unantafta nn lakin ππππ hujui nishawah andika uzi hum wa kutafta mchumba,,nitakosa kwajil ako ππππππΎππΎkila kona umenizingiraNdo siku utakayoenda village sijui kama hatutopotezana πππππ
Ukose!!!!!?? Walaahi tafurahi mimi. ππππππunantafta nn lakin ππππ hujui nishawah andika uzi hum wa kutafta mchumba,,nitakosa kwajil ako ππππππΎππΎkila kona umenizingira
ili iweje sasaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£Ukose!!!!!?? Walaahi tafurahi mimi. ππππππ
Hiyo ndo furaha yangu aiseee
Sure mkuu, kipindi cha adolescent stage ilikua ni sifa sana kijana kulala na mabinti wengi, vijana wanajisifu kuchakata mara nyingi. Ila ukikua unakuja kujua ilikua utoto na kukosa maarifa tu.Mkuu ni kweli kuepuka wanΓ wake ma X ni kujiheshimu tu, ila hamna mwanamke wa kukataa sasa wakikutana na bogus men wengi hufikiri kumlala huyu ex ni sifa, ndo stori kama hizi za mleta mada, ukinipa simu dakika 30 ni nyingi kua nimesha fix ratiba na ex wangu yoyote haijalishi kaolewa au la, lakini kwa nini ni manipulate kiumbe mwenzangu nae jua kabisa ana madhaifu, wakati na mimi nina mke, "gettlemen are few but men are many"....
Sasa ukiwa na mchumba mi nitaishije humu ππππili iweje sasaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Sasa mtu anayekudai ΓΊnawezaje kumtumia makopakopa ? Mtumie hela yake.Hapo ukaona anataka ngono tu, mbona mko obsessed sana na ngono?
Jiongeze babu acha kuyumbaDunia iko kasi sana aisee,
wiki 1 nyuma nimetumiwa msg facebook na demu wangu ambae tuliachana mwaka 2017.
Sikujibu, baada ya siku 2 akaandika namba yake, kibinaadamu nikaona nimcheki asije sema naringa.
Nikampigia tukasalimiana basi kila mtu akala kona yake.
Huyu dada aliolewa na mie sina mazoea na wake za watu, saa katika mazungumzo nikamuita MKE WA MTU, akawaka nanukuu, "UNANIITA MKE WA MTU UNATAKA KUNINYIMA NINI"? Nikahisi labda waliachana na mumewe na sasa yupo mwenyewe.
Sikutaka kuulizia direct ila nikatumia mbinu ya kumuomba tuonane (Yuko Arusha na mie nipo mkoa mwingine) ili kama yupo free ntajua. Akajibu hatoweza kutoka mumewe yupo labda tukutane mkoa X anaenda kwenye sherehe bila mumewe na inajulikana haitaleta shida.
Nikampima tena, nikamwambia Nilikuwa na Safari ya Arusha ndio maana nilitaka tuonane, sasa kukutania mkoani kisa kuonana tu sio issue tutabonga hata video call. Alichonijibu, WE MWANAUME UNARINGA SANA NINGETAKA KUKUONA NINGEOMBA PICHA AU NINGEANGALIA FACEBOOK PICHA ZAKO.
Kweli HANDS UP, imagine kuna mtu naye anajua ana mke.
VishuSure mkuu, kipindi cha adolescent stage ilikua ni sifa sana kijana kulala na mabinti wengi, vijana wanajisifu kuchakata mara nyingi. Ila ukikua unakuja kujua ilikua utoto na kukosa maarifa tu.
Hao wake za watu ni rahisi kulala nao ila wanasababisha matatizo tu kwa starehe ya muda mfupi
kwan vinahusiana niniπ€£πππSasa ukiwa na mchumba mi nitaishije humu ππππ
Utakua biz sana alafu mimi nimekuzoea sasa π€π€π€kwan vinahusiana niniπ€£πππ
Tena ukizingatia kupasha kiporo hakuhitaji moto mwingiDemu kama mliachana vizuri kuachana sio rahisi hata aolewe.
π€£π€£π€£π€£π€£πππππbize na nin sasaUtakua biz sana alafu mimi nimekuzoea sasa π€π€π€
Utakua bize na mchumba wako huyo wa hovyo... Mbaya mbaya ππππππ€£π€£π€£π€£π€£πππππbize na nin sasa
π€£π€£ππ Mbona kama unaanza wivu mapema ivUtakua bize na mchumba wako huyo wa hovyo... Mbaya mbaya πππππ
Kilichopo kichwani sio mimi.....π€£π€£ππ Mbona kama unaanza wivu mapema iv
aya kalaleπKilichopo kichwani sio mimi.....
πππ
Kweli hainaga vipimo chuki chuki.aya kalaleπ