Baadhi ya Waandishi Maarufu wa Quran baada ya Kifo cha Muhamad

Baadhi ya Waandishi Maarufu wa Quran baada ya Kifo cha Muhamad

Tukumbuke kuwa Muhamad hakuwa akijua kusoma wala kuandika. Alikuwa maamuma katika mambo hayo. But he was a very clever man ukimsoma utatambua hilo. Na hii ilimsaidia sana kuweza jipatia wafuasi hata katika safari mbalimbali ambazo alifanya akienda kupora na kuchukua mateka.

Alikuwa na jeshi ambalo lilimwamini sana. Unakumbuka pale wapiganaji wenzie walimuuliza kuwa sasa wanagawa vipi zile mali ambazo waliteka. Akasema imeshuka aya inasema MALI WALIZOTEKA NI ZA MWENYEZI MUNGU NA MTUME WAKE.

Hawa ndo baadhi ya waandishi wa Quran baada ya kifo cha Muhamad(Mungu aiweke roho yake inapostahili)

1. Ali ibn Abī Ṭālib (the cousin of the Prophet and his son-in-law)
2. Ubay ibn Ka‘b
3. Zayd ibn Thābit
TAKIBIIIR
 
Tukumbuke kuwa Muhamad hakuwa akijua kusoma wala kuandika. Alikuwa maamuma katika mambo hayo. But he was a very clever man ukimsoma utatambua hilo. Na hii ilimsaidia sana kuweza jipatia wafuasi hata katika safari mbalimbali ambazo alifanya akienda kupora na kuchukua mateka.

Alikuwa na jeshi ambalo lilimwamini sana. Unakumbuka pale wapiganaji wenzie walimuuliza kuwa sasa wanagawa vipi zile mali ambazo waliteka. Akasema imeshuka aya inasema MALI WALIZOTEKA NI ZA MWENYEZI MUNGU NA MTUME WAKE.

Hawa ndo baadhi ya waandishi wa Quran baada ya kifo cha Muhamad(Mungu aiweke roho yake inapostahili)

1. Ali ibn Abī Ṭālib (the cousin of the Prophet and his son-in-law)
2. Ubay ibn Ka‘b
3. Zayd ibn Thābit
Hata hivyo Mwamedi alikufa akiwa na ngeu mbili juu ya jicho lake
 
Huku zanzibar ukimdisi kama hivyo wafia dini wanakukura kichwa sema astaghafiru kwa usalama wako na maisha yako kesho akhera
 
Wazee mbona Biblia tena? Hamuwezi kumalizia kesi zenu bila kuingiza Biblia?
Huwezi kuijadili Quran na Mtanzania bila kuigusa Biblia. Msingi wake wa hoja unabase huko........unadhani ye kaamka tu akaja na hiyo mada?
 
Wazee mbona Biblia tena? Hamuwezi kumalizia kesi zenu bila kuingiza Biblia?
Huwezi kuijadili Quran na Mtanzania bila kuigusa Biblia. Msingi wake wa hoja unabase huko........unadhani ye kaamka tu akaja na hiyo mada
 
I know you by your comments and reaction. Why are you so pissed off? JF is where we dare to speak. Whats your problem? Stress? C'mon young boy in life you better learn to hear even those which hurt you. Drink some juice and get some rest boy. If you dont want to discuss this then shove your head up your arse.
Have your head up your arse is the correct phrase.
Get to learn the language first. Unarudia rudia ndio umejua leo?

Jifunze kuwa na religious tolerance. Kuna mambo mengi ya kujadili ya kuleta maendeleo katika nchi, religion is none of them. Unafaidika nini na mada za hivi?
Unajidanganya tu. You can't change anaything.
 
Tukumbuke kuwa Muhamad hakuwa akijua kusoma wala kuandika. Alikuwa maamuma katika mambo hayo. But he was a very clever man ukimsoma utatambua hilo. Na hii ilimsaidia sana kuweza jipatia wafuasi hata katika safari mbalimbali ambazo alifanya akienda kupora na kuchukua mateka.

Alikuwa na jeshi ambalo lilimwamini sana. Unakumbuka pale wapiganaji wenzie walimuuliza kuwa sasa wanagawa vipi zile mali ambazo waliteka. Akasema imeshuka aya inasema MALI WALIZOTEKA NI ZA MWENYEZI MUNGU NA MTUME WAKE.

Hawa ndo baadhi ya waandishi wa Quran baada ya kifo cha Muhamad(Mungu aiweke roho yake inapostahili)

1. Ali ibn Abī Ṭālib (the cousin of the Prophet and his son-in-law)
2. Ubay ibn Ka‘b
3. Zayd ibn Thābit
Alikuwa maamuma .😂😂😂😂🙌
 
Back
Top Bottom