Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

Mkuu Chasha maneno yako yameshanikamata, ninapita kwenye kipindi cha mpito, nimeshakiona kisiwa na meli nimeshaipaki tayari! Nachoma moto meli mieeeeee !!!:

1. Kuchekwa: kwa akili yangu nikipiga mahesabu nimejiridhisha hii kitu nikiifanya vizuri natapiga hela kubwa kama ikitokea nikapiga mweleka atakaecheka na acheke salama, maana hata hivyo nitakuwa nimeshajifunza kitu ambacho anaenicheka hajui, na nikijinyanyua na kusimama tena baada ya mieleka kadhaa iko siku nitasimama imara na hapo wanichekao ndiyo watatafuta njia ya kupita kwa aibu na wivu! Na hili ndilo linalonitia nguvu zaidi badala ya kunitia hofu ya kuchekwa! Kama ni kuchekwa kwa ajili ya biashara ya mkaa afadhari nipate pesa kuliko kuendekeza ubishoo huku pesa ya kujirusha sina.

2. Kudharauliwa mtaani: acha wanidharau najua kudharauliwa ni jambo la muda mfupi tu, mimi natazama miaka mingi mbeleni, najua hii ni safari na ninaijua mimi mwenyewe, wao hawaijui, shida ninazopata mimi wao hawazijui na haziwahusu, nafuu yao ya maisha mimi hainihusu, siku nikifika safari yangu wao wale wale wataanza kusema tulipiga nae soga mtaani kwetu siku hizi anaringa!

3. Kuhofia kama ukiflisika mpenzi wako unaye mpeda sana atakula kona: Ndiyo ninalijua hilo kwamba mpenzi wangu kinachotuunganisha nae hivi sasa ni pesa tu, ni kweli kwamba nikifilisika atanikimbia, so sasa nachukua maamuzi magumu ya kuchoma meli moto! Maana nimeshaona kwa hali ya maisha inavyobadilika kama nisipichangamka leo kwa hali jinsi inavyokwenda huko mbeleni ni wazi atanikimbia tu, kama noma na iwe noma, nachoma meli sasa kama ni wa kunikimbia na anikimbie hivi sasa!

4. Majirani wenzako watakupiku make ushazoea kushindana kimaisha hapo mtaani: ni kweli tumekuwa na ka ushindani wa kuangusha vipati vya komonio na ubatizo wa watoto wetu, mavazi krisimasi na iddi na kukaangiza samaki SATO, ila sasa naamua kubadilika, maana kama nisipobadilika kila kitu kitaendelea hivi hivi maisha yangu yote, kama nataka kutajirika yapasa kubadilika ili nipate matokeo tofauti! Ushindani huo ninataka niuache na wao acha wajisikie washindi ingawa mambo yangu yakienda kulingana na vision yangu najua watakuja kunikubali tu na ingawa najua nitapitia mieleka kadhaa kabla sijasimama ila najua hii ni njia ambayo wengi waliofanikiwa walipitia!

5. Kuhofia kupoteza pesa zote: nitatumia akili na maarifa pia maana pamoja na kuwa ninakwenda kuwa mjasilia mali haimaanishi niingie kichwa kichwa tu. Ila hata kama nitapoteza pesa zote lakini nitakuwa nimebadilika ki-fikra na utajiri siyo kupata pesa tu bali kuwa na mwenendo unaovuta pesa (attracting wealth) kuwa na nidhamu ya pesa na kubadilika tabia kabisa niweze kuongea, kufikiri, na kutenda kama wanavyofanya matajiri! Nimeona matajiri wengi biashara zao zinaungua moto na kuteketea kabisa lakini punde wanasimama tena na kuja juu, ni kwa sababu utajiri wao umejichimbia ndani ya vichwa vyao, wao wanawaza tofauti, mipangilio ya mambo yao ni tofauti na sisi wapokea mishahara, yaani matajiri wanafanya mambo yao tofauti na kinyume ya kila jambo vile tunafanya sisi.

6. Kuhofia lawama kutoka kwa wazazi make ulishazoea kuwatoa na sasa hutakuwa unawatoa kwa wingi kama zamani: hawa wazazi wangu ndiyo kichocheo cha mimi kutafuta zaidi ili nisiwatoe kwa kuwapeleka out Coco beach pekee sasa nataka niwapeleke hadi Hawaii, kama niliweza huko nyuma ninajiamini nitaweza kwenda hatua kubwa zaidi! Itabidi wanivumilie tu.

