OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wakumbushe waeleza sera za MboweYericko Nyerere...Lissu ni msaliti!
Retired...Lissu ni mropokaji!
Molemo...Lissu ni mkurupukaji!
sinza pazuri...Lissu ni muongo!
Quinine...Lissu ni mvurugaji!
Ndugu zangu, really? Mbona hizi ndizo sifa zile zile alizopewa Mh. Tundu Antiphas Lissu kabla ya kumiminiwa risasi na wabaya wake mwaka 2017? Hebu tujikumbushe kidogo kauli ya mmoja wenu Lissu alipogombea urais mwaka 2017?
View attachment 3195688
Yericko Nyerere, kwa nini, kwa mfano, nisiziamini tetesi kwamba hapa pesa, sabuni ya roho, iko kazini?