Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe konyagi na tonic basiiii niteme madini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila old model wewe si muhengaaa wajamen
sijui mmWewe unaonaje hapo rafiki nimekosea au mule mule
sio kidogoo ni mnoo mpaka tukatamani tukufahamu japo ukirudi uanzishe thread ya picha zakoo tuu na ujielezeeKumbe mme wangu aliniandika vizur hivyoooo waooooh
pongezi kwakee superspot mkubwa basi mimi superspot mdogooHako kaneno ka mzee baba Mshana
Nalala kesho jaman
adhabu yangu ni kali sana ntaongea na mtaarama aniambie adhabu inatakayoendana na wewe nisije nkakuvunjaOooh mm sijui bhn wewe nipe tu
We c ndo mkewe.... Ukatengue tunguli zileeeeeeKwanini?
Yaani hayo mahaba Kumbe yanatokana na.... Au au amekuroga 'kipare'?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli atengue ulogi alioniroga naoooo
Lile goli la kwanza la Bale liko fantastic... Lakini kapigiwa cross na Marcelo ambaye wakati Salah yumo Alikuwa hapandi... Unaona athari ya kumtoa Salah kwa 'dark tactics'?Lakini yale magoli ya bale unazungumziaje?
Mzee baba ndio mpira ulivyo ,ndio maana kuna wakati wachezaji wanavunjika, kujeruhiana au hata kufa kbs. Huwezi kukwepa purukushani uwapo uwanjani vinginevyo cheza mdako tuLile goli la kwanza la Bale liko fantastic... Lakini kapigiwa cross na Marcelo ambaye wakati Salah yumo Alikuwa hapandi... Unaona athari ya kumtoa Salah kwa 'dark tactics'?