Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Unadhani uasi hizo nchi nyingine ulifyatuka from nowhere kama kimondo?
Binti yako anaanza kunyoa panki na kuvaa mlegezo badala ya kuchukua hatua unamtetea kwa kudai kama ingekuwa vibaya angekuwa msagaji. Sasa si ndio anaelekea uko.
Kwa mfano hai,ni jesho la nchi gani lilikuwa kama JWTZ na sasa limeasi?
 
Majeshi yote ya Tz yametengeneza chuki baina yao na raia kwasababu ya kupenda misifa
Ila tuache utani wakikuotea unachapika mazee 🤣🤣🤣🤣
Kuna jamaa alipigwa afu akaambiwa agalegale kwenye matope mpk huruma
 
Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.

Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.

Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana. Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.

Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?

Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?

NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.

KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
Tatizo nchi inaongozwa kizezeta ndio maana matukio ya kiqumer kama haya yanaendelea kutukia ktk nchi hii ya kusadikika (Shaban Robert).
 
Kwa hapa nalitetea jeshi,kati ya sehemu watu wanafundishwa nidhamu na kuishi kwenye mipaka basi ni jeshini,isipokuwa ulimbukeni na ushamba wa baadhi ya watu na wengi waliofeli shule wanatumia nguvu badala ya akili ndo wanalifanya jeshi lionekane la hovyo,ndo maana mengine yakipishana na afisa yanahama njia eti kisa kumsalimia
Afisa wa jeshi mara nyingi ni watu ambao wako smart wanaotumia akili angalau
Huyu muna kawafedhehesha maafisa wenzake.
Nje ya mada Majeshi ya bongo yanajitahidi kwenye ulozi basi

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Umeeleza vzr lakini hapo kwenye ULOZI bado sijakupata mkuu
 
Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.

Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.

Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana. Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.

Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?

Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?

NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.

KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
Unataka wanajeshi wetu wawe na nishamu ya uwoga??????
 
Majeshi yote ya Tz yametengeneza chuki baina yao na raia kwasababu ya kupenda misifa
Ila tuache utani wakikuotea unachapika mazee 🤣🤣🤣🤣
Kuna jamaa alipigwa afu akaambiwa agalegale kwenye matope mpk huruma
🤣🤣🤣
 
Inajdiliwa kwa Misingi ipi ndo unatakiwa ujue kuja sehehemu zinazovuswa ila hawagusi sehemu nyeti zozote kama mipango ya fedha hizo
Bajeti nzima ya wizara ikijadiliwa inatosha kabisa...hayo mengine yapo humo humo.
 
Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.

Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.

Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana. Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.

Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?

Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?

NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.

KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
Ndo hawa walienda kawe kupiga raia.....mama kafungua nchi
 
Ni vita pekee huwaleta wanajeshi na raia wa kawaida pamoja.


Sio wakati huu ambapo raia anaamini mwanajeshi hawezi kulia mpaka kugalagala chini.
Kwa hiyo tunashirikishana wakati wa vita dunguadungua inapoanza. Hapo waliosomea kozi za kuuliwa wanakimbia wanataka raia ndio wakae mstari wa mbele kama chambo[emoji1787][emoji1787]
 
Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.

Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.

Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana. Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.

Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?

Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?

NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.

KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
Kwa kawaida jeshi lolote siyo chombo cha kukenua meno na kucheka ovyo. Hii ni kweli kwa majeshi yote (JW, TP, JKT, TZ Prisons) na majeshi ya nchi zote. Kwa wale waliyopitia JKT mtakumbuka uhusiano wenu na raia ilipo JKT. Wanajeshi wanapenda kusaidiana maana kila mmoja amefundishwa kumtegemea mwenzake. Kwa hiyo hata ufundishe vipi, kimatendo mwanajeshi atabaki kuwa mwanajeshi na raia atabaki kuwa raia. Na hilo la katiba mpya sijui limeiingiaje hapa. Yaani sasa kila kitu ni katiba mpya. Katiba ni maandishi tu, hata kama ikipatikana, utekelezaji wa yaliyomo kwenye katiba utafanywa na binadamu na inaweza isifuatwe. Kama iliyopo inashindwa kufuatwa tuna hakika gani hiyo mpya itafuatwa.
 
Back
Top Bottom