Baadhi ya miradi ya uwekezaji inayoweza kufanywa na wastaafu

Hahaha............kule ungefundishwa Kilimo cha Miti, wakati Upareni umefundishwa biashara na Ubahili

Hapo ushindwe wewe tu, kuninunulia ile Kiko niipendayo 🤗
Nimefundishwa ubahili na kula makande😭😭😭
 
Sitakiiiiiii😭😭😭
Bila Ubahili Mjukuu huwezi kutunza hela ya kununua tofali za nyumba ya ndoto yenu 🤗

Kwahiyo nampongeza Mzee mwenzangu 😜
 
Kuna mda we mzee ukitulia unashusha vitu

Shida ni ukianza kuwafikiria kina jantacash
 

Uzi mzuri ila mi ningekushauri wazo ulielekeze kwa watu wanaojiandaa kistaafu walau 5 to 10 yrs kabla.. ndo waanzishw hizo biashara wakistaafu ni kuziendeleza tu.. kwangu mimi mtu aliestaafu ndo umwambie aanze harakati za biashara yoyote ambayo itahitaji fedha na uzoefu tayar hiyo project inakuwa "dead on arrival"

Kumbuka unamzungumzia mtu mwenyw age ya 60+ ambaye kama
Ulivyosema amestaafu aidha kwa umri au ugonjwa maana yake yuko limited kwenye kila kitu..

So anatakiwa awe tayar ana biashara inayorun ambayo akistaafu ni kuiendelezea tu sio amestaafu pesa ya mafao ndo afikirie biashara ya kufanya na hiyo hiyo pesa ndio aendeshee maisha yake hapo kapoteza..

Biashara ambayo walau inaweza ikawa na guarantee kwa mstaafu kuanzisha ni ile itakayoendana na ujuzi wake mfano daktari kufungua clinic, mwalimu kufungua shule.. na bado kuna hatari na changamoto nyingi zitakazomlazimisha kutoa huduma
Chini ya viwango maana pesa hiyo
Hiyo atataka kuendeshea maisha so atakuwa very sensitive na uwekezaji

Kama mtu anastaaafu na hana biashara inayorun tayar.. anaweza fanya vitu viwili kuiwekeza hiyo
Pesa akawa anapata gawio la
Mwezi.. au kama ni ya kutosha around 200m nusu awekeze kwenye nyumba za kupangiaha nusu kwenye uwekezaji wa magawio ya kila Mwez au quartely

nje ya hapo biashara yoyote lazima awe ukianzisha lazima uwe na cushion fund ambayo itakubeba kwenyw rain days.. sasa fikiria mtu anaona kabisa hii ndio karata ya mwisho atakuwa anafanya maamuzi kimhemuko sana
 
Shukrani Mkuu Kwa kujazia nyama kwenye huu Uzi.

Ushauri wako nimeupokea, japo lengo langu ilikuwa kushea na Wastaafu watarajiwa.

Nimegundua watumishi wengi, hujisahau kuwekeza wakiwa Kazini.

Wakistaafu, wengi huishia kuishi maisha ya taabu na dhiki

Ndiyo maana niliandika walau kukumbushana

By the way, angalizo lako ni muhimu sana kuzingatia kabla hujafanya uamuzi wa kuwekeza.

Kama ulivyosema, mtu akiwa kwenye umri wake wa 60+ hawi na efficiency kwenye biashara za kukimbizana

Ataweza kumudu hizo biashara za real estate tu na sio nyinginezo
 
Eeh naona mvi mbili Tatu hapa😀
Hongera, njoo tuwekeze kwenye Ufugaji wa Kuku za Mayai na Nyama

Najua hatuwezi kukosa laki 4.5 Kila Mwezi kama faida

Tukiongeza na Posho yetu ya Mwezi hatuwezi kukosa hela ya matibabu tukiugua
 
Hongera, njoo tuwekeze kwenye Ufugaji wa Kuku za Mayai na Nyama

Najua hatuwezi kukosa laki 4.5 Kila Mwezi kama faida

Tukiongeza na Posho yetu ya Mwezi hatuwezi kukosa hela ya matibabu tukiugua
Yan kama ulikuwa kwenye akiliyang natamni sana huo mradi hebu unipe updates
 
Yan kama ulikuwa kwenye akiliyang natamni sana huo mradi hebu unipe updates
Usijali, nitakupatia Mjukuu

Vyema kujiandaa mapema kabla hujasubiri Ustaafu ndiyo ujiandae

Hamtuonei huruma sisi Wazee wenu tunavyopauka na maisha, maana Pension yenyewe tunayopokea ni kidogo hasa tuliostaafu miaka ya 90 kurudi nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…