Baadhi ya wake za watu nimewanyooshea mikono, nasalimu amri

Baadhi ya wake za watu nimewanyooshea mikono, nasalimu amri

Mkuu ni kweli kuepuka wanΓ wake ma X ni kujiheshimu tu, ila hamna mwanamke wa kukataa sasa wakikutana na bogus men wengi hufikiri kumlala huyu ex ni sifa, ndo stori kama hizi za mleta mada, ukinipa simu dakika 30 ni nyingi kua nimesha fix ratiba na ex wangu yoyote haijalishi kaolewa au la, lakini kwa nini ni manipulate kiumbe mwenzangu nae jua kabisa ana madhaifu, wakati na mimi nina mke, "gettlemen are few but men are many"....
Hongera kwakuwa na hii hekima mkuu.
 
Back
Top Bottom