princeNathan
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 312
- 632
Huwez kuniambia ndugu wote watano wakubal mmja alete shida nazan kun shida kwa huyu mdada maan kwa umr kwanza maish yamempiga vilevil anatakiwa awe kwake lakin yup kwao inaaman mpk hapo ni tatz lingine pia inaonekan kuna namun alikuwa anapat cha zaid wakaone wasitoane roho wauze kila mtu afie mbali kwasababu yeye anajua mafekeche kakataa anajua kuna faida zaid ko wasiangalie kasoro za ndugu zake waanze watfte kiini kwanza.....Hapa ndio tatizo linapoanzia?