Baadhi ya vyuo vya Ualimu vifutwe na kurekebishwa kuwa vya Kilimo na Ufundi Stadi ili kuendana na soko la ajira

Baadhi ya vyuo vya Ualimu vifutwe na kurekebishwa kuwa vya Kilimo na Ufundi Stadi ili kuendana na soko la ajira

... sekta ya kilimo inahitaji mkakati wa kipekee kweli kweli. Ni aibu taifa leo linaagiza ngano, sukari, na mafuta ya kula. Serikali iwekeze kwenye mashamba makubwa yaliyotelekezwa miaka na miaka; vifaa vya kisasa vipelekwe huko; wataalamu waajiriwe huko plan iwe miaka mitano ijayo marufuku kuagiza ngano; miaka 8 marufuku kuagiza mafuta ya kula; miaka 10 marufuku kuagiza sukari badala yake tuwe tuna export.

Tutakuwa tumeokoa mabilioni ya dola yanayotumika kuagiza vyakula hivyo; tutakuwa tumetengeneza ajira kwa watu wetu; tutakuwa tunapata fedha za kigeni kwa kuuza nje. Uwezo wa rocket science hatuna basi hata kujitosheleza kwa ngano? Aibu!
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom