Baadhi ya wadada huwa mnawapoteza watu wa kuwasaidia sababu ya njaa zenu

Subiri vibamia na washamba wa mapenzi waje kukushambulia sasa
 
Sasa nimejitoa akili kwanini?
Hilo ni swali niliuliza kama unaamini analipwa 40k wewe unaleta mambo ya kushukuru nina pa kuamkia.
Mtu anakudanganya mambo ya kitoto sana ndo maana ninakuuliza umeamini analipwa 40k kwa mwezi?
Kwanini asiamini kwani unamjua uyo dada? Unajuaje kama kamdanganya? Sio kila kazi watu wanafata mshahara kuna kazi zingine hakuna cha maana wanacholipwa lakini wanaishi kwa kutegemea viujanja janja fulani tu hapo hapo kazini mfano mabaamedi.
 
Wewe unauzaje P?
 
Kwanini asiamini kwani unamjua uyo dada? Unajuaje kama kamdanganya? Sio kila kazi watu wanafata mshahara kuna kazi zingine hakuna cha maana wanacholipwa lakini wanaishi kwa kutegemea viujanja janja fulani tu hapo hapo kazini mfano mabaamedi.
namfahamu mtoa mada na jambo analoliongelea
 
Kwanini uwe na mawazo ya kumsaidia mwanamke?. Wanawake washaweka wazi kwa maneno na vitendo ya kwamba kwao mapenzi ni fursa ya kifedha, sasa kwanini wanaume bado hamtaki kuelewa na kujitoa mkifikiri mnapendwa?. Tafuta mwanamke ambae tayari ana vigezo unavyovitaka kama unataka mke msomi tafuta ambae tayari kashasomeshwa na wazazi wake, kama unataka mke mwenye biashara tafuta ambae tayari ana biashara yake achaneni na huu ujinga wa kusomesha au kufungulia biashara wanawake. You have to know the hypergamous nature of women, their love is opportunistic. Women don't love men they love value. Understand the game.
 
Kwa hiyo unatafuta pesa ili uwape hata watu wajinga na wapuuzi km huyo msichana au unatafuta pesa kwa ajili ya maendeleo
Msemo wa "tafuta hela" mara zote unatumika kuhamasisha utafutaji wa hela ili ufanye mambo ya kipuuzi especially starehe au ngono, ndio maana wanaoendekeza huo msemo nawaonaga ni watu fulani wajinga jinga
 
Uhalisia ni kuwa hukua muhimu kwake, pesa yako ndo ilikuwa muhimu na pesa anaipata kupitia uongo uongo. Tangu day 1 alikutazama kama fursa ya kujipatia chochote kisha upite zako.

Labda useme wanawake wadangaji waboreshe janja janja zao ili usiwashtukie mapema wavune zaidi.
 
Kati ya watu nisiowapenda ni wale mnawakuta wenzenu wapo kwenye ajira za watu mnaanza kuwarubuni,mwisho wa siku mnawaharibia sana mabosi wenye biashara na nyumba binafai kutafuta mabinti wengine.

Mtu unafahamu ndoa ilishamshinda nawe bichwa gumu unajipeleka hapo kisha unakuja kujaza lawama mtandaoni aiseee
 
Sisi wanaume tuko hivi mwanamke tunampima kulingana na matendo yake kwenye mahusiano either ni wakupita au kujenga nae maisha jamaa kampenda huyo manzi in really baada ya matendo ya huyo dada ndio imemfanya achange gia angani
Nakujibu kesho leo nimechoka
 
Unavosema kuwa "namtumia mwanamke" unamaanisha nini? Mimi Ku-sex na mwanamke inamaanisha namtumia?

Kwani kwenye sex huyo mwanamke hapati raha? Au huyo mwanamke hanitumii kupata raha? Kama Mimi ninavomtumia kupata raha? Lamomy
Wanapenda sana kujifanya victim. Sex ni mutually pleasure wala hawatufanyii favour yoyote kiasi cha kutaka tuwalipe
 
Unavosema kuwa "namtumia mwanamke" unamaanisha nini? Mimi Ku-sex na mwanamke inamaanisha namtumia?

Kwani kwenye sex huyo mwanamke hapati raha? Au huyo mwanamke hanitumii kupata raha? Kama Mimi ninavomtumia kupata raha? Lamomy
Na wewe ntakujibu kesho, huu muda naingia kwenye maombi.
 
Mwamba ulitaka umpe vifaa vya chips au mama ntilie na mzigo awe anakupa unajipigia akashtuka,
 
Jambo la msingi kuliko lote, kwa muda wako woteeee mpaka mnachat usiku wa manane. Ulifanikiwa kambani ? Au ulikuwa unasubiria kodi ya miezi mitatu ijae ukaloekee utakapolipa kodi ww
 
Sina pesa ya kumpa bali ninayo ya kumfanya apate pesa yake mwnyw za kupewa kwangu hazipo mfundishe mtu kuvua samaki na uumpe namna ya kuvua akavue mwnyw kuliko ww ukavue na kumpa siku ukiwa haupo itakuwaje.
sahihi broo maana leo utampa kesho anarudi tena
 
Point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…