Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Akili NDOGO sanaAkili kisoda 😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili NDOGO sanaAkili kisoda 😂😂😂😂
Hakika tuna kazi kubwaa SanaaaKwa ujumla tunaongozwa na wajinga, kuanzia top mpaka wateuliwaji.
Kaazi kwelikweli.
Watu ka wewe sijui kwanini dingi halikumwagia njeHuna ubavu wewe chawa ita kunguni wakusaidie
Samaki huonza kuanzia kichwani au masikioniMakumu wa raisi akihutubia kongamano la vijana hapo jana amesema kwamba tatizo kubwa kwenye nchi hii ni kuwa na wimbi kubwa la vijana wenye tamaa ya kupata utajiri wa haraka.
Amewataka vijana kuwa wazalendo na wawajibikaji Kwan hatma ya taifa hili IPO mkononi mwao .
Tumboni mkuu kwenye mautumbo kule point yako ni nini??Samaki huonza kuanzia kichwani au masikioni
Una hamu ya kugongwagongwa nyuma? Hicho kinyeo chako kinakuwasha?Watu ka wewe sijui kwanini dingi halikumwagia nje
Point yangu ni kufuata jibu lakoTumboni mkuu kwenye mautumbo kule point yako ni nini??
Ningekuwa na uwezo ningekodisha lori la kuzibulia mavi na kuja nalo kukuzibuaUna hamu ya kugongwagongwa nyuma? Hicho kinyeo chako kinakuwasha?
Huna point kauzee kenyeoo hukoo falaa ww upate kulaaaNingekuwa na uwezo ningekodisha lori la kuzibulia mavi na kuja nalo kukuzibua
UtdProfile_ bichwa lako kama la ngiri. Huna akili kabisaHuna point kauzee kenyeoo hukoo falaa ww upate kulaaa
We mwenyew bichwa kama mboo ya pundaUtdProfile_ bichwa lako kama la ngiri. Huna akili kabisa
Afadhali maana kuwa nayo kubwa ni sifa ila wewe ngiri nadhani unastahili kifo tu ukikutana na simbaWe mwenyew bichwa kama mboo ya punda
Hunaaa jpyaaa wewe kauze unakouzagaa unakouzagaaaAfadhali maana kuwa nayo kubwa ni sifa ila wewe ngiri nadhani unastahili kifo tu ukikutana na simba
Uzalendo kwa nchi za Africa ni dhana ngumu sana. Mtu akiangalia connections zote wanapewa watoto wa vigogo/wakubwa mpaka scholarships alafu leo umuimbishe wimbo wa uzalendo ili aje kudhalilika uzeeni??Amewataka vijana kuwa wazalendo
Sisi tunaokutana nao hawa WEOs na VEOs tunajua taabu tunazopata.Achana na huko juu, Yani Huku CHINI serikali za mitaa kwa MAANA ya watendaji wa kata na Miata ndo Kuna kilio, pameozaa Hawa hawaujui dhamana zao na WANAIKOSANISHA SERIKALI na WANANCHI wao... Sijui kwanini mabadiliko hayafanyiki. Kama hakutakuwa na mkeka mpya Huku chini (serikali za mitaa) ambalo ndio Kila siku wanakutana na wananchi sijui itakuwaje 24/25
Ni nchi gani inaongozwa na akina saa100 africa na imefanikiwa?Serikali yetu inapitia Changamoto pia ya Kuwa na Viongozi ambao hawajui dhamana yao, kazi zao, wajibu wao, lengo la kuwa eneo hilo.
Hawajui namna ya kuishi na Raia ambao 2025 utarudi tena kwao kuomba kura🤔🤔🤔
Nape Nnauye ndio namba moja wao kati ya viongozi wajinga.