Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Mwisho upo aisee hasa Vijana wa Kiume tumekuwa na mifadhaiko ya Kingono sana kuna mdau humu alitoa namba ya whatsapp vijana wakawa wanamtumia tupu zao tu.😤😑Ngoja tuone Mwisho wa siku itakuaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho upo aisee hasa Vijana wa Kiume tumekuwa na mifadhaiko ya Kingono sana kuna mdau humu alitoa namba ya whatsapp vijana wakawa wanamtumia tupu zao tu.😤😑Ngoja tuone Mwisho wa siku itakuaje
Huyo Mama kalalamika humu😅😅😅😅
Kwani lazima uangalie wasafii nenda hata star tv au Chanel tenKm wasafi zaidi ya habari za michezo asubuhi zinazofata ni udaku na story za kujazana yutiai
We lokole? Mbona umeumia sana??Kwani lazima uangalie wasafii nenda hata star tv au Chanel ten
Me sio mlokole mkuu ila sijaumia pia me najaribu kukuambia tu kwani lazima uangalieee wasafi mbona kuna channnel zaidi ya alfu tatuuuu😁😁We lokole? Mbona umeumia sana??
mimi kidogo family weanza kunielewa,ni katoon,tamthilia zao na nyimbo za gosple tu,wenyewe wanajua kuwa nikikuta wameweka mbali na hizo,king'amuzi kinatolewa kimyakimya..Ni uhuru umezidi au? Yaani watoto wanajifunza nini Jamani? Ukijaribu kuwaza kuwa wanamaanisha nini hata huwezi kuelewa.
Mambo ya ajabu ajabu yamezidi hakika.
Yaani kipindi kinaendeshwa siku nzima hakuna la kujifunza.
Viongozi mko wapi?
Ifike mahali Viongozi washushe Rungu Lao.
Tatizo umedandia comment yangu kishabiki ungesoma kwanza mada inahusu nini??Me sio mlokole mkuu ila sijaumia pia me najaribu kukuambia tu kwani lazima uangalieee wasafi mbona kuna channnel zaidi ya alfu tatuuuu😁😁
Kuna channel inaitwa sinema zetu ipo kwenye kisimbuzi cha azamu muda wote ni kutongozana tu na video za uswahili tu hakuna jipyaHatari sana Jamani 😅
Nimeisomaaa yoooteeee 😉😉 mbona sasa vitoto vya elfu mbili mnataka visikilize taarifa za habari muda wote au!Tatizo umedandia comment yangu kishabiki ungesoma kwanza mada inahusu nini??
Nchi ya kamariVuta mkwanja, pakua mkwanja bwerere
Asubuhi mpka jioni ni pakua mkwanja/
Nunua dstv mkuuKuna channel inaitwa sinema zetu ipo kwenye kisimbuzi cha azamu muda wote ni kutongozana tu na video za uswahili tu hakuna jipya
USSR
Ni vile napenda kusikiliza vyanzo mbalimbali mfano channel za magharibi nazo huonekana pro magharibi tu ,so ukipata za Russia,Belarus, China, Iran na n.k utaona tofauti,cha msingi ni kubalance ishu tuRussia Today (RT) ni channel ya propaganda sana kwenye habari zinazohusu Urusi na nchi za West. Huweka mafuta mengi kwenye habari zinahusu urusi huku ikiweka matope sana habari zinazohusu West.
Ninayo ,nina Azam na Dstv ila local channels nazipiga banNunua dstv mkuu
Changamoto hii sasaNinayo ,nina Azam na Dstv ila local channels nazipiga ban
USSR
mbaya zaidi unachokikimbia huko kwenye Tv mtoto anaenda kukutananacho mtaanNimeblock local channels zote nyumbani kwangu nimeacha za michezo ,katuni za masomo (sio katuni za kijinga) chaneli za dini ya kikristo,aljazeera, BBC,fox, Russia today, France 24 na CNN,zilizo bali nimezilamba ban la maisha
USSR