Kamuzu,
Kwama Peremende si Biashaa? Biashara ni kuuza magari na kazalik? wapo walioanza na mafunfu mawili ya Mchicha na kwa sasa hivi wanaongea story zingine kabisa,
Watu tunakosa focus ndo maana unatuona tunauza sigara au pipi stendi miaka nena rudi, ni kukosa focus na si kingine kile
Wachina tunao walalamikia kwmba wanakuja kufanya biashar za uchuuzi si wajinga kabisa, wana tageti mbali sana sisi tunaakia kulaumu wakati kutembeza bidhaa kwnewe hatutaki,
Juzi nilikuata na jama mmoja huku Arusha ametokeakenya na Graduate, anatembeza madawa fulani ya kienyeji mtaani, kwa kukusanya watu na kunaza kuwaelezea madhara ya sijui Soda, na kazalika na mwisho wa siku anawauzia madawa, jamaa nilijaribu kumtafuta baada ya hp kwa kweli alinielezea lengo lake ndoto zake ni zipi,
Kwa kifupi sisi tutabaki kulaumu serikali mara wachina wanakuja kufanya umachinga mara sijui imepanda ikashuka wakati wenzetu wanacheza na furusa
Ok mkuu wewe tafuta mtaji wa mabilioni ili uanze iasharami