Sasa unataka nchi iingie kwenye uchaguzi wa kimagumashi pasipokua na mabadiliko,kwanini hata huo uchaguzi usifutiliwe mbali kama hakutakua na mabadiliko kabla?hata akifanya ujinga afuatwe tu hakuna jinsi
Cheap popularity seeker..! Hawa ni washirika wa CCM, Sawa kama wao Wana Chama Chao basi ruksa waende kwenye uchaguzi , lakini Siyo kupitia CHADEMA.Mwenyekiti wa taasisi ya Samia Us, Geoffrey Kiliba ambaye pia ni Mwanafunzi wa chuo cha DIT akiambatana na wanafunzi wenzake wamepinga vikali kauli iliyoasisiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) isimayo 'no reform no election wakidai kauli hiyo ni mtazamo binafsi wa Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu
View attachment 3215566
Uchawa ni shida sanaMwenyekiti wa taasisi ya Samia Us, Geoffrey Kiliba ambaye pia ni Mwanafunzi wa chuo cha DIT akiambatana na wanafunzi wenzake wamepinga vikali kauli iliyoasisiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) isimayo 'no reform no election wakidai kauli hiyo ni mtazamo binafsi wa Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu
View attachment 3215566
Hao siyo wanachuo ni ng'ombe wanaosoma baada ya wazazi wao kuuza ng'ombe ili kuwasomesha. Hivyo wazazi wameuza ng'ombe ili kupata fedha ya kusomesha ng'ombe wengineMwenyekiti wa taasisi ya Samia Us, Geoffrey Kiliba ambaye pia ni Mwanafunzi wa chuo cha DIT akiambatana na wanafunzi wenzake wamepinga vikali kauli iliyoasisiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) isimayo 'no reform no election wakidai kauli hiyo ni mtazamo binafsi wa Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu
View attachment 3215566
Maana ya Kiliba kwa Kiswahili ni chawa mtoto!😁Mwenyekiti wa taasisi ya Samia Us, Geoffrey Kiliba ambaye pia ni Mwanafunzi wa chuo cha DIT akiambatana na wanafunzi wenzake wamepinga vikali kauli iliyoasisiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) isimayo 'no reform no election wakidai kauli hiyo ni mtazamo binafsi wa Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu
View attachment 3215566