7. Kuhofia kupoteza washikaji wa mtaa ambao mlikuwa mnabadili viwanja kila siku: ni kweli nimekuwa na washikaji ila hivi sasa nataka kubadili maisha yangu, washikaji kama ilivyo kwa mke wangu watakaonikimbia tutakutana mbele, nachoma meli!!

8. Kazini kwangu watanishaangaa sana na kuniona kama nimechanganyikiwa vile: kwa kweli nakubali kila mtu kazini hatanielewa, kila mtu atacheka kwa vile mshahara wangu kwa sasa umeshakuwa mkubwa sana, nimechoka kupimiwa pesa kwenye kijiko, nimeshapiga mahesabu pesa ninayolipwa kwa sasa ni kidogo sana ukilinganisha na ninachokiona mbele ya safari! Ninajiamini ninaweza kusimama na ninajua nitapata kipato kikubwa sana kuliko hiki cha sasa!! Ninakwenda kufanya jambo ambalo ndiyo fani yangu na nitahama na wateja na utaalamu na uzoefu niuhamishie kwenye ishu zangu. Kwa vile wao hawaelewi ninachokiona acha waendelee kunishangaa na kunicheka!! Ninajiamini kuwa mimi sifikiri kama wao ninachokiona mimi wao hawakioni!! Inawezekana wameridhika na wanachokipata acha wacheke tu.

9. Nilikuwa napiga sana misere na gari la ofisi sasa itanibidi niwe na piga mguu au kupanda Toyo: Yees ni kweli gari la ofisi lilinipa tafu na umaarufu sana. Ila gari la ofisi kwa sasa linanikera sana, nimeona wakubwa wangu wa kazi wanastaafu hawana gari shauri ya kubweteka na vya kazini. Gari la ofisi linaniletea kelele sana na majungu mengi! Siwezi kujivunia gari la ofisi, likionekana bar napigwa majungu, nikibebea majani ya ng'ombe inakuwa kesi, nisipompa mtu lift inakuwa masimango, gari la ofisi si la kujivunia!! Sasa hilo gari ndiyo imekuwa Fimbo ya kunitishia, oh tumekupa gari tunataka uchape kazi ukiwa mzembe tutampa mwingine, ooh toka tukupe gari siku hizi hutulii, ohh tumekupa nyumba ukizembea tutakunyang'anya looooh!!! Changu ni changu nitanunua tu, nachoma moto meli mie.......
Aiseee you have nailed it all
 
Unataka nilie au? maana naona kama mnanisema mimi tu humu. Kubana matumizi kwangu mtihani lakini nimewasoma, nitajitahidi. Ni leo tu nimetoka kupokea kodi ya "fremu" - nimei-sublet baada ya biashara kunishinda. Nimefanya biashara miaka 3, hivi karibuni imeyumba weee mpaka nikaanza kutumia mshahara kuiendesha. Nikafika mahali nikaona isiwe tabu - hela iliyokuwa imebaki nimepeleka benki lakini niulize basi nataka kuifanyia nini sijui!!!! Ngoja nitulie kidogo kisha nitawa-pm mnisaidie. Mbarikiwe.
Shikamoo JF hahahaha
 
Hiyo namba 6. Mimi nimeona fursa nyingi mtaani kwangu, ila tatizo hapa mtaani kuna uswahili mnooo. Hawanaga tabia ya kupenda kuungishana, wana roho mbaya ajabu, mtu yuko tayari akanunue biashara Mtaa wa 7 lakini sio kwako, nlipohamia mtaani wenyeji waliniambia hayo yote nikapinga, nikafungua saloon ya kike na kiume, aah wapi, akaja mpemba na roho yake ya paka, akachemka. Sasa watu hawa unatumia mbinu gani kuwawin.
Mama Yangu nimechekaa Hadi Machoxi yanitoka.JF
 
Duh!
Hii biashara unatakiwa ujipange sana maana ina changamoto kuliko unavyoisikia. Binafsi nilishindwa Kwan mwanzo mnaanza vzur ila cku zinavyoenda dereva anabadilika. Mwisho mnapelekana polisi tu.

Pia, unatakiwa uwe serious na mkataba wako na dereva wako,yaani mkataba uwe wa kikatili, wenye kukufavour ww mwenye mali.. Kidoooogo Unaweza ukawa na ahueni.

Pia katika biashara hii, ukiona kuna dalili za tatzo au ujanja ujanja. Piga chini Fasta huyo dereva, yaan in short usiwe na fair play hata punje.

