Baadhi ya wake za watu nimewanyooshea mikono, nasalimu amri

Baadhi ya wake za watu nimewanyooshea mikono, nasalimu amri

Dunia iko kasi sana aisee,

wiki 1 nyuma nimetumiwa msg facebook na demu wangu ambae tuliachana mwaka 2017.

Sikujibu, baada ya siku 2 akaandika namba yake, kibinaadamu nikaona nimcheki asije sema naringa.

Nikampigia tukasalimiana basi kila mtu akala kona yake.

Huyu dada aliolewa na mie sina mazoea na wake za watu, saa katika mazungumzo nikamuita MKE WA MTU, akawaka nanukuu, "UNANIITA MKE WA MTU UNATAKA KUNINYIMA NINI"? Nikahisi labda waliachana na mumewe na sasa yupo mwenyewe.

Sikutaka kuulizia direct ila nikatumia mbinu ya kumuomba tuonane (Yuko Arusha na mie nipo mkoa mwingine) ili kama yupo free ntajua. Akajibu hatoweza kutoka mumewe yupo labda tukutane mkoa X anaenda kwenye sherehe bila mumewe na inajulikana haitaleta shida.

Nikampima tena, nikamwambia Nilikuwa na Safari ya Arusha ndio maana nilitaka tuonane, sasa kukutania mkoani kisa kuonana tu sio issue tutabonga hata video call. Alichonijibu, WE MWANAUME UNARINGA SANA NINGETAKA KUKUONA NINGEOMBA PICHA AU NINGEANGALIA FACEBOOK PICHA ZAKO.

Kweli HANDS UP, imagine kuna mtu naye anajua ana mke.
😆😆😆
Hali hii naifananisha na makala niliyowahi kuipitia ya Dr. John Bowlby, kwa uchache inagusia sababu ya baadhi ya wanandoa kujikuta wakitamani kurudiana na wapenzi wao wa zaman licha ya kuwa katika mahusiano.
Alieleza nadharia iitwayo Attachment Theory (Kuambatana)
Wanawake ambao wana aina ya uhusiano usio salama (insecure attachment) wanaweza kuwa na uwezekano mkubwa wa kutafuta faraja na uthibitisho kutoka kwa wapenzi wa zamani ili kujihisi salama zaidi.
Mfano: Tendo / Upendo / Heshima / kupunguza Msongo wa mawazo.
 
Dunia iko kasi sana aisee,

wiki 1 nyuma nimetumiwa msg facebook na demu wangu ambae tuliachana mwaka 2017.

Sikujibu, baada ya siku 2 akaandika namba yake, kibinaadamu nikaona nimcheki asije sema naringa.

Nikampigia tukasalimiana basi kila mtu akala kona yake.

Huyu dada aliolewa na mie sina mazoea na wake za watu, saa katika mazungumzo nikamuita MKE WA MTU, akawaka nanukuu, "UNANIITA MKE WA MTU UNATAKA KUNINYIMA NINI"? Nikahisi labda waliachana na mumewe na sasa yupo mwenyewe.

Sikutaka kuulizia direct ila nikatumia mbinu ya kumuomba tuonane (Yuko Arusha na mie nipo mkoa mwingine) ili kama yupo free ntajua. Akajibu hatoweza kutoka mumewe yupo labda tukutane mkoa X anaenda kwenye sherehe bila mumewe na inajulikana haitaleta shida.

Nikampima tena, nikamwambia Nilikuwa na Safari ya Arusha ndio maana nilitaka tuonane, sasa kukutania mkoani kisa kuonana tu sio issue tutabonga hata video call. Alichonijibu, WE MWANAUME UNARINGA SANA NINGETAKA KUKUONA NINGEOMBA PICHA AU NINGEANGALIA FACEBOOK PICHA ZAKO.

Kweli HANDS UP, imagine kuna mtu naye anajua ana mke.
Duuuh
 
Demu kama mliachana vizuri kuachana sio rahisi hata aolewe.
Hata Kama ni kwa ugomvi
Wanawake wana vingi hupenda kujaribu kwenye Mapenzi.
Kutembea na Ex wake
Kutembea na kiongozi wake wa ibada..
Kutembea na watu zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja😀
Kutembea na bosi wake au mfanyakazi mwenzake Kama ni mfantakazi
Kutembea na jirani yenu.
Yaani wao hupenda kujaribu jaribu vitu vya hatari Mapenzini🤔😀
 
Back
Top Bottom