KERO Baadhi ya shule za sekondari na msingi zinatoza wanafunzi hela ya mitihanii kila mwezi na huku wanalipa ada

KERO Baadhi ya shule za sekondari na msingi zinatoza wanafunzi hela ya mitihanii kila mwezi na huku wanalipa ada

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kuna changamoto katika shule za sekondari na msingi kuwatoza wanafunzi hela ya mitihanii kila mwezi na huku wanalipa hela kwa ajili ya masomo kwa siku za kawaida na wasipokuwa na hizo pesa hawafanyi mitihani.

Nimelishuhudia hili kwa shule za Tarime mkoani mara, hasa Mogabiri Secondary School na shule ya msingi Mtingiro.

 
Izo shule ni za private au za serikali?
 
Boresheni masilahi ya walimu, bila hivyo wazazi mtalia kila uchwao.
 
Habari!

Mimi ni mdau ambaye nimekutana na changamoto kwenye kufuatilia cheti cha kuzaliwa, hivyo ninaomba kujua gharama za kupata cheti Cha kuzaliwa ni bei gani?

Maana Kuna baadhi ya ofisi kama za mkoa wa mara, wilaya ya butiama -musoma, watu wanatozwa zaidi ya laki moja Kwa ajili ya kupata vyeti vya kuzaliwa Kwa Kila cheti kimoja.
 
Yaani unakuta mzazi anaenda ofisi za Rita kufuatilia cheti Cha mtoto wake, anaambiwa gharama kubwa hadi anauza ng'ombe ili akalipie cheti kimoja!

Tunaomba tupate utaratibu ukoje kutoka Kwa wahusika.
 
Yaani unakuta mzazi anaenda ofisi za Rita kufuatilia cheti Cha mtoto wake, anaambiwa gharama kubwa hadi anauza ng'ombe ili akalipie cheti kimoja!

Tunaomba tupate utaratibu ukoje kutoka Kwa wahusika
 
Mwisho wa siku watu wanakata tamaa kufuatilia vyeti vya kuzaliwa ambavyo ni hakika yao ya msingi.

Na zaidi wanashindwa kupata huduma za msingi kama vile; shule, bima ya afya, n.k.

Hebu tafadhali tufahamishwe ili tujue ni utaratibu gani upo Kwa nchi nzima, na zaidi hicho cheti kinachukua muda gani kukamilika , maana Kuna mzunguko watu wanazungushwa mpaka basi.
 
Back
Top Bottom