Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Baadhi ya vyombo vya habari vya nchi jirani vinaeneza uongo, vichukuliwe hatua Kali

Wahenga walisema "ukitaka kujua umuhimu wa makalio, jaribu kukalia kichwa siku moja" ila MATAGA hamjui umuhimu wa kichwa(ubongo) na mnafikiri kwa makalio na matumbo kila siku.

Media za Tz mmezibana, leo hii hakuna kiongozi aa serikali aliyetoa kauli yoyote rasmi kuhusu alipo na hali yake kiafya ipo vipi. Tz haina uwezo wa kudhibiti vyombo vya habari vya nje visiandike au kuhoji kuhusu uvumi au taarifa yoyote inayowafikia kutoka credible source, na mpaka wamefikia hatua ya kuipa nafasi kurushwa hewani amini wana uhakika wa zaidi ya 75%.

NB:
Nimesikia idhaa za kiswahili za DW, BBC, VOA na nyinginezo zimezuiwa kurusha matangazo kupitia vituo vya ndani na possibly kupitia masafa yao.
Sasa kwa serikali ambayo inaheshimu misingi ya demokrasia na haina cha kuficha kuhusu hizo mnazoziita shutuma, mnafanya kazi nzito sana kuuaminisha umma hali ni mbaya kuliko inavyoripotiwa.
 
Wahenga walisema "ukitaka kujua umuhimu wa makalio, jaribu kukalia kichwa siku moja" ila MATAGA hamjui umuhimu wa kichwa(ubongo) na mnafikiri kwa makalio na matumbo kila siku....
Mkuu iko ivi nchi tumekubali kutawaliwa na watu wachache wenye fikra finu kwa maana nyingine ni wapumbavu, sasa wanachokifanya ni kufikiria kwamba kila mTZ, ni mpumbavu kama wslivyo wao.

Even though most of them ndo wanaharibu taswira ya nchi yetu kimataifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumbavu wewe! Hatua gani hizo ambazo mamlaka unataka zichukue? Hakuna hata chombo kimoja kilichoandika directly kuwa inathibitisha kuwa magufuli ana covid. Vyombo vyote wanasema kuwa kuna rumour au assumption kuwa magufuli ana covid. As long as hawajasema kuwa wana confirmed kuwa jiwe anaumwa hakuna yeyote anaeweza kufanya lelote lile. infact hata wakiandika kuwa wana hakika kabisa kuwa magufuli ana covid, serikali ya tanzania itafanya nini? kuwafungia? Just kwa sababu nchini kwenu hakuna uhuru wa kuandika usitegemee, ubabe wenu unaweza kuvuka mipaka ya nchi, fool!!!!
Asante lakini Nia na lengo langu la kufikisha ujumbe limefanikiwa.

Baadhi ya magazeti ya nchi jirani yaliandika kuwa mpendwa wetu alikua anatibiawa kwao lakini kwetu tunapigwa marufuku kueneza uzushi,Kuna Gazeti moja liliandika Hadi chumba alicholazwa na huduma anayoipata lakini kwetu tukaam biwa kuongelea hayo tuyachukuliwa hatua.

Sasa lengo langu mimi Ni kuwafahamisha tu kuwa habari tunazipata kwa jirani Kama Wana uwezo wavichukuliehatua vyombo hivyo vya jirani.

Umenielewa ndugu?

Walitupiga biti sisi Sasa jirani kaweka mambo hadharani.
 
Ila wapinzani mnapata faida gani kwa kumzushia rais wetu kuumwa au kifo ?
Habari za kuumwa tunazipata toka kwa majirani bana wanasema wao ndio waliomsitiri,ndio maana nikatoa kitendawili wavichukuliehatua hatua vyombo vya jirani sio kuonea wapinzani na vyombo vya ndani.
Je, Kama huyu aliyeleta hii mada ndiye kaiandika huko IG?
Hapana sikuiandika Mimi.
Mimi nimetoa fumbo tu.
Kwamba Kama wanatukataza sisi tusieneze uvumi Basi Kama wanaweza wavizuie na vyombo vya jirani maama huko pia ndio tunapata habari kuwa Mzee alitibiwa kwao nakutoka kwao akapelekwa ughaibuni.
Kama jeuri ya kuvi ban vyombo vya jirani.
 
Wakati wa nyerere, mwinyi na mkapa kulikuwa na nafasi kubwa sana ya kubana vyombo vya habari na kuhibiti habari na kungekuwa na mafanikio ya at leat 80%+ Lakini kunzia Kikwete na sasa hivi kuzuia habari ni ngumu sana
 
Back
Top Bottom