Baadhi ya wadada huwa mnawapoteza watu wa kuwasaidia sababu ya njaa zenu

Baadhi ya wadada huwa mnawapoteza watu wa kuwasaidia sababu ya njaa zenu

na ndicho kinachowaponza miaka hii kila mtu anawakwepa maana tayari wanatia kinyaa kwa tabia zao za kuonyesha tamaa za wazi wazi plus hawajapevuka kiakili hata kidogo.
Mi mwenyewe kuna demu nimempiga chini hivi hivi, hela anakula Halafu mzigo hatoi, nina nafuu now kwasababu kitendo cha Mimi kuwa nae ni kama namsaidia tu, hana viwango vyangu.
 
Wanawake wa miaka hii hauwezi wafuata kumwambia nimekupenda akakupokea vizuri cha zaidi atakuona ni tapeli. Njia au mbinu ambayo wanaume huwa wanatumia mara nyingi ni kutoa offer ya vitu au msaada ili mwanamke awe attracted na ule ukarimu wa mwanaume na kupata assurance kuwa yupo tayari kumtake care na kumpa matunzo then humo humo wataanzisha mahusiano.

The only time mwanaume anaweza tongoza mwanamke direct ni pale anamafanikio makubwa tena ya kuonekana kwa macho bila maelezo so mwanamke anakuwa na assurance ya Maisha mazuri kwa huyu mwanaume mwenye mafanikio.

Sasa wewe unaongea vitu ambavyo ni very obvious ila unapretend kuwa havipo.

Zamani wanawake tulikuwa hatutongozi kwa mdomo, unamsalimia akikujibu vizuri unaongea na wazee wako,kama wanaikubali familia ya binti na kuona ni fanilia nzuri isiyo na changamoto zozote,wanakwenda kwa wazee wake na kuomba kuozeshws binti yao. Na binti atakukubalia ombi kupitia wazazi wake hata kama hajakupenda ili ataheshimu ushauri wa wazazi wake kukupokea na kuanza maisha na wewe.

But now days mabinti mnaolewa katika mazingira ya kubahatisha sana. Hamna knowledge ya wanaume bora wapoje na wahovyo wapoje. Ninyi mnachotazama ni maokoto yaani kupata chochote toka kwa huyo mwanaume.

Mfano mleta uzi anakwambia kuwa yeye alidhamiria kumfungulia biashara binti ili tu kumtuo yale mazingira ya kulipwa kidogo na kuishi na bosi wake ili aweze pata fursa ya kumchukua yeye mazima. Obvious alikuwa anamtaka kimapenzi, ila wanawake wa kileo ukiwa haupo vema kiuchumi atakuwekea mitihani na mitego mingi ya kitoto ili kupima uwezo wako kifedha sababu hana uhakika kuwa mtafanya maisha but akija mume wa mtu tena mwenye familia kubwa tu ila ana biashara zake na pesa, huyu huyu binti hatofikiria mara mbili na atakubali kila atakachoambiwa kufanya na atakubali kila maelekezo bila kipingamizi na ikibidi hata ujauzito atabeba. Niseme tu mabinti wa sasa wanatumia akili kidogo na ujinga mwingi sana kuwajua wanaume serious.
Mwamba umetoa knowledge kubwa sana
 
Wanawake wa miaka hii hauwezi wafuata kumwambia nimekupenda akakupokea vizuri cha zaidi atakuona ni tapeli. Njia au mbinu ambayo wanaume huwa wanatumia mara nyingi ni kutoa offer ya vitu au msaada ili mwanamke awe attracted na ule ukarimu wa mwanaume na kupata assurance kuwa yupo tayari kumtake care na kumpa matunzo then humo humo wataanzisha mahusiano.

The only time mwanaume anaweza tongoza mwanamke direct ni pale anamafanikio makubwa tena ya kuonekana kwa macho bila maelezo so mwanamke anakuwa na assurance ya Maisha mazuri kwa huyu mwanaume mwenye mafanikio.

