Baadhi ya member wa JF wangekuwa magari unadhani wangekuwa gari gani?

Baadhi ya member wa JF wangekuwa magari unadhani wangekuwa gari gani?

Joseverest = box Chevy
images(5).jpg
 
Wachache, nadhani nigepewa kwako kama zawadi ili nikubebe kila unapohitaji
 
Aaah, umenipandisha chati.

Mimi Lada, gari la Kirusi, haliamini kuwapo kwa Mungu.

Unalikumbuka Lada?

332d2e9791f149b7993c4ba2f7b56cf2.jpg
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aiseee kweli umejipatia
 
Mwenzenu napenda magari.

Member hawa nahisi wangekuwa kama ifuatavyo!

Mshana Jr - Buggati Veyron supersport
Hajar - Ferrari
Shunie - Zenvo SIT
Mzigua90 - Aston Martin one
Mr Miller - Honda fit
mahondaw - Toyota IST
Daby - Toyota vitz
mbalizi1 - Nissan March
Asprin - Toyota Passo

Kiranga - Greda kijiko la kuchota mchanga

Genta- Tingatinga /Kiberenge/
Shindilia la barabarani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom