Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Haya malalamiko yameanza 1995, 26 years now, ni kulalamika kila siku, nini kinafanyika zaidi ya malalamiko na kuswekwa rumande kwa miaka 26?Vyombo vya dola au vyombo vya majizi ya kura? Ni wendawazimu kutii mamlaka iliyo madarakani kwa wizi wa kura, huku ikikupora haki yako ya kukusanyika.
Na wewe kadai wakupe uverifiedMimi huwa najiulizaga sana,Jamii forum huwa wanatumia vigezo gani ku-verify user wake manake verified users wanaandikaga vitu vya ajabu ajabu mpaka unajikuta unaanza kuwazia mental state ya muhusika ipoje kiujumla
Awezi kukujibuMaandamano yana kibali? Hivi mnapoandamana kumpokea Zuchu huwa mna kibali?
Kama umewaita akina mama hao magaidi kwa kwenda USA embasy, Nikisema gaidi ni mama yako nakuoneaHongereni Jeshi la polisi hao kina Mama ni magaidi pia intelijensia inaonyesha walipanga kuchoma ubalozi
Mungu anatuona na atatujibia tuMwenyekiti wa Bawacha Temeke , Neema Mwakipesile anadaiwa kuchukuliwa na Polisi usiku wa manane, kwa kinachodaiwa tuhuma za kufika ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe akishirikiana na akina mama wengine wa Chadema .
Bado haijafahamika kama ataunganishwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe au La
View attachment 1872428
Ukipata majibu kwa hao mbululazi unitagMaandamano yana kibali? Hivi mnapoandamana kumpokea Zuchu huwa mna kibali?
Habari uliyoileta imetawaliwa na neno "Anadaiwa" kuchukuliwa na Polisi.Mwenyekiti wa Bawacha Temeke , Neema Mwakipesile anadaiwa kuchukuliwa na Polisi usiku wa manane, kwa kinachodaiwa tuhuma za kufika ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe akishirikiana na akina mama wengine wa Chadema .
Bado haijafahamika kama ataunganishwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe au La
View attachment 1872428
Ninavyojua mimi ni kuwa unatakiwa kutoa taarifa na sio kuomba kibali. Hauwezi kuomba kibali kufanya kitu ambacho ni haki yako ya msingi. Nielimishwe kama nimeelewa sivyo.Tofautisha kwenda kumpokea mtu na maandamano.
Mara nyingi mashabiki wa mpira wameenda JKNIA kupokea wachezaji wao na siyo tatizo kwakua hayo siyo maandamano.
Maandamano ni mkusanyiko unaofanywa ili kufikisha ujumbe. Kuandamana ni miongoni mwa haki za kizazi cha kwanza cha haki za binadamu hivyo imehakikishiwa kikatiba.
Lakini ikatokea watu tunaandamana kila siku hilo litakua tatizo ndiyo maana serikali nyingi hubuni clawback clause ya kutunga sheria ambazo zitafanya kuexercise hii haki kuwe kugumu mfano ili uandamane unahitaji kibali, inamaanisha kwamba kibali kisipotoka na ukaandamana utahesabiwa umevunja sheria.
Mbona wewe ni pumbavu sana? What do you know about taarifa? akili za mbweha!Tafuta hata taarifa sahihi kabla ya kuja na upotoshaji humu.
Ni kibali.Ninavyojua mimi ni kuwa unatakiwa kutoa taarifa na sio kuomba kibali. Hauwezi kuomba kibali kufanya kitu ambacho ni haki yako ya msingi. Nielimishwe kama nimeelewa sivyo.
Amandla....
Mbona haueleweki? Mara hayakuwa maandamano kwa hiyo hayahitaji kibali. Sasa unataka uthibitisho kuwa hayakuwa na kibali! Watakuaje na kibali kwenye kitu mbacho hakihitaji kibali?Mnaomba katiba mpya ilihali iliyopo hamjaisoma na kuielewa,Sasa hilo ni swali la kuuliza mbele ya watu wanaojielewa?
Haya thibitisha kwamba yale mapokezi ya zuchu,hayakuwa na kibali.
Mungu ibariki CHADEMA na kuipigania...Mwenyekiti wa Bawacha Temeke , Neema Mwakipesile anadaiwa kuchukuliwa na Polisi usiku wa manane, kwa kinachodaiwa tuhuma za kufika ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe akishirikiana na akina mama wengine wa Chadema .
Bado haijafahamika kama ataunganishwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe au La
View attachment 1872428
Basi wewe ni binadamu uliye kamilika na mwerevu,ila pamoja na yote acha upotoshaji, tafutaa taatifa za kitafiti na uje nazi hapa kuthibitisha madai yako.Mbona wewe ni pumbavu sana? What do you know about taarifa? akili za mbweha!
Hautakiwi kukataliwa kuandama bali unashauriwa uahirishe kwa sababu ambazo unaelezwa. Kwa bahati mbaya sasa imekuwa tamaduni ya kukatalia bila hata kutoa sababu za msingi.Ni kibali.
Unaweza kukataliwa au kukubaliwa ukishapeleka hilo swala la kutaka kuandamana.
Haki ya msingi huzuiwa na haki ya mtu mwingine ya msingi au na sheria. Ni haki yako kufanya maamuzi juu ya mwili wako lakini sheria ya Tz inakataza abortion so ingawa ni haki yako ila sheria imekugomea.
Unaamua nini kama hata chanjo wanakusaidia ?!.Nyie Chadema hebu kachanjweni corona huko, unaenda Ubalozi wa Marekani kudai gaidi aachiwe, umeambiwa Tanzania inatawaliwa na Marekani? Hii ni nchi huru tunaamua mambo yetu wenyewe kulingana na sheria zetu
Sad news,CCM is very weak to defend itself!Without POLICE they are weaker than many opposition parties.Mwenyekiti wa Bawacha Temeke , Neema Mwakipesile anadaiwa kuchukuliwa na Polisi usiku wa manane, kwa kinachodaiwa tuhuma za kufika ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe akishirikiana na akina mama wengine wa CHADEMA.
Bado haijafahamika kama ataunganishwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe au la.
View attachment 1872428
Haya malalamiko yameanza 1995, 26 years now, ni kulalamika kila siku, nini kinafanyika zaidi ya malalamiko na kuswekwa rumande kwa miaka 26?
Sawa bossUnacheka cheka mtoto wa kiume ushakuwa shog@ nini? Maana unapenda kucheka cheka sana, mtoto wa kiume hacheki hovyo hovyo unless una ushog@ ndani yako, halafu eti mpare, we ni mat@ko.
Chanjo kaileta yule bibi yenu mwenye macho mlegezo mmeanza kufarakana ninyi wenyewe hapo lumumba