Mi niliferi Ktk mkataba na ukatili siuwezi.
Bonge la Ujumbe
 
1, 2 na 12 zinanihusu kabisa mkuu, yaani ujuzi nilionao naweza pata biashara zaidi ya 10, hobby yangu inanipa zaidi ya biashara 5, na kuhusu kuiga idea hapo nishaona idea kama 2 hivi kutoka majuu na zote ni fire.
Tatizo ni kuwa hayo yote hapo juu yanabaki ndoto za maisha yangu kwani sina hata shilingi kumi kuyaanzisha.
Pia nchi yetu haina mpango mzuri wa uwezeshaji, hasa kuwekeza katika maendeleo ya teknolojia ni zero error, siku hizi tunaona hata elimu imewekwa kisiasa, too sad. trust me, nipo blessed kinyama coz chochote nachotaka fanya nikiamua nafanya na unaweza usijue kama nafanya for first time. aisee inauma sana hii nchi ina wataalamu kibao sema mipango ndo mibovu.

Nitafute
 
Somo zuri sana hili nawaza ni jinsi gani ya kupata mtaji ili niweze kuongeza mtaji wa biashara yangu.
 
IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima.

HIZI NI MOJA YA NJIA ZA KUPATA WAZO LA BIASHARA

1. TUMIA UJUZI ULIO NAO

Ujuzi ulionao ndo sehemu ya kwanza kabisa ya kupata wazo la Biashara, Mfano kama wewe umejiliwa na ni Fundi wa kushona Nguo, why usianze na wewe kuwa na biashara ya aina hiyo? Kama wewe ni fundi magari why usianzishe gereji yako?

Ujuzi ulianao ndo hazina ya kwanza nay a kipekee ya kupata wazo na mara nyingi wajasirimali wengi waliofanikiwa waliacha kazi wanazo fanya na kwenda kuanzisha za aina hiyo na kuzimiliki wenyewe

2. BADILISHA HOBBY YAKO KUWA PESA
Hobby ni moja ya maeneo ambayo watu huja kutajilikia, kama wewe hobby yako ni kufuga mbwa kwa nini usianze hiyo biashara ya kufuga mbwa?

Kama Hobby yako ni Kuogelea, kwa nini usinzishe mabwawa ya kuogelea na wengine wakawa wankuja huko kuogelea?

Kam unapenda gardening unaweza anza biashara ya kufanya landscape gardening.

3. NUNUA BIASHARA AMBAYO TIYARI IPO
Ukishindwa kabisa kupa wazo mwanana unaweza nunua biashara ya mtu mwingine na kuindeleza, siku hizu kuna biashara kibao zinauzwa kwa sababu mbalimbali so unaweza nunua nu kuendelea nayo

4. KUNUNUA FRANCHISE
Hii ni moja ya njiza zinazo tumika kwa sasa na sehemu nyingi sana, Unaweza nunua Popular Brand na kuifanyia kazi, Ingawa mara nyingi kuna mashariti ya kuambatana ikiwemo kuhakikisha unatoa huduma sawa na Brandi yenyewe, nah ii ni popular sana katika MAHOTELI/MIGAHAWA, MASUPERMARKET NA MADUKA MENGINE.

Na usijalibu kutumia Brand ya Kampuni Fulani bila kuwapa Taarifa make inaweza kula kwako na ukajikuta unafilisiwa.

Na ilisha wahi kutokea kwa Kampuni ya Mabasi ya SABENA baada ya kutimia jina la Shirika la Ndege la Ubeligiji, Ila sijui walimalizana vipi, make jamaa bado wanalitumia

5. TUMIA PERSONALITY YAKO
Kuna watu unakuta either ni Mrembo sana, Handsome na kazalika, unaweza utumia huo urembo na uhendsaamu kufanya biashara, either za marketing na kadhalika.

6. NINI KINAKOSEKANA MTAANI?
Tazama ni kitu gani hakipo hapo mtaani and then geuza kuwa opportunity, inaweza isiwe ni mtaani ikawa ni kazini kwako, Kijijini kwenum au maeneo unayo enda kustarehe.

-Ni kitu gani huwa kinaleta usumbufu kwako na kukuchukulia muda mwingi na pesa nyingi?
- Ni huduma zipi hazipo kabisa mtaani kwako? Na ambazo ni za muhimu?
-Ni bidhaa zipi ambazo ni vigumu kuzipata mtaani kwenu?
-Ni kitu gani, wewe, Ndugu, Majirini huwa wanakilalamikia sana mtaani hapo?

7. UTALII KATIKA MAENEO YAKO
Hii nayo ni moja ya wazo, so unaweza angalia furusa za utalii kwenye maeneo uliyopo au hata kwingine na kuyafanyia kazi.

8. TUMIA TEKNOLOJIA MPYA KUANZISHA BIASHARA
Angalia mfumo wa maisha wa sasa ulivyo, vitu vinavyo tumika kwa sasa na vinavyo tumiwa na watu wengi, so mfumo wa maisha wa watu kwa sasa unaweza kukuongoza kuja na wazo la Biashara.

9. ANGALIA MAKAMPUNI MAKUBWA NA TAASISI NYINGINE WANAHITAJI NINI?
Unaweza tumia uwepo wa makampuni Fulani au taasisi Fulani maeneo yako kutengeneza wazo la biashara, taasisi kama Shule, vyuo, Hospitali, Makampuni kama Viwanda Migodi na kadhalika, angalia ni kipi hawa watu wanaweza kuwa wanahitaji kwa wingi.

10. UNAWEZA KUANGALIA KUHUSU KUUZA BIDHAA ZA WENGINE
Unaweza ukawa unauza bidhaa za watu wengine, unachukua na kuuza

11. ANGALIA HABARI NA MAKALA MBALIMBALI
Kuna chaneli huwa zina makala mazuri sana ya kiuchumi na biashara, hata TBC huwa ina makala Fulani nzuri sana, na kuna chaneli za kimataifa siku huzi kazi yao ni hiyo tu, ni kuonyesja ubunifu wa wajasirimali, so TV, radio na magazeti yanaweza toa mchango w akutosha kwa wewe kupata wazo la biashara

12. COPY BUSINESS IDEA AMBAYO IMEFANIKIWA KWINGINEKO
Hii ni moja ya njia zinazo tumika kwa sasa, unaweza copy idea kutoka hata India, China, na kwingineko na ukaja kuifanyia kazi huku kwa kufanya marekebisho madogo kulingana na mahitaji ya eneo husika

13. TUMIA NJIA ZOTE ZA KIUTAFITI KUPATA WAZO LA BIASHARA
  • Maonyesho ya biashara
  • Magazeti,
  • Kwenye taasisi za uma zinazo husika na biashara
  • Kwa marafiki.

14. UNAWEZA GUNDUA KITU?
Unaweza ukaja na ugunduzi wako kama walivyo fanya wakina Thomas Edson Michael Dell na wengineo, na ikawa ndo mwanzo wa mafanikio kwako

SO HIZO NI MOJA YA NJIA ZA KUTUMIA, INGAWA BADO KUNA NJIA NYINGI TU ZA KUFANYA ILI KUPATA WAZO LA BIASHARA LILILO BORA

********

Influenza SAID:
Kuchagua wazo la biashara ni hatua ngumu na muhimu sana. Watu wengi hawafanikiwi kwenye biashara zao kwa kuwa wanakosea katika hatua hii. Uchaguzi sahihi wa wazo la biashara ni msingi muhimu katika kufikia malengo ya biashara yako.

Ikiwa unataka kuanza biashara, basi karibu nikushirikishe mambo 5 ambayo unapaswa kuyazingatia kabla ya kuchagua wazo la biashara.

Chagua wazo unalolipenda
“Fanya kile unachopenda na pesa zitakufuata.” Kanuni mojawapo ya kufanikiwa katika kile unachokifanya ni kwa kupenda kile unachokifanya. Unapochagua wazo unalolipenda ni wazi kuwa utalifanya kwa moyo na kwa ufanisi mkubwa hata kama utakutana na changamoto.

Hivyo, usichague wazo kwa sababu fulani amelichagua au linampa faida kubwa mtu mwingine; kwako linaweza kuwa gumu na lenye hasara kubwa.

Chagua wazo unalolifahamu na kulimudu
Watu wengi hufanya kosa la kuchagua wazo la biashara ambalo hawalifahamu vyema au kulimudu. Hii ni kutokana na kuiga, kukosa ubunifu au hata tamaa ya pesa.

Kumbuka ili wazo lifanikiwe ni lazima litekelezwe na mtu anayelifahamu vyema na kulimudu. Kwa mfano unaanzisha biashara ya hoteli huku ukiwa huna maarifa wa ujuzi wowote kuhusu uendeshaji wa hoteli; ni wazi kuwa hutoweza kufanikiwa.

Zingatia swala la fedha
Kila biashara inahitaji fedha ili kujiendesha. Hivyo hakikisha wazo la biashara unalolichagua utaweza kupata fedha za kutosha ili kulitekeleza.

Lifahamu wazo vyema kabla ya kuamua kulifanyia kazi, fahamu gharama zote zinazohitajika katika kulitekeleza pamoja na faida itakayopatikana. Kwa njia hii utaweza kufanya maamuzi bora zaidi kama wazo linafaa au la.

