuwafokea wenzie kuhusu ufisadi. Hivyo, "utajiri wa ghafla" wa baadhi ya viongozi wa CCM sio habari. Hakuna kipya kuhusu hilo. Tujadili mambo ya msingi.
 
Kuna baadhi ya Mawaziri wa Awamu ya Sita wamekuwa na utajiri mkubwa na wa ghafla usioendana na kipato chao.

Hii inathibitishwa na maelezo ya Wabunge wenzao ambao hali zao ni ngumu kifedha kwa sasa. Mawaziri hao wamekuwa na tabia ya kugawa fedha ili Bajeti zao ziungwe mkono kwa mujibu wa maelezo ya mtoa taarifa kutoka Bungeni.

Kwa kuanza futailieni utajiri wa mawaziri wa sekta hizi;

1. Maji
2. Kilimo
3. Uchukuzi zamani Ujenzi
4. Mambo ya Nje zamani Nishati
5. Fedha
6. Mipango hasa baada ya Mkataba wa DP
7. Ardhi na danganya toto zake za PR
8. TAMISEMI, huyu yeye anakusanya bila aibu

Kama tungekuwa na vyombo imara vya uchunguzi wahusika hao wanatakiwa kuwa gerezani. Wanakula, wanaiba bila kunawa mikono.
Tuna mshukuru mama kwa mara nyingine kwa hili
 
Nilikuwa namshangaa sana Waziri wa maji,mbona kawa kimya ghafla,kumbe kalamba dume.Nimeshaelewa sasa.

Lakini ngoja niseme jambo.Nimenotisi kitu kimoja.Marais wetu waliokuwa Waislamu,wana one thing in common,they apparently have been the worst presidents:Mwinyi,Kikwete and now Samia.Misimamo yao ni very shaky,hawana hofu ya Mungu completely kwa hiyo wananchi kwao,si issue sana.

On the other hand Marais ambao walikuwa Wakristo:Nyerere,Mkapa na Magufuli ni very strong characters na hawayumbishwi kirahisi na somehow wana hofu ya Mungu.

Naomba niweke wazi kuwa hii ni observation yangu binafsi,which I can call a "Null Hypothesis."Somebody could take this hypothesis up and carry out research research on it, hasa wale wanao pursue Divinity.Study given samples of Atheists, Muslims,Mainstream Christians and Pentecostals,and see if some trends can be identified.
hii ni kweli
 
NI PAMOJA NA KULA KWA ULEVU WA KAMBA ZAO
PER DIEM KUPANDA
ZAWADI KWA KIONGOZI UKIFANYA VIZURI AU UKIMPITISHIA JAMBO LAKE
Sasa na wewe kuandika hujui.
Aliokwambia mtu anatajirika na per diem nan?
Labda useme kukopa benk,sabab slip yako ikiwa vizuri kwa mtumish sasa hiv benk inakupa mpaka mil 220 kwa miez 108.
 
Assume una miaka hamsini ndio umepata uwaziri na ukaanza kuchuma dhambi ya wizi wa Mali ya umma, unadhani itakusaidia Nini wakati huo kisukari, presha na uzee vinakuandama.
Ni observation nzuri.Laiti wangewaza beyond their noses.Na hata kama ungepata huo uwaziri with 40 years,basically una miaka mingine 40 tu ya kuishi kama ukiishi sana,so why don't you start bothering about your eternal life.Unajua mkuu,Shetani tu anawapofusha ili wasiuone ukweli.
 
Ni observation nzuri.Laiti wangewaza beyond their noses.Na hata kama ungepata huo uwaziri with 40 years,basically una miaka mingine 40 tu ya kuishi kama ukiishi sana,so why don't you start bothering about your eternal life.Unajua mkuu,Shetani tu anawapofusha ili wasiuone ukweli.
Imagine MTU ana miaka 60+ hata nguvu za kiume Hana, amekatazwa pombe, nyama na sukari na daktari. Anachukua hongo ya Dola milioni ya Nini?
 
Kuna baadhi ya Mawaziri wa Awamu ya Sita wamekuwa na utajiri mkubwa na wa ghafla usioendana na kipato chao.

Hii inathibitishwa na maelezo ya Wabunge wenzao ambao hali zao ni ngumu kifedha kwa sasa. Mawaziri hao wamekuwa na tabia ya kugawa fedha ili Bajeti zao ziungwe mkono kwa mujibu wa maelezo ya mtoa taarifa kutoka Bungeni.

Kwa kuanza futailieni utajiri wa mawaziri wa sekta hizi;

1. Maji
2. Kilimo
3. Uchukuzi zamani Ujenzi
4. Mambo ya Nje zamani Nishati
5. Fedha
6. Mipango hasa baada ya Mkataba wa DP
7. Ardhi na danganya toto zake za PR
8. TAMISEMI, huyu yeye anakusanya bila aibu

Kama tungekuwa na vyombo imara vya uchunguzi wahusika hao wanatakiwa kuwa gerezani. Wanakula, wanaiba bila kunawa mikono.
5 na 6 ndio balaa 😰
 
Waliruhusiwa
kula kwa urefu wa kamba zao...sasa hao uliowataja kamba zao ni ndefu sana hivyo wanaweza kula eneo kubwa kuliko wengine!.
 
hapana sikujificha, lakini siku hizi uzushi umezidi sana mpaka unashindwa kujua lipi ni la kweli na lipi ni la propaganda.
Macho yanaona

Masikio yanasikia

Kinachobaki hapo ni wewe kuchambua kwa kutumia ufahamu na akili yako kipi ni propaganda na kipi sio.

By the way, usiopaswa kuwaamini hata wakija kwa sura ya malaika ni CCM yeyote kuanzia Rais Samia Suluhu Hassan hadi mfagizi pale Lumumba!!
 
Back
Top Bottom