Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Ni vita pekee huwaleta wanajeshi na raia wa kawaida pamoja.


Sio wakati huu ambapo raia anaamini mwanajeshi hawezi kulia mpaka kugalagala chini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.

Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.

Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana. Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.

Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?

Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?

NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.

KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
Tatizo njaa na ugumu wa maisha Kaka. Vijana wengi wanajiunga na jeshi kwa malengo mawili TU
( 1) kujikomboa na njaa, Ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira unapelekea vijana wa kitanzania kujiunga na jeshi wakitegemea watapata chakula.

(2) Kuogopeka mtaani, Vijana wengine wanajiunga na jeshi ili waogopeke mtaani ndio mana unakuta wengi wao pale JKT wanapamba kuingia JWTZ na sio jeshi lingine. Lengo ni kuvaa yale manguo yao waje mtaani wavimbe na kuwatiasha watu.

Jamani vijana wenzangu mliopo uko itabidi mtambue kuwa Vizazi vinabadilika uku mtaani kuna vijana ni mashujaa lakini hawajapitia jeshi ivo kama nyinyi mtajiona ni mashujaa eti sababu mmepitia jeshi TUTAONA MABAYA ZAIDI YA ILI.

Heshima ni jambo la muhimu uwezi mpiga mtu anaejitambua alafu akutizame tu wakati uwezo wa kukujibu anao eti kisa wewe mwanajeshi 😁😁 zitapigwa.
 
Tatizo njaa na ugumu wa maisha Kaka. Vijana wengi wanajiunga na jeshi kwa malengo mawili TU
( 1) kujikomboa na njaa, Ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira unapelekea vijana wa kitanzania kujiunga na jeshi wakitegemea watapata chakula.

(2) Kuogopeka mtaani, Vijana wengine wanajiunga na jeshi ili waogopeke mtaani ndio mana unakuta wengi wao pale JKT wanapamba kuingia JWTZ na sio jeshi lingine. Lengo ni kuvaa yale manguo yao waje mtaani wavimbe na kuwatiasha watu.

Jamani vijana wenzangu mliopo uko itabidi mtambue kuwa Vizazi vinabadilika uku mtaani kuna vijana ni mashujaa lakini hawajapitia jeshi ivo kama nyinyi mtajiona ni mashujaa eti sababu mmepitia jeshi TUTAONA MABAYA ZAIDI YA ILI.

Heshima ni jambo la muhimu uwezi mpiga mtu anaejitambua alafu akutizame tu wakati uwezo wa kukujibu anao eti kisa wewe mwanajeshi 😁😁 zitapigwa.
Mkuu ila unaongea ukweli
 
Mkuu ila unaongea ukweli
Tatizo hawajui kuwa hakuna sababu wala haki ya kumpiga Mtu ata awe amefanya kosa gani. Jeshi kazi yake ni kulinda Raia sio kupiga au kuwanyanyasa au kuwatiasha Raia. Jeshi lolote lenye nguvu ni jeshi lenye kuungwa mkono na Raia. Ata uwe na mabomu ya nyukilia kama Raia awakuungi mkono utapigika na mabomu yako.
 
Tatizo hawajui kuwa hakuna sababu wala haki ya kumpiga Mtu ata awe amefanya kosa gani. Jeshi kazi yake ni kulinda Raia sio kupiga au kuwanyanyasa au kuwatiasha Raia. Jeshi lolote lenye nguvu ni jeshi lenye kuungwa mkono na Raia. Ata uwe na mabomu ya nyukilia kama Raia awakuungi mkono utapigika na mabomu yako.
Fact mkuu
 
Sasa nyie mnawaua alafu mnataka wawe na nidhamu, kwanza kwa nn mjenge karibu na makambi yao
 
Sasa Raia nyie mna Silaha yoyote hebu Achani kunichekesha [emoji1787][emoji1787]
Mnataka kurudi enzi Za maji mJi au hahahah
Hebu Jichanganyeni sasa..
Unakumbuka mwaka 1962 ,1963 na 1964 hivi Nyerere alitaka kupinduliwa na Tanganyika African Rifle akakimbia nchi...
Si angeagiza Raia wapambane [emoji1787][emoji1787]
Hhujaelewa alichosema,ww itakuwa ni mmoja wa wale mkivaa hizo sare mnajiona mmemaliza.
 
Tatizo linaanza kwa raia. Wakisumbuliwa na kunyanyaswa kunazuka vikundi vya wanamgambo wakiraia.
Kutatokea vendatta na vigilantes watakao taka kisasi. Yatatokea makundi kama ya Kibiti na Cape Delgado Msumbiji ambayo yataungwa mkono na raia waliochoka manyanyaso ya jeshi la serikali.

Unafikiri kwanini Kibiti jeshi la polisi lilishindwa kudhibiti mauaji?
Sababu walikosa ushirikiano toka kwa raia.
Walipoingia polisi wakaanza kupiga na kunyanyasa ovyo raia bila kuangalia nani kahusika na nini.
Walipoingia JWTZ wakaruhusu watu watembee kwa Uhuru hawakusumbua raia wakapata ushirikiano.
Utaalamu wao pamoja na taasisi nyingine nyeti ukijumlisha na ushirikiano wa raia wakafanikiwa.

Yakianza makundi ya uasi wanajeshi wanaweza kushambuliwa na waasi ghafla na kwa urahisi sababu raia ndiyo wanawapa taarifa za intelijensia waasi mahala walipo wanajeshi wa serikali.

Nidhamu majeshini ni muhimu.
Umeelileza vzr japo sina uhakika kama watakuelewa
 
Back
Top Bottom