Angalia uhitaji wa soko
Watu wengi hawafahamu umuhimu wa kuangalia uhitaji wa soko kabla ya kuchagua wazo la biashara. Unapoangalia uhitaji wa soko ni wazi kuwa utachagua wazo la biashara ambalo litauzika.

Usichague tu wazo kwa sababu ni wazo au wengine wanalifanya, bali hakikisha wazo lako linahitajika sokoni katika wakati husika.

Ushindani
Ushindani ni jambo muhimu ambalo kila mtu anayechagua wazo la biashara anatakiwa kulizingatia, kwani kufanikiwa kwenye biashara kunategemea kiwango cha ushindani na jinsi utakavyokabiliana nacho.

Hakikisha unafahamu vyema ushindani kwenye wazo husika na unaweza kuumudu vyema. Hakuna haja ya kuchagua wazo ambalo unashindana na makampuni yaliyoenea ulimwenguni kote wakati wewe ni mjasiriamali unayeanza..

Kama nilivyoeleza hapo awali, uchaguzi wa wazo la biashara unahitaji utulivu na umakini mkubwa. Ni muhimu ukahakikisha kuwa wazo unalolichagua unalimudu vyema na linaweza kukupa faida ya uhakika katika eneo unalolilenga.

Usichague wazo kwa kuwa wengine wamelichagua au wengine linawapa faida; bali chagua lile linalokufaa wewe na mazingira yako.
Nakubali
 
IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima.

HIZI NI MOJA YA NJIA ZA KUPATA WAZO LA BIASHARA

1. TUMIA UJUZI ULIO NAO

Ujuzi ulionao ndo sehemu ya kwanza kabisa ya kupata wazo la Biashara, Mfano kama wewe umejiliwa na ni Fundi wa kushona Nguo, why usianze na wewe kuwa na biashara ya aina hiyo? Kama wewe ni fundi magari why usianzishe gereji yako?

Ujuzi ulianao ndo hazina ya kwanza nay a kipekee ya kupata wazo na mara nyingi wajasirimali wengi waliofanikiwa waliacha kazi wanazo fanya na kwenda kuanzisha za aina hiyo na kuzimiliki wenyewe

2. BADILISHA HOBBY YAKO KUWA PESA
Hobby ni moja ya maeneo ambayo watu huja kutajilikia, kama wewe hobby yako ni kufuga mbwa kwa nini usianze hiyo biashara ya kufuga mbwa?

Kama Hobby yako ni Kuogelea, kwa nini usinzishe mabwawa ya kuogelea na wengine wakawa wankuja huko kuogelea?

Kam unapenda gardening unaweza anza biashara ya kufanya landscape gardening.

3. NUNUA BIASHARA AMBAYO TIYARI IPO
Ukishindwa kabisa kupa wazo mwanana unaweza nunua biashara ya mtu mwingine na kuindeleza, siku hizu kuna biashara kibao zinauzwa kwa sababu mbalimbali so unaweza nunua nu kuendelea nayo

4. KUNUNUA FRANCHISE
Hii ni moja ya njiza zinazo tumika kwa sasa na sehemu nyingi sana, Unaweza nunua Popular Brand na kuifanyia kazi, Ingawa mara nyingi kuna mashariti ya kuambatana ikiwemo kuhakikisha unatoa huduma sawa na Brandi yenyewe, nah ii ni popular sana katika MAHOTELI/MIGAHAWA, MASUPERMARKET NA MADUKA MENGINE.

Na usijalibu kutumia Brand ya Kampuni Fulani bila kuwapa Taarifa make inaweza kula kwako na ukajikuta unafilisiwa.

Na ilisha wahi kutokea kwa Kampuni ya Mabasi ya SABENA baada ya kutimia jina la Shirika la Ndege la Ubeligiji, Ila sijui walimalizana vipi, make jamaa bado wanalitumia

5. TUMIA PERSONALITY YAKO
Kuna watu unakuta either ni Mrembo sana, Handsome na kazalika, unaweza utumia huo urembo na uhendsaamu kufanya biashara, either za marketing na kadhalika.

6. NINI KINAKOSEKANA MTAANI?
Tazama ni kitu gani hakipo hapo mtaani and then geuza kuwa opportunity, inaweza isiwe ni mtaani ikawa ni kazini kwako, Kijijini kwenum au maeneo unayo enda kustarehe.

