Baadhi ya viongozi hawana sifa za kuongoza

Samaki huonza kuanzia kichwani au masikioni
 
Magu ndio mtu pekee ambae angeweza kuleta maendeleo ya kweli kwenye nchi hii.

Huo ndio ukweli.

African tuna safari ndefu sana.
 
Amewataka vijana kuwa wazalendo
Uzalendo kwa nchi za Africa ni dhana ngumu sana. Mtu akiangalia connections zote wanapewa watoto wa vigogo/wakubwa mpaka scholarships alafu leo umuimbishe wimbo wa uzalendo ili aje kudhalilika uzeeni??
 
Sisi tunaokutana nao hawa WEOs na VEOs tunajua taabu tunazopata.
Yaani mara nyingi inabidi tugeuke kuwa waalimu kuwafundish vile wanapaswa kutenda majukumu yao.

Ni hawana kitu wanajua kabisa kwa wengi wao kwa kweli.
Kama Wilaya ya Mkuranga nimekutana na issue ya hovyo sana.
Nina shida na WEO wa Kata fulani,nafika ofisini kwake saa 3 mpaka saa 6 mtu hajafika.

Kumpigia simu,anasema kwa nini sikumjulisha mapema kuwa leo nitakuwa nina shida naye! Nikamuuliza ile ofisi maana yake nini,anasema yeye anafanya kazi kiteknolojia (kwa simu).
Fikiria mimi ni muwekezaji ndio nafanyiwa hivyo kama nataka hisani vile.
Yeye anaishi km 30 toka ofisi yake ilipo,yaani anaishi nnje ya Kata yake umbali wa km 30.
Haendi ofisini mpaka apigiwe simu.

Kwa kweli huu mnyororo wa viongozi wabovu ni kuanzia chini mpaka juu, na nimeushuhudia mwenyewe huku Mkuranga,Kibiti,Rufiji na Kilwa.
 
Ni nchi gani inaongozwa na akina saa100 africa na imefanikiwa?

Isije ikawa tunajaribu kitu tusichokijua!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…