Sasa wewe unaongea vitu ambavyo ni very obvious ila unapretend kuwa havipo.

Zamani wanawake tulikuwa hatutongozi kwa mdomo, unamsalimia akikujibu vizuri unaongea na wazee wako,kama wanaikubali familia ya binti na kuona ni fanilia nzuri isiyo na changamoto zozote,wanakwenda kwa wazee wake na kuomba kuozeshws binti yao. Na binti atakukubalia ombi kupitia wazazi wake hata kama hajakupenda ili ataheshimu ushauri wa wazazi wake kukupokea na kuanza maisha na wewe.

But now days mabinti mnaolewa katika mazingira ya kubahatisha sana. Hamna knowledge ya wanaume bora wapoje na wahovyo wapoje. Ninyi mnachotazama ni maokoto yaani kupata chochote toka kwa huyo mwanaume.

Mfano mleta uzi anakwambia kuwa yeye alidhamiria kumfungulia biashara binti ili tu kumtuo yale mazingira ya kulipwa kidogo na kuishi na bosi wake ili aweze pata fursa ya kumchukua yeye mazima. Obvious alikuwa anamtaka kimapenzi, ila wanawake wa kileo ukiwa haupo vema kiuchumi atakuwekea mitihani na mitego mingi ya kitoto ili kupima uwezo wako kifedha sababu hana uhakika kuwa mtafanya maisha but akija mume wa mtu tena mwenye familia kubwa tu ila ana biashara zake na pesa, huyu huyu binti hatofikiria mara mbili na atakubali kila atakachoambiwa kufanya na atakubali kila maelekezo bila kipingamizi na ikibidi hata ujauzito atabeba. Niseme tu mabinti wa sasa wanatumia akili kidogo na ujinga mwingi sana kuwajua wanaume serious.
Mzee umeongea point hadi natamani nikupe hela
 
Naona umeweka avatar ya Kevin Samuels (RIP), ukiangalia video zake alizokuwa anaongea na wanawake, utashangaa wanawake walivyo na mindset/fantasy/delusions za ajabu.

Mdada mwenye mwonekano wa kawaida, tena single mother, utakuta anataka kuolewa na mwanaume mwenye kipato cha U$D 400,000 kwa mwaka [emoji16], wakati asilimia 1 tu ya wanaume ndo wana hicho kipato. Zemanda
Huyu mwamba acha tu MUNGU amlaze pema peponi. He was the Godfather of our generation na alikuwa anatengeza jeshi kubwa sana la Masculinist young Men. Ameacha legacy kali sana na amewa inspire vijana wengi wa kiume huko mitandaoni kuongea ukweli bila kuhisi wana waoffend wanawake au hawa wanaume legelege.

Mwamba alikuwa hana shobo kijinga na mademu sijui umletee lips nzuri anakupa za uso. Dah acha tu [emoji25] red bulls ndizo zilimponza alikuwa anatumia sana Redbulls na huwa si nzuri kiafya.

He will be missed.
 
Wanawake wa miaka hii hauwezi wafuata kumwambia nimekupenda akakupokea vizuri cha zaidi atakuona ni tapeli. Njia au mbinu ambayo wanaume huwa wanatumia mara nyingi ni kutoa offer ya vitu au msaada ili mwanamke awe attracted na ule ukarimu wa mwanaume na kupata assurance kuwa yupo tayari kumtake care na kumpa matunzo then humo humo wataanzisha mahusiano.

The only time mwanaume anaweza tongoza mwanamke direct ni pale anamafanikio makubwa tena ya kuonekana kwa macho bila maelezo so mwanamke anakuwa na assurance ya Maisha mazuri kwa huyu mwanaume mwenye mafanikio.

Sasa wewe unaongea vitu ambavyo ni very obvious ila unapretend kuwa havipo.