-Ni kitu gani huwa kinaleta usumbufu kwako na kukuchukulia muda mwingi na pesa nyingi?
- Ni huduma zipi hazipo kabisa mtaani kwako? Na ambazo ni za muhimu?
-Ni bidhaa zipi ambazo ni vigumu kuzipata mtaani kwenu?
-Ni kitu gani, wewe, Ndugu, Majirini huwa wanakilalamikia sana mtaani hapo?

7. UTALII KATIKA MAENEO YAKO
Hii nayo ni moja ya wazo, so unaweza angalia furusa za utalii kwenye maeneo uliyopo au hata kwingine na kuyafanyia kazi.

8. TUMIA TEKNOLOJIA MPYA KUANZISHA BIASHARA
Angalia mfumo wa maisha wa sasa ulivyo, vitu vinavyo tumika kwa sasa na vinavyo tumiwa na watu wengi, so mfumo wa maisha wa watu kwa sasa unaweza kukuongoza kuja na wazo la Biashara.

9. ANGALIA MAKAMPUNI MAKUBWA NA TAASISI NYINGINE WANAHITAJI NINI?
Unaweza tumia uwepo wa makampuni Fulani au taasisi Fulani maeneo yako kutengeneza wazo la biashara, taasisi kama Shule, vyuo, Hospitali, Makampuni kama Viwanda Migodi na kadhalika, angalia ni kipi hawa watu wanaweza kuwa wanahitaji kwa wingi.

10. UNAWEZA KUANGALIA KUHUSU KUUZA BIDHAA ZA WENGINE
Unaweza ukawa unauza bidhaa za watu wengine, unachukua na kuuza

11. ANGALIA HABARI NA MAKALA MBALIMBALI
Kuna chaneli huwa zina makala mazuri sana ya kiuchumi na biashara, hata TBC huwa ina makala Fulani nzuri sana, na kuna chaneli za kimataifa siku huzi kazi yao ni hiyo tu, ni kuonyesja ubunifu wa wajasirimali, so TV, radio na magazeti yanaweza toa mchango w akutosha kwa wewe kupata wazo la biashara

12. COPY BUSINESS IDEA AMBAYO IMEFANIKIWA KWINGINEKO
Hii ni moja ya njia zinazo tumika kwa sasa, unaweza copy idea kutoka hata India, China, na kwingineko na ukaja kuifanyia kazi huku kwa kufanya marekebisho madogo kulingana na mahitaji ya eneo husika

13. TUMIA NJIA ZOTE ZA KIUTAFITI KUPATA WAZO LA BIASHARA
  • Maonyesho ya biashara
  • Magazeti,
  • Kwenye taasisi za uma zinazo husika na biashara
  • Kwa marafiki.

14. UNAWEZA GUNDUA KITU?
Unaweza ukaja na ugunduzi wako kama walivyo fanya wakina Thomas Edson Michael Dell na wengineo, na ikawa ndo mwanzo wa mafanikio kwako

SO HIZO NI MOJA YA NJIA ZA KUTUMIA, INGAWA BADO KUNA NJIA NYINGI TU ZA KUFANYA ILI KUPATA WAZO LA BIASHARA LILILO BORA

********

Influenza SAID:
Kuchagua wazo la biashara ni hatua ngumu na muhimu sana. Watu wengi hawafanikiwi kwenye biashara zao kwa kuwa wanakosea katika hatua hii. Uchaguzi sahihi wa wazo la biashara ni msingi muhimu katika kufikia malengo ya biashara yako.

Ikiwa unataka kuanza biashara, basi karibu nikushirikishe mambo 5 ambayo unapaswa kuyazingatia kabla ya kuchagua wazo la biashara.

Chagua wazo unalolipenda
“Fanya kile unachopenda na pesa zitakufuata.” Kanuni mojawapo ya kufanikiwa katika kile unachokifanya ni kwa kupenda kile unachokifanya. Unapochagua wazo unalolipenda ni wazi kuwa utalifanya kwa moyo na kwa ufanisi mkubwa hata kama utakutana na changamoto.

Hivyo, usichague wazo kwa sababu fulani amelichagua au linampa faida kubwa mtu mwingine; kwako linaweza kuwa gumu na lenye hasara kubwa.

Chagua wazo unalolifahamu na kulimudu
Watu wengi hufanya kosa la kuchagua wazo la biashara ambalo hawalifahamu vyema au kulimudu. Hii ni kutokana na kuiga, kukosa ubunifu au hata tamaa ya pesa.

Kumbuka ili wazo lifanikiwe ni lazima litekelezwe na mtu anayelifahamu vyema na kulimudu. Kwa mfano unaanzisha biashara ya hoteli huku ukiwa huna maarifa wa ujuzi wowote kuhusu uendeshaji wa hoteli; ni wazi kuwa hutoweza kufanikiwa.

