Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Baadhi ya Wanajeshi wa JWTZ wana tatizo la nidhamu?

Kama Jeshi la Tanzania lisingekuwa na nidhamu,Uasi unaouona katika nchi zenye vita ungeuona katika JWTZ.
Tatizo linaanza kwa raia. Wakisumbuliwa na kunyanyaswa kunazuka vikundi vya wanamgambo wakiraia.
Kutatokea vendatta na vigilantes watakao taka kisasi. Yatatokea makundi kama ya Kibiti na Cape Delgado Msumbiji ambayo yataungwa mkono na raia waliochoka manyanyaso ya jeshi la serikali.

Unafikiri kwanini Kibiti jeshi la polisi lilishindwa kudhibiti mauaji?
Sababu walikosa ushirikiano toka kwa raia.
Walipoingia polisi wakaanza kupiga na kunyanyasa ovyo raia bila kuangalia nani kahusika na nini.
Walipoingia JWTZ wakaruhusu watu watembee kwa Uhuru hawakusumbua raia wakapata ushirikiano.
Utaalamu wao pamoja na taasisi nyingine nyeti ukijumlisha na ushirikiano wa raia wakafanikiwa.

Yakianza makundi ya uasi wanajeshi wanaweza kushambuliwa na waasi ghafla na kwa urahisi sababu raia ndiyo wanawapa taarifa za intelijensia waasi mahala walipo wanajeshi wa serikali.

Nidhamu majeshini ni muhimu.
 
Tatizo linaanza kwa raia. Wakisumbuliwa na kunyanyaswa kunazuka vikundi vya wanamgambo wakiraia.
Kutatokea vendatta na vigilantes watakao taka kisasi. Yatatokea makundi kama ya Kibiti na Cape Delgado Msumbiji ambayo yataungwa mkono na raia waliochoka manyanyaso ya jeshi la serikali.

Unafikiri kwanini Kibiti jeshi la polisi lilishindwa kudhibiti mauaji?
Sababu walikosa ushirikiano toka kwa raia.
Walipoingia polisi wakaanza kupiga na kunyanyasa ovyo raia bila kuangalia nani kahusika na nini.
Walipoingia JWTZ wakaruhusu watu watembee kwa Uhuru hawakusumbua raia wakapata ushirikiano.
Utaalamu wao pamoja na taasisi nyingine nyeti ukijumlisha na ushirikiano wa raia wakafanikiwa.

Yakianza makundi ya uasi wanajeshi wanaweza kushambuliwa na waasi ghafla na kwa urahisi sababu raia ndiyo wanawapa taarifa za intelijensia waasi mahala walipo wanajeshi wa serikali.

Nidhamu majeshini ni muhimu.
Ni kweli mkuu umedadavua kwa weledi
 
Wanajeshi wa jeshi la ulinzi na usalama wa mipaka ya nchi ya Tanzania wana tatizo la nidhamu na hawapendi kukosolewa pale wanapokosea.

Tatizo ni kwamba hawa vijana wetu na kaka zetu na dada zetu na wadogo zetu,pale wanapovaa mavazi yenye nembo ya taifa wanajiona wapo juu ya sheria.

Matukio ni mengi na hatuwezi kuelezea yote ila yanatufedheesha sana. Na watu wanaogopa kusema ukweli ila nodhamu ni tatizo kwa asilimia 49% katika jeshi la JWTZ na matukio yanayojitokeza kuanzia ndani ya nchi na mpaka nje ya nchi hayafichiki.

Au elimu inayotolewa jeshini inahusu tu nidhamu ua uwanja wa vita na sio nidhamu ya kuishi na raia au watu inaowalinda? Bahati mbaya uongozi wa jeshi unaongozwa na kanuni,sasa wale watu waliopewa dhama ya kusimamia hizo kanuni wakizivunja ni nani atawakemea?

Au hawa vijana wetu hawana utambuzi kua kuna jamii inayowazunguka na kuna maisha baada ya kulitumikia jeshi la ulinzi na usalama la wananchi wa Tanzania?

NB: MATUKIO KAMA LILILOTOKEA KAWE YANGEWEZA KUEPUKWA KAMA ELIMU YA MAHUSIANO YA KIJAMII NA NIDHAMU INGEKUA INATOLEWA KWA WANA USALAMA HAWA.

KUPIGA RAIA KUNAJENGA CHUKI NA MADHARA YAKE NI MAKUBWA NA YA MDA MREFU.
Kuna nadharia mbiliw au tatu;-

1.wamekiuka misingi fulani ya kazi zao baada ya kuchokozwa wakatoa kichapo kwa raia!

2.wana matatizo ya kisaikolojia hasira Kali ya kutotimiziwa haJa zao ndipo wakafanya displacement reaction Ili walau kupona sonona!!

3.wapo kwenye mission za siri na hicho kilichotokea ni sehem ya utekelezaji mission husika!!

4.wapo Wana search sare zao kwa namna ya kipekee kabisa kama walivotangaziwa!


"Rais anapofia madarakani taifa linakua katika uangalizi mkali kwa takribani miaka miwili" TumainiEl katika Uzi wake!!

Unaweza Ongezea na zako mkuu!

Mchana mwema wakuu!
 
Kuna nadharia mbiliw au tatu;-

1.wamekiuka misingi fulani ya kazi zao baada ya kuchokozwa wakatoa kichapo kwa raia!

2.wana matatizo ya kisaikolojia hasira Kali ya kutotimiziwa haJa zao ndipo wakafanya displacement reaction Ili walau kupona sonona!!

3.wapo kwenye mission za siri na hicho kilichotokea ni sehem ya utekelezaji mission husika!!

4.wapo Wana search sare zao kwa namna ya kipekee kabisa kama walivotangaziwa!


"Rais anapofia madarakani taifa linakua katika uangalizi mkali kwa takribani miaka miwili" TumainiEl katika Uzi wake!!

Unaweza Ongezea na zako mkuu!

Mchana mwema wakuu!
Mkuu isije kua ww kitengo 🤣🤣🤣🤣🤣 unatutisha sasa
 
Siku raia wakichoka na kuamua kuchukua hatua mikononi kama alivyo fanya yule wa kawe itakua parapanda patachimbika, wakubwa wao wa kazi wanaona na wanajua tabia za vijana wao lakini wamechagua kuwaacha tuu, muda ni msemaji mzuri
 
Siku raia wakichoka na kuamua kuchukua hatua mikononi kama alivyo fanya yule wa kawe itakua parapanda patachimbika, wakubwa wao wa kazi wanaona na wanajua tabia za vijana wao lakini wamechagua kuwaacha tuu, muda ni msemaji mzuri
Ni kweli mkuu
 
Kama viongozi wa serikali wameingia kwa kuiba kura kuanzia mtaa kijiji kata jimbo hadi ikulu, unategemea nini kwa hao jamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkiambiwa nidhamu zenu ni ziro, we anakuja kuonyesha hapa nidhamu ziro square.. Embu tumie akili nyie ni watanzania wenzetu ,akili zenu , kuwaza kwenu .tabia zenu ni kama watanzania wengine tu,

Tofauti ya kimajukumu ndio inatutenganisha, kila kazi ina umuhimu wake kwa taifa, ivyo msijiweke kwenye kundi la malaika watakatifu

Sikiliza ushauri wa watanzania wenzakou
Upo sahii mkuu
 
Back
Top Bottom