Zamani wanawake tulikuwa hatutongozi kwa mdomo, unamsalimia akikujibu vizuri unaongea na wazee wako,kama wanaikubali familia ya binti na kuona ni fanilia nzuri isiyo na changamoto zozote,wanakwenda kwa wazee wake na kuomba kuozeshws binti yao. Na binti atakukubalia ombi kupitia wazazi wake hata kama hajakupenda ili ataheshimu ushauri wa wazazi wake kukupokea na kuanza maisha na wewe.

But now days mabinti mnaolewa katika mazingira ya kubahatisha sana. Hamna knowledge ya wanaume bora wapoje na wahovyo wapoje. Ninyi mnachotazama ni maokoto yaani kupata chochote toka kwa huyo mwanaume.

Mfano mleta uzi anakwambia kuwa yeye alidhamiria kumfungulia biashara binti ili tu kumtuo yale mazingira ya kulipwa kidogo na kuishi na bosi wake ili aweze pata fursa ya kumchukua yeye mazima. Obvious alikuwa anamtaka kimapenzi, ila wanawake wa kileo ukiwa haupo vema kiuchumi atakuwekea mitihani na mitego mingi ya kitoto ili kupima uwezo wako kifedha sababu hana uhakika kuwa mtafanya maisha but akija mume wa mtu tena mwenye familia kubwa tu ila ana biashara zake na pesa, huyu huyu binti hatofikiria mara mbili na atakubali kila atakachoambiwa kufanya na atakubali kila maelekezo bila kipingamizi na ikibidi hata ujauzito atabeba. Niseme tu mabinti wa sasa wanatumia akili kidogo na ujinga mwingi sana kuwajua wanaume serious.
Ntarudi kukujibu, kwa sasa sina muda
 
Sasa hizi ndizo akili mbovu. Wewe umejuaje kuwa alikuwa anataka kumfanyia hayo yote. Unajua faida ya banda la chipsi?

Mauzo ya chipsi kwa siku unajua ni kiasi gani?

Inawezekana alikuwa na malengo ya kupata side chick wa kupiga tu but its better than huyo binti kuliwa kwa hela za bundle. Akimfungulia biashara ya chipsi pengine angemuongezea income na dili zingemkalia poa.
Wewe unahitaji spana no 5 ntarudi kukujibu kwa sasa sina muda.
 
mwanamke lake jiko,hayo ya biashara utakuja kugombana na watu bure
 
Ungemfungulia hiyo biashara chap halafu ukaanza kumpiga yeye vizinga hivo
 
Umeamua sawa kabisa. Huyo ameendekeza njaa na hana nia njema. Anajijali peke yake. Huyo hana tofauti na demu mmoja, nilimwambia nimtoe lunch tu akanambia nimnunulie kwanza gauni jipya la kutoka nalo siku hiyo. Hovyo kabisa! Nilimblock kutokea hapo.
Wanaume mnapitia mengi sana. hahahaha
 
Kitabia Wanawake wameumbwa kupata shida katika mapenzi(Mikiki mikiki), Ukijifanya popote pale unataka kumsaidia ata ekti kama anakuelewa, lakini huo msaada uliompa anautumia alafu anakupuuza wewe ulietoa au anaenda kumpa muhuni asie msaidia. Hakikisha mkeo/ mpenzi wako analia lia na kukulaumu kwamba humsaidii, ataishi na wewe, maana wanawake wanapenda taflani(Struggles), sio amani(comfortability).
 
Mbona hauji na nimekungoja hadi sana. [emoji23][emoji23]
Ukishashiba magimbi yako unalog in kutafuta wa kukupunguzia shibe zako.!! 😂😂😂🤣
Mimi ntakujibu muda wangu wa ziada, nimeona mikwoti yako kibaoooo. Tulia yote ntakupiga spana. Ss hivi napitia nyuzi zenye madini kisha ntakurudia
 
Back
Top Bottom