Zingatia swala la fedha
Kila biashara inahitaji fedha ili kujiendesha. Hivyo hakikisha wazo la biashara unalolichagua utaweza kupata fedha za kutosha ili kulitekeleza.

Lifahamu wazo vyema kabla ya kuamua kulifanyia kazi, fahamu gharama zote zinazohitajika katika kulitekeleza pamoja na faida itakayopatikana. Kwa njia hii utaweza kufanya maamuzi bora zaidi kama wazo linafaa au la.

Angalia uhitaji wa soko
Watu wengi hawafahamu umuhimu wa kuangalia uhitaji wa soko kabla ya kuchagua wazo la biashara. Unapoangalia uhitaji wa soko ni wazi kuwa utachagua wazo la biashara ambalo litauzika.

Usichague tu wazo kwa sababu ni wazo au wengine wanalifanya, bali hakikisha wazo lako linahitajika sokoni katika wakati husika.

Ushindani
Ushindani ni jambo muhimu ambalo kila mtu anayechagua wazo la biashara anatakiwa kulizingatia, kwani kufanikiwa kwenye biashara kunategemea kiwango cha ushindani na jinsi utakavyokabiliana nacho.

Hakikisha unafahamu vyema ushindani kwenye wazo husika na unaweza kuumudu vyema. Hakuna haja ya kuchagua wazo ambalo unashindana na makampuni yaliyoenea ulimwenguni kote wakati wewe ni mjasiriamali unayeanza..

Kama nilivyoeleza hapo awali, uchaguzi wa wazo la biashara unahitaji utulivu na umakini mkubwa. Ni muhimu ukahakikisha kuwa wazo unalolichagua unalimudu vyema na linaweza kukupa faida ya uhakika katika eneo unalolilenga.

Usichague wazo kwa kuwa wengine wamelichagua au wengine linawapa faida; bali chagua lile linalokufaa wewe na mazingira yako.
Nimekuekewa
 
NAUZA CARWASH MPYA YA KISASA
MAELEZO: UJENZI, MACHINE ZOTE, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k
JUMLA: TZS 8,000,000

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
CALL: 0717 26 33 77
 
Below, you can find the top 5 challenges faced by eCommerce businesses:

1st Challenge –, Cash on delivery is the preferred payment mode​

most people prefer to pay cash on delivery due to the low credit card diffusion and low trust in online transactions. Not like electronic payments, manual cash collection is quite perilous, expensive, and laborious.

2nd Challenge – Internet Penetration is Low​

Internet penetration is quite low as compared to several western countries like the USA, UK, France, and more. Still, the country is a small fraction of what other countries are getting.

Moreover, the quality of connectivity is low in various regions. However, these both problems are slowly disappearing. In the next few years, the connectivity problems will disappear from the list of challenges to eCommerce

3rd Challenge – Customers Return Much of Their Products They Buy Online​

It is true that eCommerce has lots of first-time buyers. It means, they are still not sure about what to expect from eCommerce websites; thus, purchasers fall prey to hard sell. Finally, when the product is delivered, they started feeling regret and return the goods.

Therefore, customers’ regret is the biggest problem majorly. For eCommerce retailers, returns are extremely expensive as it shows some unique challenges and it becomes more difficult in cross-border eCommerce.

4th Challenge – Many Times, Postal Addresses are not consistent​

Once if you place an online order, you will get a call from the company, asking about your exact location. The given address is not enough because there is always a little standardization while writing post addresses. It is also one of the biggest challenges faced by eCommerce.

5th Challenge – Features Phones Rule The Roost​

When it comes to the total number of users of mobile phones, it is extremely high as various people still use feature phones, not smart-phones.

The consumer group is still unable to make eCommerce purchases on the move while the country is still away from the scales tipping in favor of smart-phones. With the increasing number of smart-phone users, the demand for online shopping also goes up automatically.

6th Challenge – Security and Privacy​

These days, the more pressing issues related to e-commerce are privacy and security. There is no protection offered either by site or outside watchdogs against problems created by endangering one’s privacy.

7th Challenge – Supply Chain Issues​

Many a time, timely delivery is a major challenge faced based upon the infrastructure, location, and unavoidable roadblocks during transitions that lead to the cancellation of orders. An annoyed customer is a lost cause if the product is not delivered on time. This is a tedious procedure that requires a lot of R&D on part of all the e-commerce platforms selecting the supply chain model. So, these were the top challenges that majorly faced by eCommerce businesses. It is also important to note that eCommerce giants are increasing in India, and many cross-border eCommerce are also expanding. So, if you also want to make an online store for your business, you should hire a professional eCommerce developer.”

