Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Mkuu Sheria za Kijeshi haziitaji katiba Hebu niambie umewahi kusikia Bungeni kuhusu Sheria za manunuzi ya kijeshi ikipigiwa kura..
Kwamba wananunua Vifaru vingapi na ndge ngapi za kivita...

Sheria Zingine ni confidential ukitka kuzijua Kula doso ingia madesa zama Kj operation yyte utaona..
Wenzako waliwahi kuhoji hivyo akina zito kuhusu bajeti ya jeshi wakapelekwa JKT tu, Walirudi wakaunga hoja mkono...
Kuna wakati tuache siri ziwe siri tusilazimishe siri ziwe wazi

Siri?! Ndio maana Abdulrahman Shimbo aliwapiga pesa ndefu kwenye manunuzi ya hivyo vifaa na hakuna kitu mlimfanya!
 
Kama Jeshi la Tanzania lisingekuwa na nidhamu,Uasi unaouona katika nchi zenye vita ungeuona katika JWTZ.
Unadhani uasi hizo nchi nyingine ulifyatuka from nowhere kama kimondo?
Binti yako anaanza kunyoa panki na kuvaa mlegezo badala ya kuchukua hatua unamtetea kwa kudai kama ingekuwa vibaya angekuwa msagaji. Sasa si ndio anaelekea uko.
 
Binafsi tangu niliposikia ile Kauli ya Jeshi kutaka kuingia Mitaani kusaka 'Sare zao' kwa Raia nilipoteza Matumaini sana.

Mkuu mpya wa Jeshi ajifunze kwa waliomtangulia kuona waliweza vipi kuboresha mahusiano mazuri baina ya Jeshi na Raia..
Mambo hayapo kama tunavyo yaona mkuu
 
Siri?! Ndio maana Abdulrahman Shimbo aliwapiga pesa ndefu kwenye manunuzi ya hivyo vifaa na hakuna kitu mlimfanya!
Kwanza unapolitaja Hilo Jina Unatakiwa kutetemeka Kwanza Hata kama kastaafu..

Na kingine fanya Heshima kumpa Heshima yake anayostahili..

Anza na Luteni Jenerali malizia na Balozi Abdulrahiman Shimbo...

Haya Manunuzi ya kitu gani ambayo mpaka ww unayajua na unasema kuwa alipiga pesa
 
My point
Angalia namna wanajeshi wanavyojazwa kwenye siasa during na baada ya kustaafu kwao. Unakuta mjeshi mkuu wa wilaya au mkoa. Ikumbukwe kwamba RC na DC wanatambulika kama wajumbe wa kamati ya siasa ya Wikaya au mkoa waliokuwepo. Na vyeo hivyo ni political appointment na siyo uograding levels za utumishi.

Wakistaafu wanaingia kwenye nafasi za kisiasa as if ni makada wazoefu wa chama tawala. Kimsingi Mwanasjeshi na askari hawapaswi kuwa wanachama wa chama chochote cha siasa.


Wamekuwa wakitoa ulinzi na sapoti kubwa kwa wagombea wa CCM during chaguzi kinyume na utaratibu. Anakuja mgombea wa CCM kituoni anaruhushiwa kuingia na kuongea hata na wasimamizi. Lakini akija chama mbadala haruhhsiwi labda kwa lengo la kupiga kura pekee.

Tunahitaji kuheshimu Katiba na sheria za nchi lakini wenzetu ndo wamejigeuza sheria na wanataka kuheshimiwa
Sahihi kabisa, tatizo bado tuna katiba ya utawala wa chama kimoja.
 
Mkuu Sheria za Kijeshi haziitaji katiba Hebu niambie umewahi kusikia Bungeni kuhusu Sheria za manunuzi ya kijeshi ikipigiwa kura..
Kwamba wananunua Vifaru vingapi na ndge ngapi za kivita...

Sheria Zingine ni confidential ukitka kuzijua Kula doso ingia madesa zama Kj operation yyte utaona..
Wenzako waliwahi kuhoji hivyo akina zito kuhusu bajeti ya jeshi wakapelekwa JKT tu, Walirudi wakaunga hoja mkono...
Kuna wakati tuache siri ziwe siri tusilazimishe siri ziwe wazi
-Bajeti ya Jeshi inapitishwa na Bunge na hata CAG anakagua vizur tu na anachapisha

-hadi manunuzi ya Jeshi yanakaguliwa na PPRA na wanatoa Ripoti
- Sehemu ambayo hata CAG akikagua haichapishwi kwenye Ripoti ni IKULU na TISS tu.
 
Ndyo na huwa haijadiliwi uliwahi kuskia inajadiliwa
Bajeti ya Jeshi inasomwa na Waziri wa Ulinzi na Inajadiliwa na Bunge na inapitishwa na Bunge kama Bajeti za Wizara nyingine
 

Attachments

  • Screenshot_20231028-150829.png
    Screenshot_20231028-150829.png
    24.6 KB · Views: 4
-Bajeti ya Jeshi inapitishwa na Bunge na hata CAG anakagua vizur tu na anachapisha

-hadi manunuzi ya Jeshi yanakaguliwa na PPRA na wanatoa Ripoti
- Sehemu ambayo hata CAG akikagua haichapishwi kwenye Ripoti ni IKULU na TISS tu.
Ndo nilichosema Mkuu unajua maana Ya Confidential au basi nitumie neno Clasfied profiled Doccuments ...
Ambazo hazitakiwi kuwa public...
Na ndo maana yangu...
 
Bajeti ya Jeshi inasomwa na Waziri wa Ulinzi na Inajadiliwa na Bunge na inapitishwa na Bunge kama Bajeti za Wizara nyingine
Kimachojadiliwa ni Pesa na sio Bajeti and plan au unataka nikutumia Hansard ya Bunge ya mwaka wowote...
Ukinganishe mjadala wa Wizara ya ulinzi na mjadala wa Wizara zingine
 
Back
Top Bottom