Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Pre GE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiukweli bila kuegemea upande wowote sbb mimi sio Chadema, Mr. Mbowe ukimlinganisha na Tundu Lissu, bado Mbowe ana upper hand kiuongozi, tatizo kubwa la Lissu ni kutojua kipi cha kusema kwa muda gani, yaani ni mropokaji, kuwa kiongozi lazima uwe na kifua cha kuhifadhi mambo makubwa mengi, Lissu hana kabisa karama ya kuwa kiongozi, Lissu ni purely mwanaharakati..!!

Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi na mwanaharakati..!!

Mr. Mbowe bora aendelee na uenyekiti Chadema..!!
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
🤣🤣🤣🤣Et molemo mediaaaaa ...wivu tu Kwa Lissu
 
Waswahili, rushwa, hongo na wizi haitaisha na ukijifanya mkataa rushwa hutoboi
Watu wanataka kula tu mengine baki nayo moyoni 😄
Eti utangaze vita ya rushwa
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Umejifungia na Yerrico ndiyo mmetoka na huu uzi wenu wa 'Kijasusi'😃
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Machawa wa Mbowe na CCM yanahangaika kweli kwa vitafiti fake.

Hakuna utafiti unaofanyika kwa namna hiyo. Bila shaka hiyo taasisi ya utafiti itakuwa inaongozwa na walevi

Tafiti haina hata rejea!! Yaani unaenda kwa watu, unapiga nao story, wanabwabwaja chochote, halafu na wewe kwa ujinga wako wa kutojua tafiti huwa zinafanyika namna gani, unaenda kwa watu na story za waliokuwa wanabwabwaja, unasema eti ni matokeo ya utafiti!! This is too low for any sensible person.
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
 

Attachments

  • 5900516-2dae5c1f3887d759229713b8a563fcc1.mp4
    7.1 MB
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.


Hayo mambo yote 11 uliyosema ndio yameifikisha chadema hapo ilipo

So uamuzi ni wao wenyewe kama wanataka Chama chao kiwe cha Aina hiyo au kiwe na mabadiliko
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Tafito ni fani, na inafanywa na watu neutral na wenye akili timamu. Yaani huu ujinga ulioletwa hapa, unaweza kuuita ni utafiti. Nchi ina wajinga wengi halafu wanaamini kuwa kila mmoja ni mjinga kama wao.
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Molemo ndio uchafu gani huo, wkt wanampa agombee urais hawakuliona hilo safari hii mboe hachomoki
 
Tundu Lissu mwanaharakati na mtetezi mkubwa wa haki za binadamu anapambana kukalia kiti cha Mwenyekiti Chadema Taifa

Molemo Media imefanya utafiti maeneo mbalimbali nchini kwa wajumbe wa mkutano mkuu kutaka kufahamu mwelekeo na mtazamo wao kuelekea mkutano Mkuu wa uchaguzi Januari 21

Tundu Lissu mwenye msimamo mkali wa kisiasa anajadiliwa na watu mbalimbali hasa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu uamuzi wake wa kupambana na Freeman Mbowe Mwenyekiti aliyekalia kiti hicho kwa miaka 20

Katika mahojiano na uchunguzi huo Molemo Media imeona uwezekano mkubwa wa Tundu Lissu kushindwa nafasi hiyo kutokana na hoja kadhaa za wajumbe kama ifuatavyo.

1. Wajumbe wengi wameonyesha hofu ya kumchagua Tundu Lissu kutokana na jinsi anavyoongea maneno mengi bila kujitafakaru kwanza ni kipi cha kuzungumza na wakati gani wa kuzungumza.Wanasema kiongozi anapaswa kuwa msikilizaji zaidi na mzungumzaji kwa uchache.

2. Tundu Lissu amelalamikiwa kutokutunza siri za Kamati Kuu na chama, kuna mambo ambayo hayapaswi kuwekwa hadharani mfano uliotolewa ni jinsi alivyolipuka kuzungumzia kikao cha siri kati yake na Mbowe kilichofanyika Msimbazi Centre na kuongozwa na kiongozi mkubwa wa dini.Imeelezwa hiyo ni siri na hatari kubwa kutolewa hadharani kwa maslahi ya chama.

3. Tundu Lissu amelalamikiwa na baadhi ya wajumbe kuwa hakudhamiria kugombea Uenyekiti wa chama bali amegombea kulipa kisasi cha Wenje 'kugombea nafasi yake' kama mwenyewe alivyonukuliwa akisema siku aliporejea kutoka Ubelgiji.

4. Baadhi ya wajumbe wanasema Tundu Lissu ni mtu wa kulipiza visasi na wamesema huenda ameomba nafasi hiyo ili kulipiza visasi kwa maadui zake na kufuta kabisa legacy ya Freeman Mbowe aliyekijenga chama hicho kwa jasho na damu

5. Tundu Lissu pia analalamikiwa kutuhumu kila anayetofautiana naye kwamba ni mla rushwa ndani ya chama na ndiyo maana analalamikia wajumbe wote wanaomuunga mkono Mwenyekiti kwamba walitoa rushwa kushinda uchaguzi.Wajumbe wana hofu endapo akishinda atawafukuza wale wote wanaompinga ili aweke watu wake.Amekuwa akiituhumu mpaka sekretariati ya chama kwamba haimuungi mkono na amesema wazi wazi akishinda atawaondoa wajumbe wote.

