Bado ipo au ishakufaSema ni fursa hiyo kwa atakayeweza kufungua media za 'mambo ya maana'
Wengi wanapenda kubisha kwamba labda hizo media zitakosa wafuatiliaji ila ni suala la packaging tu
Angalia jinsi the storybook ya wasafitv inavofanya watu wapende habari za kuboa kama za kihistoria kwa kutumia storytelling nzuri
Ni ujinga ujinga tupu hakuna mafundisho yoyote ni bora ukatazama safari tv.Miziki,udaku,Kuwaita watu studio
Kusutana na kufumaniana,mipira
Kamari
Ova
naionaga youtubeBado ipo au ishakufa
Channel inaitwajenaionaga youtube
Waweke mbali watoto wako na vyombo hivyo vya habari.Ni uhuru umezidi au? Yaani watoto wanajifunza nini Jamani? Ukijaribu kuwaza kuwa wanamaanisha nini hata huwezi kuelewa.
Mambo ya ajabu ajabu yamezidi hakika.
Yaani kipindi kinaendeshwa siku nzima hakuna la kujifunza.
Viongozi mko wapi?
Ifike mahali Viongozi washushe Rungu Lao.
π₯±πβ€οΈβ€οΈβ€οΈβ€οΈπ π ππusijali kipenzi
Kuna kipindi cha Wasafi kile cha jioni sijui Mgahawani Chawa huwa anamsifia Boss mpaka najisikiaga vibayaπ€£π€£π€£kamari imeshika kasi sana
Kushuka kwa maadili hakuishtui serikali ilmradi wamiliki wa media wanalipa leseni na kodi nchi inapata uchumi.Ni uhuru umezidi au? Yaani watoto wanajifunza nini Jamani? Ukijaribu kuwaza kuwa wanamaanisha nini hata huwezi kuelewa.
Mambo ya ajabu ajabu yamezidi hakika.
Yaani kipindi kinaendeshwa siku nzima hakuna la kujifunza.
Viongozi mko wapi?
Ifike mahali Viongozi washushe Rungu Lao.
Ni too muchChezea pesa wewe π
Ni too much aiseeChezea pesa wewe π
Russia Today (RT) ni channel ya propaganda sana kwenye habari zinazohusu Urusi na nchi za West. Huweka mafuta mengi kwenye habari zinahusu urusi huku ikiweka matope sana habari zinazohusu West.Nimeblock local channels zote nyumbani kwangu nimeacha za michezo ,katuni za masomo (sio katuni za kijinga) chaneli za dini ya kikristo,aljazeera, BBC,fox, Russia today, France 24 na CNN,zilizo bali nimezilamba ban la maisha
USSR