Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)


Issue hapa ni guts..ni watu wangapi tunao huo ujasiri wa kuamua maamuzi magamu (kujipanga barabarani) au ndio ile mpaka upigike ndio ukubali hali?
 
Asante sana kwa mawazo mazuri. Yaani niko naumizakichwa ni jinsian nijikwaue kwa kujiajii maana nana huku kusubiri kuajiriwa, ntazeeka!
 
Business idea ndio kila kitu kwenye dunia ya sasa unaweza usiwe na pesa lakini unabness idea nzuri ambayo umeweka mikakati jinsi ya kutekeleza idea yako na ukafanikiwa.vile vile idea inweza ikawa si ya kwako lakini ukaweza kuendeleza idea ya mtu mwingine na ukafanikiwa sana kwa mfano wengi wameisikia forever living na jinsi inavyo fanya kazi lakini mimi jinsi nlivoamua kufanya biashara ya foever nimejikuta imebadilisha ulimwengu wa maisha yangu kwa sehemu kubwa sana hivi leo isingekuwa biashara hii sijui ningekuwa wapi.
 
Mitaa mingine noma kwa kamati za ufundi, mfano huku kwetu nilifungua biashara ya duka lakini ilibidi nilifunge. Utakuta kwa wiki pesa zinapotea kimiujiza hasa elfu kumi kumi. Unauza kisha nazitenga elfu kumi peke yake kwa sababu siyo chenji. Lakini nikija kucheki baadaye nakuta hazimo wakati full time nakuwemo mimi mwenyewe dukani! Nilinyoosha mikono kwani sikutaka kuanza kumtafuta mbaya wangu labda ningeua mtu ningemtambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…