Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Bado ipo au ishakufaSema ni fursa hiyo kwa atakayeweza kufungua media za 'mambo ya maana'
Wengi wanapenda kubisha kwamba labda hizo media zitakosa wafuatiliaji ila ni suala la packaging tu
Angalia jinsi the storybook ya wasafitv inavofanya watu wapende habari za kuboa kama za kihistoria kwa kutumia storytelling nzuri