6. Tundu Lissu analalamikiwa kumkashifu, kumdharau, kumuandama na kumtungia kila aina ya kashfa Mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe kwa lengo la kumuonyesha hafai mbele ya Jamii.Wajumbe hao wamesema kwa hali ya kawaida alipaswa tu kumtunzia heshima Freeman Mbowe kwa jinsi alivyomsaidia mambo mengi ikiwemo kuokoa maisha yake alipopigwa risasi na kumtunza hospitalini Nairobi miezi 4 kama alivyonukuliwa kusema kaka yake Lissu.

7. Wajumbe wengine pia wamesema anatakiwa kuchaguliwa mtu ambaye atakuwa na uwezo wa kuyaunganisha makundi yote baada ya uchaguzi kitu ambacho Tundu Lissu hawezi kwa sbabu tayari anatukana yeyote anayempinga kwamba ni mla rushwa na kapokea hela za Abdul na mama yake.

8. Tundu Lissu anatuhumiwa kuungwa mkono na makundi yaliyo nje ya Chadema yenye nia ovu ya kutaka kukiteka Chadema.Makundi hayo ni ya wanaharakati na Diaspora ambao kila kukicha wamekuwa wakimshambulia Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho.

9. Wajumbe kadhaa pia wamesema kiongozi yeyote wa Chadema hasa Mwenyekiti anapaswa kuwa mnyenyekevu kwa viongozi wenzake kitu ambacho Tundu Lissu hana, imedaiwa kitendo cha Tundu Lissu kuhutubia Taifa siku ya mwaka mpya ni utovu mkubwa wa nidhamu kwa Mwenyekiti wake kwani anayepaswa kuongea kwa niaba ya chama ni Mwenyekiti wa Taifa na si mtu mwingine.

10. Tundu Lissu siyo mtu wa maridhiano na mapatano kitu ambacho ni kibaya sana kwa kiongozi mkuu wa chama.Wajumbe wengi wamesema Mwenyekiti wa chama lazima awe mtu anayeweza kuzungumza na makundi mbalimbali na kukubaliana au kuridhiana na hata kama ikishindikana kukubaliana basi kuheshimiana kitu ambacho Lissu msipokubaliana jambo inakuwa kama uadui.

11. Tundu Lissu amekuwa mtu anayebadili kauli kila siku kutegemeana anataka kupata nini kwa wakati huo, kwa mfano siku za nyuma aliunga mkono maridhiano na akasema ni mazuri sana na kumsifia Rais Samia lakini sasa amegeuka kabisa kauli yake na anatumia kila aina ya lugha mbaya kumkejeli Mwenyekiti wake kuhusu maridhiano.

Kutokana na Tathmini iliyofanywa na Molemo Media Mwenyekiti wa sasa wa chama hicho Freeman Mbowe anatarajiwa kuchaguliwa tena na wajumbe na anatarajiwa kupata ushindi wa kati ya asilimia 60% mpaka 70% ya kura za wajumbe huku Tundu Lissu akitarajiwa kupata kura kati ya asilimia 30% mpaka 40% ya kura.

Molemo Media inatarajiwa kuwaletea tathmini yake kuhusu wagombea wa kiti cha Makamu Mwenyekiti hasa kwa wagimbea Maarufu Ezekiah Wenje na John Heche.
Nakuhakikishia hata kama sitakuwepo duniani chini ya Freeman wala msihangaike kupiga kampeni CCM watawapasua asilimia 100.....
Hilo li saccos limefika mwisho....labda Samia mshirika wenu kwa aibu awape majimbo bure...
 
Molemo , Sinza Pazuri na Retired wanapilikapilika kweli na huu UCHAGUZI...badala ya kuja na nini kipya Mwenyekiti Mbowe atakifanyia CHAMA ( hata kwa ufupi tu) baada ya kuwa ndani ya chama kwa zaidi ya miaka 35 ..wao ni Lissu Lissu Lissu asubuhi, mchana, jioni na usiku...UJINGA!
 
Mwandishi wa ujumbe huu, wewe ni mla rushwa, pokea pesa yako, toa oja zako za hapa na pale, kajinywee bia zako, hela ya bure hiyo ushapewa kula.
KWA MUJIBU WA KAULI YA BW. W. SLAA, KUNA DONGE LA FEDHA NONO KWA AJILI YA WAJUMBE NA BAADHI YA WAANDISHI, KULENI HIZO FEDHA TU, AKILI ZINGINE VICHWANI MWENU,
--NJIA MOJA WAPO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NI "" "KUPOKEA NA KWENDA TOFAUTI NA TAKWA LA MTOA RUSHWA"", ATAJIONA AMEFANYA KAZI BURE KABISA NA YA KIJINGA.
Hata wewe imegundua hilo🤣🤣🤣
 
Kwani humu jf ,Kuna wajumbe wangapi wa mkutano mkuu?
 
Kiukweli bila kuegemea upande wowote sbb mimi sio Chadema, Mr. Mbowe ukimlinganisha na Tundu Lissu, bado Mbowe ana upper hand kiuongozi, tatizo kubwa la Lissu ni kutojua kipi cha kusema kwa muda gani, yaani ni mropokaji, kuwa kiongozi lazima uwe na kifua cha kuhifadhi mambo makubwa mengi, Lissu hana kabisa karama ya kuwa kiongozi, Lissu ni purely mwanaharakati..!!

Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi na mwanaharakati..!!

Mr. Mbowe bora aendelee na uenyekiti Chadema..!!
Maccm wote mnataka Mbowe aendelee kwa vile ni kitendea kazi chenu.
 
Back
Top Bottom