So, these were the top challenges that majorly faced by eCommerce businesses. It is also important to note that eCommerce giants are increasing in many cross-border eCommerce is also expanding.
 
NAUZA BIASHARA YA CAR WASH:

LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
NAMBA YA SIMU: 0717 26 33 77

MAELEZO:

MACHINE ZOTE, UJENZI, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k JUMLA: TZS 7,000,000
NIMEBAHATIKA KUPATA KAZI SERIKALINI NA KITUO CHANGU KIKO MKOANI, SO NIMEAMUA KUUZA HII BIASHARA.
 
Kitu nilcho jifunza ni kwamba biashara ina inahitaji mambo matatu

1.mind set au tunaweza kusema kuwa na akili ya biashara

2.wazo la biashara
3.mtaji

Kimoja kiki-miss biashara haiwezi kwenda ,ukiwa na mtaji ,wazo la biashara lkn akili ya biashara huna lazima utaanguka tu ,also kama huna wazo la biashara lakini vingine unavyo matatizo yanaweza kuwa yale yale ...hela unakuwa nazo hujui ufanyie biashara gani mwisho unangia kichwa kichwa unaangukia uso.

Lakini kwenye mtaji sio tatizo sana ,mtaji hela na hela inatafutwa kuna njia nyingi za kupata mtaji .

-unaweza kupata mtaji kwa njia ya kukopa serikalini au taasisi binafsi wanaita dept capital .

-Trade capital unaweza kupata mtaji kupitia biashara labda kwa mfano unafungua ka biashara kadogo kwa lengo la kukusanya mtaji

-Working capital mtaji unaotokana na kufnya kazi (mshahara) kama umeajiliwa unaweza kujichanga kidogo kidogo hadi ukapata mtaji kupitia mshara wako.

-Equit capital pia unawez kupata mtaji kupitia njia hii ambayo inakuwa kama vicoba ,labda mnaanzisha kikundi kwa lengo la kupeana mitaji
 
Well said bro ila piah wazo Bora pekee ake halitoshi kufanikisha kwenye biashara bira ya usimamiz Bora
 
Umeichambua mada vizuri sana na nimeielewa sana. Barikiwa sana ndugu
 
Chasha thanks so much, nilikuwa sijaisoma hii.

Kuna mtu anauliza mitaji, mie naona wengi wetu hapa ni wafanyakazi, mitaji itapatikana kwa kuwa na good saving habits, ukiGoogle wenzetu wanambinu nyingi nilizojifunza chache.

1. kupunguza matumizi kwa kubeba lunch box yako badala ya kununua kila siku (3500 - 10000)

2. Kupunguza matumizi ya simu yasiyo lazima

3. Kupunguza manunuzi ya mavazi na au outing zilizo costly au frequency, badala ya hoteli ghali weekend waweza kwenda beach, fellowships, meet family, friends etc

4. Kupunguza namba ya helping hands au wasaidizi mfano kila weekend salon waweza suka au tengeneza mwenyewe, kulima maua au bustani ndogo, tuition ukafanya mwenyewe au siblings, car washing yaani mshahara wetu huu tunaulipa kwa watu kibao kwa kazi ambazo mkiamua kama family weekend mnaifanya bila shida

5. Kupunguza matumizi ya petrol kwa kutumia usafiri wa basi inapowezekana mfano kuna basi za 1000 kuliko petrol 15000-30000 daily

Ukiangalia mianya mingi yakubana matumizi kwa mwezi unajikuta umepata mtaji wa kuanzia kitu kidogo tatizo watu hawataki shida....
 
asante sana kwenye hilo aiseee mimi nakili kabisa piaa nakubaliana na wewe kwenye hilo .Napenda kuwapongeza sana baadhi ya wakinga wapo vizuri san kwenye nidhamu ya fedha unaweza kutana na na mkinga ana mali zaidi ya bilion 3 lakini hana gari, anaishhi maisha ya primitive sana kisa tu aweze kujenga nidhamu ya kuhifadhi pesa mali nyingine wamekuwa wakiongelewa kuwa mbona mabahili ivo utaskia ndo mashariti ya mganga wake🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️ nyie tubadilike sana pia kama umetamani kununua gari nunua gari ambayo utaweza kuimudu kwenye issue ya service hatukatai kuwa na gari inawza kuwa ni moja ya achieviement yako😁.
Naomba nihitimishe kwa kusema nunua kitu ambacho unaweza kuafford itakusaidia wewe kwnye ishu ya kusave pesa zako.
 
Back
Top Bottom