ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Sasa unataka nchi iingie kwenye uchaguzi wa kimagumashi pasipokua na mabadiliko,kwanini hata huo uchaguzi usifutiliwe mbali kama hakutakua na mabadiliko kabla?hata akifanya ujinga afuatwe tu hakuna jinsi
Utakua ni mpumbavu kama hujui kua wananchi hawanaga nguvu ya kuamua nani ashinde na nani asishinde.