yeye ndie anaweka vikwazo? yeye ndie alianzisha operation za kina konki? yeye ndie aliyepayuka jukwaani kuwa hasomeshi wenye ujauzito? inamaana usa uk hana wawakilishi huku wanao ona hali inavyo endelea?ndo kilichokuwa kimempeleka membe ulaya,safari zake za nje kimya kimya hazikomi,kweli tamaa ya madaraka ni mbaya sana.
Watacheki afya wapi ??Kwa hiyo tutegemee watakufa Kwa kuzuiwa kwenda Ulaya!
Walaa mwenzako nipo vizuri tu, sema haki zinapominywa na kikundi cha watu wachache wakiwa wananeemeka, hata uwe na maisha mazuri vipi ni kazi bure. Tumekosea sana kama Taifa mpaka tumefikia hatua hii braza anazingua sana na anatumia nguvu kubwa kuonekana hakosei, ,kingine ni ego, kingine ni mkoloni na mengine mengi.......Umasikini unakusumbua. Umekosa michongo ya hela unaona bora umwage ugali wote wakose ikiwemo vita.
Nimefanya kazi na makampuni binafsi ambapo nimeweza kusafiri kwenye nchi kama Sudan na Somalia.
Ombea vitu vyote, kasoro vita aisee. Hiyo kitu acha kabisaa.
Watacheki afya wapi
Hawafi ila muulize Mugabe swali hilo.Kwa hiyo tutegemee watakufa Kwa kuzuiwa kwenda Ulaya!
Mungu huwa anaponya kea sharti moja: Mwondoeni mwovu Kati yenu ili apate kuwaponya.NCHI IMEGAWANYIKA VIPANDE VIPANDE, HATUAMINIANI, KILA MTU AMEGEUKIA KWAKE, OLE WETU SISI MAANA HATUPENDANI TENA, ADUI HATUMTAFUTI NJE YA MIPAKA TENA, TUMESHAKUWA MAADUI SISI KWA SISI,UDUGU UMEKUFA, TUNAOMBEANA MABAYA. ADUI AMEPATA NAFASI. MUNGU IPONYE TANZANIA
Hamna namna sijui ni kumpiga huyo tuYaani mtu moja anaitia hasara nchini kwa upumbavu wake
Hekima iishinde ujeuri. Hakuna aliyewahi kuwazidi akili western countries. Hata Mwl amekufa akijuwa jeuri yao.
Aisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Kumbe na wewe huna akili!ndo kilichokuwa kimempeleka membe ulaya,safari zake za nje kimya kimya hazikomi,kweli tamaa ya madaraka ni mbaya sana.
Uchumi utainuka hata usipo piga watu risasi.Democrasia umekuwa nayo miaka mingi na hujaeta maendeleo.. bado masikini.. Leo tunainua uchumi wetu na kukemea vitendo vya wizi .. wewe unakaa tu kusemea wanaume wa ulaya .. Eti Domokorosia... Mtu ushinde unapiga porojo bila kufanya kazi kisa democrasia..
Baba yako ameacha kazi ya mgambo? Au kamanda unamaanisha nini?Makamanda mnahaha na kujitia faraja, ha ha ha.
MwaiselaWatacheki afya wapi ??
Ambaye hana akili ni yule aliyeshirikiana na kaka yake kuuza gesi na kuwapiga mabomu ndugu zake wa kusini afu leo anajifanya kwenda kuzungusha bakuri,na kuomba msaada kwa wazungu wa kumuingiza ikulu.https://jamii.app/JFUserGuide off idiot tanzanians.Kumbe na wewe huna akili!
kwani safari za nje zina tija?
Gesi ikauzwa huku viuno vikikatwa kushangilia ukuu wa kijani!.....Ambaye hana akili ni yule aliyeshirikiana na kaka yake kuuza gesi na kuwapiga mabomu ndugu zake wa kusini afu leo anajifanya kwenda kuzungusha bakuri,na kuomba msaada kwa wazungu wa kumuingiza ikulu.**** off idiot tanzanians.