Baadhi ya wake za watu nimewanyooshea mikono, nasalimu amri

Ndo siku utakayoenda village sijui kama hatutopotezana 😁😁😁😁😁
unantafta nn lakin πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hujui nishawah andika uzi hum wa kutafta mchumba,,nitakosa kwajil ako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎkila kona umenizingira
 
unantafta nn lakin πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hujui nishawah andika uzi hum wa kutafta mchumba,,nitakosa kwajil ako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎkila kona umenizingira
Ukose!!!!!?? Walaahi tafurahi mimi. 😁😁😁😁😁😁
Hiyo ndo furaha yangu aiseee
 
Sure mkuu, kipindi cha adolescent stage ilikua ni sifa sana kijana kulala na mabinti wengi, vijana wanajisifu kuchakata mara nyingi. Ila ukikua unakuja kujua ilikua utoto na kukosa maarifa tu.

Hao wake za watu ni rahisi kulala nao ila wanasababisha matatizo tu kwa starehe ya muda mfupi
 
Jiongeze babu acha kuyumba
 
Vishu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…